< 1 Wafalme 2 >

1 Siku zilipokaribia za Daudi kufa, akampa mwanawe Solomoni agizo.
Bayat nga umas-asideg ti aldaw nga ipapatay ni David, binilinna ni Solomon nga anakna a kunana,
2 Akasema, “Mimi ninakaribia kwenda njia ya dunia yote. Hivyo uwe hodari, jionyeshe kuwa mwanaume,
“Dandanin ti ipapanawko iti rabaw ti daga. Agbalinka koma a natibker, ngarud, ipakitam a naturedka.
3 shika lile Bwana Mungu wako analokuagiza: Enenda katika njia zake, ushike maagizo na amri zake, sheria zake na kanuni zake, kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, ili upate kustawi katika yote ufanyayo na popote uendako,
Tungpalem dagiti bilin ni Yahweh a Diosmo nga agbiagka iti wagasna, a tungpalem dagiti alagadenna, dagiti bilbilinna, dagiti pangngeddengna, ken ti pammaneknekna iti tulagna, a tungpalem amin a naisurat iti linteg ni Moises, tapno rumang-ayka iti amin nga aramidem ken iti sadinoman a papanam,
4 ili kwamba Bwana aweze kunitimizia ahadi yake: ‘Kama wazao wako wakiangalia sana wanavyoishi, na kama wakienenda kwa uaminifu mbele zangu kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote, kamwe hutakosa kuwa na mtu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.’
tapno tungpalen ni Yahweh ti saona nga imbagana maipanggep kaniak a kunana, 'No annadan dagiti annakmo ti tignayda, a magnada a sipupudno iti imatangko iti amin a puso ken kararuada, saankanto a maawanan iti tao nga agtugaw iti trono ti Israel.'
5 “Sasa wewe mwenyewe unafahamu lile Yoabu mwana wa Seruya alilonitendea, lile alilofanya kwa majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri mwana wa Neri, na Amasa mwana wa Yetheri. Aliwaua, akimwaga damu yao wakati wa amani kama vile ni kwenye vita, tena akaipaka damu ile kwenye mkanda uliokuwa kiunoni mwake na viatu alivyovaa miguuni mwake.
Ammom met ti inaramid kaniak ni Joab nga anak ni Zeruiah, ken ti inaramidna a panangpatay kadagiti dua a pangulo ti armada ti Israel, ni Abner nga anak ni Ner, ken ni Amasa nga anak ni Jeter. Pinagsayasayna ti dara iti tiempo ti kappia ken imbarikes ken insapatosna ti dara iti gubat.
6 Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani. (Sheol h7585)
Aramidem ti ammom a maiparbeng kenni Joab babaen iti kinasirib a nasursurom, ngem saanmo koma nga itulok a sitatalna a maitanem ti ubanan nga ulona. (Sheol h7585)
7 “Lakini uwaonyeshe wema wana wa Barzilai wa Gileadi na uwaruhusu wawe miongoni mwa wale walao mezani pako. Walisimama nami nilipomkimbia ndugu yako Absalomu.
Nupay kasta, ipakitam ti kinaimbag kadagiti annak ni Barsilai a taga-Gallaad, ket palubosam a maysada kadagiti makisango kenka a mangan iti lamisaanmo, ta immayda kaniak idi intarayak ni Absalom a kabsatmo.
8 “Ukumbuke, unaye Shimei mwana wa Gera, Mbenyamini kutoka Bahurimu, ambaye alinilaani kwa laana kali siku niliyokwenda Mahanaimu. Aliposhuka kunilaki huko Yordani, nilimwapia kwa Bwana: ‘Sitakuua kwa upanga!’
Adtoy, kaduayo met ni Shimei nga anak ni Gera, a taga-Bahurim iti Benjamin, a nangilunod kaniak iti kasta unay idi napanak idiay Mahanaim. Simmalog ni Shimei a mangsabat kaniak idiay Jordan, ket inkarik kenkuana iti nagan ni Yahweh, a kunak, 'Saanka a patayen babaen iti kampilan.'
9 Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.” (Sheol h7585)
Ngarud, saanmo nga itulok a makalasat isuna manipud iti pannakadusa. Nasiribka a tao, ket ammom ti rumbeng nga aramidem kenkuana. Itanemmonto a dara-dara ti ubanan nga ulona. (Sheol h7585)
10 Kisha Daudi akapumzika pamoja na baba zake naye akazikwa katika Mji wa Daudi.
Kalpasanna, pimmusay ni David ket naitanem iti siudad ni David.
11 Daudi alikuwa ametawala juu ya Israeli miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.
Uppat a pulo a tawen ti panagturay ni David iti Israel. Pito a tawen a nagturay isuna idiay Hebron ken tallopulo a tawen idiay Jerusalem.
12 Kwa hiyo Solomoni akaketi katika kiti cha ufalme cha baba yake Daudi, nao utawala wake ukaimarika sana.
Ket nagtugaw ni Solomon iti trono ti amana a ni David ket napatalgedan ti panagturayna.
13 Basi Adoniya, mwana wa Hagithi, akaenda kwa Bathsheba, mama yake Solomoni. Bathsheba akamuuliza, “Je, umekuja kwa amani?” Akajibu, “Ndiyo, kwa amani.”
Kalpasanna, immay kenni Batseba nga ina ni Solomon ni Adoniha nga anak ni Haggit. Kinuna ni Batseba kenkuana, “Kappia kadi ti immayam?” Simmungbat isuna, “Wen, immayak a sikakappia.”
14 Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.” Akajibu, “Waweza kulisema.”
Ket kinuna ni Adoniha, “Adda ibagak kenka.” Isu a simmungbat ni Batseba, “Agsaoka.”
15 Akasema, “Kama unavyojua, ufalme ulikuwa wangu. Israeli wote waliniangalia mimi kama mfalme wao. Lakini mambo yalibadilika, ufalme umekwenda kwa ndugu yangu, kwa maana umemjia kutoka kwa Bwana.
Kinuna ni Adoniha, “Ammom a para kaniak koma ti pagarian ken dagiti amin a tattao ti Israel, ninamnamada a siak ti agbalin nga ari. Nupay kasta, naiyawat iti kabsatko ti pagarian, ta para kenkuana daytoy a nagtaud kenni Yahweh.
16 Sasa ninalo ombi moja ninalokuomba. Usinikatalie.” Bathsheba akasema, “Waweza kuliomba.”
Ita, adda maysa a kiddawek kenka. Saannak koma a paayen.” Kinuna ni Batseba kenkuana, “Agsaoka.”
17 Kwa hiyo akaendelea kusema, “Tafadhali mwombe Mfalme Solomoni, anipatie Abishagi, Mshunami, awe mke wangu; hatakukatalia wewe.”
Kinunana ni Adoniha, “Kasaritam koma ni Solomon nga ari, ta saannaka a paayen, tapno itedna koma kaniak ni Abisag a taga-Sunem nga agbalin nga asawak.”
18 Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”
Kinuna ni Batseba, “Ala wen, kasaritak ti ari.”
19 Bathsheba alipokwenda kwa Mfalme Solomoni kuzungumza naye kwa ajili ya Adoniya, mfalme alisimama kumlaki mama yake, akamwinamia na kuketi kwenye kiti chake cha ufalme. Akaamuru kiti cha ufalme kuletwa kwa ajili ya mama yake mfalme, naye akaketi mkono wake wa kuume.
Napan ngarud nakisarita ni Batseba kenni Ari Solomon para kenni Adoniha. Timmakder ti ari tapno sabtenna isuna ken nagkurno iti sangoananna. Ket nagtugaw ti ari iti tronona ket nagpaiyeg isuna iti tugaw para iti inana. Nagtugaw ni Batseba iti makannawan ni Solomon.
20 Bathsheba akamwambia mfalme, “Ninalo ombi moja dogo la kukuomba; usinikatalie.” Mfalme akajibu, “Omba, mama yangu; sitakukatalia.”
Ket kinuna ni Batseba, “Adda bassit a kiddawek kenka; saannak koma a paayen.” Simmungbat ti ari kenkuana, “Agkiddawkayo ina, saankayo a paayen.”
21 Akasema, “Mruhusu Abishagi, Mshunami, aolewe na ndugu yako Adoniya.”
Kinuna ni Batseba, “Itedmo koma kenni Adoniha a kabsatmo ni Abisag a taga-Sunem tapno agbalin nga asawana.”
22 Mfalme Solomoni akamjibu mama yake, “Kwa nini uombe Abishagi, Mshunami, kwa ajili ya Adoniya? Ungeweza pia kuomba ufalme kwa ajili yake, kwani yeye ni ndugu yangu mkubwa: naam, kwa ajili yake, na kwa kuhani Abiathari na Yoabu mwana wa Seruya!”
Simmungbat ni Ari Solomon ket kinunana iti inana, “Apay a kiddawenyo ni Abisag a taga-Sunem para kenni Adoniha? Apay a saanmo pay a kiddawen ti pagarian para kenkuana, ta isuna ti inauna a kabsatko—para kenkuana, para kenni ni Abiatar a padi, ken para kenni Joab nga anak ni Zeruiah?”
23 Mfalme Solomoni akaapa kwa Bwana, akasema: “Mungu na aniulie mbali, tena bila huruma, ikiwa Adoniya hatalipa kwa uhai wake kwa ajili ya ombi hili!
Kalpasanna, insapata ni Ari Solomon iti nagan ni Yahweh a kunana, “Sapay koma aramiden ti Dios daytoy kaniak ken ad-adda pay koma, no saan nga imbaga ni Adonia daytoy a sao maibusor iti biagna.
24 Basi sasa, hakika kama Bwana aishivyo, yeye ambaye ameniimarisha salama kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu, naye amenipa ufalme wa kudumu kama alivyoahidi, Adoniya atauawa leo!”
Ita ngarud, iti nagan ni Yahweh nga adda iti agnanayon a nangisaad ken nangikabil kaniak iti trono ni David nga amak, ken nangaramid iti balay para kaniak kas inkarina, awan duadua a mapapatay ita nga aldaw ni Adoniha.”
25 Hivyo Mfalme Solomoni akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akampiga Adoniya akafa.
Isu nga imbaon ni Ari Solomon ni Benaias nga anak ni Jehoyada ket nasarakan ni Benaias ni Adoniha ket pinatayna daytoy.
26 Mfalme akamwambia kuhani Abiathari, “Nenda huko Anathothi katika mashamba yako. Wewe unastahili kufa, lakini sitakuua sasa, kwa sababu ulilichukua Sanduku la Bwana Mwenyezi mbele ya Daudi baba yangu na ulishiriki taabu zote za baba yangu.”
Kalpasanna, kinuna ti ari kenni Abiatar a padi, “Mapanka idiay Anatot, iti ayan ti dagam. Rumbeng laeng a matayka, ngem saanka nga ipapatay ita, gapu ta sika ti nakaitalkan ti lakasa ti tulag ni Yahweh a Dios iti sangoanan ni David nga amak ken nakipagsagabaka iti amin a sinagaba ti amak.”
27 Hivyo Solomoni akamwondoa Abiathari kwenye ukuhani wa Bwana, akilitimiza neno la Bwana alilokuwa amenena huko Shilo kuhusu nyumba ya Eli.
Inikkat ngarud ni Solomon ni Abiatar a kas padi ni Yahweh, babaen kenkuana natungpal ti sao ni Yahweh nga imbagana idiay Shiloh maipapan iti balay ni Eli.
28 Habari zilipomfikia Yoabu, ambaye alikuwa amefanya shauri baya na Adoniya, lakini sio na Absalomu, alikimbilia kwenye hema la Bwana na kushika pembe za madhabahu.
Nadamag ni Joab daytoy, ta tinulongan ni Joab ni Adoniha, uray no saanna a tinulongan ni Absalom. Isu a timmaray ni Joab a napan iti tolda ni Yahweh ket immiggem kadagiti sara nga adda iti altar.
29 Mfalme Solomoni akaambiwa kuwa Yoabu amekimbilia kwenye hema la Bwana naye alikuwa kando ya madhabahu. Basi Solomoni akamwagiza Benaya mwana wa Yehoyada: “Nenda ukamuue!”
Naibaga kenni Ari Solomon a timmaray ni Joab iti tolda ni Yahweh ket addan iti abay ti altar. Imbaon ngarud ni Solomon ni Benaias nga anak ni Jehoyada a kunana, “Inka patayen isuna.”
30 Ndipo Benaya akaingia kwenye hema la Bwana na kumwambia Yoabu, “Mfalme anasema, ‘Toka nje!’” Lakini akajibu, “La! Nitafia hapa hapa.” Benaya akamwarifu mfalme, “Hivi ndivyo Yoabu alivyonijibu.”
Isu a napan ni Benaias iti tolda ni Yahweh ket kinunana kenkuana, “Ibagbaga ti ari, 'Rummuarka.'” Simmungbat ni Joab, “Saan, ditoyak a matay.” Nagsubli ngarud ni Benaias iti ayan ti ari a kunana, “Kinuna ni Joab a kaykayatnan ti matay iti ayan ti altar.”
31 Kisha mfalme akamwamuru Benaya, “Fanya kama asemavyo. Muue na kumzika, ili uniondolee mimi na nyumba ya baba yangu dhambi ya damu isiyokuwa na hatia ile Yoabu aliyoimwaga.
Kinuna ti ari kenkuana, “Aramidem no ania ti kayatna. Patayem ket itabonmo isuna, tapno maikkatmo kaniak ken iti balay ti amak ti dara a pinagsayasay ni Joab nga awan gapgapuna.
32 Bwana atamlipiza kwa ajili ya damu aliyoimwaga, kwa sababu pasipo Daudi baba yangu kujua, aliwashambulia watu wawili na kuwaua kwa upanga. Wote wawili, Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli, na Amasa mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Yuda, walikuwa watu wazuri na wanyofu kuliko yeye.
Isubli koma ni Yahweh ti dara ni Joab iti bukodna nga ulo, gapu ta dinarupna ti dua a lallaki a nalinlinteg ken nasaysayaat ngem isuna ket pinatayna ida babaen iti kampilan a saan nga ammo ni David nga amak, ni Abner a pangulo ti armada ti Israel nga anak ni Ner, ken ni Amasa a pangulo ti armada ti Juda nga anak ni Jeter.
33 Hatia ya damu yao na iwe juu ya kichwa cha Yoabu na wazao wake milele. Lakini kwa Daudi na uzao wake, nyumba yake na kiti chake cha ufalme, iwepo amani ya Bwana milele.”
Agsubli koma ti darada iti ulo ni Joab ken iti ulo dagiti kaputotanna iti agnanayon. Ngem kenni David ken kadagiti kaputotanna, ken iti balayna, ken iti tronona, adda koma ti kappia iti agnanayon nga agtaud kenni Yahweh.”
34 Basi Benaya mwana wa Yehoyada akakwea, akampiga na kumuua Yoabu, naye akazikwa katika nchi yake mwenyewe katika jangwa.
Simmang-at ngarud ni Benaias nga anak ni Jehoyada, ket dinarup ken pinatayna ni Joab. Naitabon isuna iti mismo a balayna idiay let-ang.
35 Mfalme akamweka Benaya mwana wa Yehoyada juu ya jeshi kwenye nafasi ya Yoabu na kumweka kuhani Sadoki badala ya Abiathari.
Insaad ti ari ni Benaias nga anak ni Jehoyada a kas pangulo ti armada a kas kasukat ni Joab, ket insaadna met Zadok a padi a kas kasukat ni Abiatar.
36 Kisha mfalme akatuma ujumbe kwa Shimei na kumwambia, “Ujijengee nyumba huko Yerusalemu uishi huko, lakini usiende mahali pengine popote.
Kalpasanna, nangibaon ti ari iti mangayab kenni Shimei ket kinunana kenkuana, “Mangaramidka iti balaymo idiay Jerusalem ket agnaedka sadiay, ken saanka a mapmapan iti sabali a lugar.
37 Siku utakayoondoka kuvuka Bonde la Kidroni, uwe na hakika utakufa; damu yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.”
Ta iti kanito a ballasiwem ti Tanap ti Kidron, ammomon nga awan duadua a matayka. Sikanto ti makinbasol iti ipapataymo.”
38 Shimei akamjibu mfalme, “Ulilolisema ni jema. Mtumishi wako atatenda kama bwana wangu mfalme alivyosema.” Naye Shimei akakaa Yerusalemu kwa muda mrefu.
Isu a kinuna ni Shimei iti ari, “Nasayaat ti imbagam. Kas iti imbaga ti apok nga ari, aramiden ngarud daytoy ti adipenmo.” Nagnaed ngarud ni Shimei iti Jerusalem iti adu nga al-aldaw.
39 Lakini baada ya miaka mitatu, watumwa wawili wa Shimei wakatoroka kwenda kwa Akishi mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi, naye Shimei akaambiwa, “Watumwa wako wako Gathi.”
Ngem idi aglippasen ti tallo a tawen, dua kadagiti adipenna ti nagtalaw a napan kenni Akis nga ari ti Gat nga anak ni Maacah. Imbagada kenni Shemei daytoy a kunada, “Kitaem, adda idiay Gat dagiti adipenmo.”
40 Kwa ajili ya hili, Shimei akatandika punda wake, akaenda kwa Akishi huko Gathi kuwatafuta watumwa wake. Basi Shimei akaondoka na kuwarudisha watumwa wake kutoka Gathi.
Nagrubwat ngarud ni Shimei, inkabilna ti silyeta iti asnona ket napan kenni Akis idiay Gat tapno birokenna dagiti adipenna. Inyawidna dagiti adipenna manipud idiay Gat.
41 Solomoni alipoambiwa kuwa Shimei ametoka Yerusalemu na kwenda Gathi na amekwisha kurudi,
Idi naibaga kenni Solomon a pimmanaw ni Shimei idiay Jerusalem ket napan biit idiay Gat,
42 mfalme akamwita Shimei na kumwambia, “Je, sikukuapiza kwa Bwana na kukuonya kuwa, ‘Siku utakayoondoka kwenda mahali pengine popote, uwe na hakika utakufa?’ Wakati ule uliniambia, ‘Ulilolisema ni jema. Nitatii!’
nangibaon ni Solomon iti mangayab kenni Shimei, ket kinunana kenkuana, “Saan kadi a pinagsapataka iti nagan ni Yahweh, ken pinatalgedak a kunak, 'Iti kanito a rummuarka ket mapanka iti sabali a lugar, ammomon nga awan duadua a matayka'? Ket kinunam kaniak, 'Nasayaat ti imbagam.'
43 Kwa nini basi hukutunza kiapo chako kwa Bwana na kutii amri niliyokupa?”
Apay ngarud a saanmo a tinungpal ti sapatam kenni Yahweh, ken ti imbilinko kenka?”
44 Pia mfalme akamwambia Shimei, “Unajua katika moyo wako makosa uliyomtendea baba yangu Daudi. Sasa Bwana atakulipiza kwa ajili ya mabaya yako uliyotenda.
Kinuna pay ti ari kenni Shimei, “Ammom iti pusom dagiti kinadangkes nga inaramidmo kenni David nga amak. No kasta ngarud, isubli met laeng ni Yahweh kenka ti kinadangkesmo.
45 Lakini Mfalme Solomoni atabarikiwa, na kiti cha ufalme cha Daudi kitakuwa imara mbele za Bwana milele.”
Ngem mabendisionanto ni Ari Solomon, ket maisaadto iti agnanayon ti trono ni David iti sangoanan ni Yahweh.”
46 Kisha mfalme akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka nje, akampiga Shimei na kumuua. Sasa ufalme ukawa umeimarika kikamilifu mikononi mwa Solomoni.
Isu nga imbaon ti ari ni Benaias nga anak ni Jehoyada, rimmuar isuna ket pinatayna ni Shimei. Isu a napatalgedan ti turay iti ima ni Solomon.

< 1 Wafalme 2 >