< 1 Wafalme 18 >
1 Baada ya muda mrefu, katika mwaka wa tatu, neno la Bwana likamjia Eliya kusema, “Nenda ukajionyeshe kwa Ahabu na mimi nitanyesha mvua juu ya nchi.”
Amalalu, ode osodayale gibu hame daha eso agoanega, Hina Gode da Ilaidiama amane sia: i, “Di asili, hina bagade A: iha: bema doaga: ma! Amasea, Na da gibu iasimu.”
2 Kwa hiyo Eliya akaenda kujionyesha kwa Ahabu. Wakati huu njaa ilikuwa kali sana katika Samaria,
Amaiba: le, Ilaidia da muni asi. Samelia soge ganodini, esoiba: le, ha: i da baligili bagadedafa ba: i.
3 naye Ahabu alikuwa amemwita Obadia ambaye alikuwa msimamizi wa jumba lake la kifalme. (Obadia alimcha Bwana sana.
Amaiba: le, A:iha: be da hina bagade diasu ouligisu dunu Oubadaiama, ema misa: ne sia: i. (Oubadaia da noga: le Hina Godema nodone sia: ne gadosu dawa: i.
4 Wakati Yezebeli alipokuwa akiwaua manabii wa Bwana, Obadia alikuwa amewachukua manabii mia moja na kuwaficha katika mapango mawili, hamsini kwenye kila moja na akawa akiwapa chakula na maji.)
Yesebele da Hina Gode Ea balofede dunu ili gebewane medole legelaloba, Oubadaia da balofede dunu 100 agoane lale, dogoa mogili gilisisu 50 aduna hamone, magufu gelabo aduna ganodini wamoaligimusa: oule asili, ilima ha: i manu amola hano gaguli masu.)
5 Ahabu alikuwa amemwambia Obadia, “Nenda katika nchi yote kwenye vijito vyote na mabonde. Huenda tunaweza kupata majani ya kuwalisha farasi na nyumbu wapate kuishi ili tusilazimike kuwaua hata mmoja wa wanyama wetu.”
A: iha: be da Oubadaiama amane sia: i, “Ani ahoa: di! Ania da hano bubuga: su amola hano logo huluane soge ganodini ba: la masunu. Ania da Isala: ili dunu ilia hosi amola miule esalomusa: defele gisi hogola masunu. Amabela: ? Ninia ohe afae da hame medole legei ba: ma: bela: ?”
6 Kwa hiyo wakagawanya nchi waliyokusudia kutafuta majani, Ahabu akaenda upande mmoja na Obadia upande mwingine.
Ela da sia: dalu, ela afae afae hogola masunu soge ilegei. Amalalu, ela da logo higagale asi.
7 Wakati Obadia alipokuwa akitembea njiani, Eliya akakutana naye. Obadia akamtambua, akamsujudia hadi nchi na kusema, “Je, hivi kweli ni wewe, bwana wangu Eliya?”
Oubadaia da logoga ahoanoba, hedolowane Ilaidia ba: i. E da ea odagi dawa: beba: le, ea midadi gududafa beguduli, amane adole ba: i, “Hina! Amo da dila: ?”
8 Eliya akamjibu, “Ndiyo, nenda ukamwambie bwana wako Ahabu, ‘Eliya yuko hapa.’”
E bu adole i, “Dafawane! Na da Ilaidia wea! Di asili, dia hina bagade ema na da guiguda: esala: ba: ya adoma!”
9 Obadia akamuuliza, “Ni kosa gani nimefanya, hata ukaamua kumkabidhi mtumishi wako mkononi mwa Ahabu ili aniue?
Oubadaia da amane adole i, “Na da adi hamobela: ? Dia da abuliba: le na hina bagade A: iha: be, ea na fane legema: ne logo fodosala: ?
10 Hakika kama Bwana Mungu wako aishivyo, hakuna taifa hata moja au ufalme ambapo bwana wangu hajamtuma mtu kukutafuta. Kila wakati taifa au ufalme walipodai kwamba haupo huko, aliwafanya waape kwamba hawakuweza kukupata.
Dia Hina Gode Esala amo Ea Dioba: le na da dafawane ilegele sia: sa. A: iha: be da osobo bagadega fifi asi gala huluane amo ganodini, di hogoi helei. Soge fi ouligisu dunu afae da di da ea soge ganodini hame esala sia: ne iasu ianoba, A:iha: be da amo hina bagade, e da di hamedafa ba: i, amo dafawane ilegele sia: musa: sia: i.
11 Lakini sasa unaniambia niende kwa bwana wangu na kusema, ‘Eliya yuko hapa.’
Amaiba: le, di da abuliba: le nama di da goega: i esala, amane ema sia: na masa: ne sia: bela: ?
12 Sijui ni wapi Roho wa Bwana ataamua kukupeleka wakati nitakapokuacha. Kama nikienda kumwambia Ahabu na asikupate, ataniua. Hata hivyo mimi mtumishi wako nimemwabudu Bwana tangu ujana wangu.
Na da ahoasea, amola Hina Gode Ea A: silibu da di eno hame dawa: sogega oule ahoasea, na da adi hamoma: bela: ? Amane hamosea, na da A: iha: bema, di da goega: i esala amo adole, e da di goega: i esalebe hame ba: sea, na medole legemu. Di bu dawa: ma! Na goi fonobahadiga ganini, Hina Godema noga: le nodone sia: ne gadosu dawa: i.
13 Je, hukusikia, bwana wangu, nilifanya nini wakati Yezebeli alipokuwa akiua manabii wa Bwana? Niliwaficha manabii wa Bwana mia moja katika mapango mawili, hamsini katika kila moja, nami nikawapatia chakula na maji.
Yesebele da Hina Gode Ea balofede dunu ili gebewane medole legelaloba, na da balofede dunu 100 agoane lale, dogoa mogili gilisisu idi 50 aduna hamone, magufu gelabo aduna ganodini wamoaligimusa: oule asili, ilima ha: i manu amola hano gaguli masu. Amo di da hame nabibala: ?
14 Nawe sasa unaniambia niende kwa bwana wangu na kumwambia, ‘Eliya yuko hapa.’ Yeye ataniua!”
Amaiba: le, di da abuli na hina bagadema, di da goega: i esala: ba: ya adoma: ne, nama sia: sala: ? E da na medole legemu!”
15 Eliya akasema, “Kama Bwana Mwenye Nguvu Zote aishivyo, yeye ninayemtumikia, hakika nitajionyesha kwa Ahabu leo.”
Ilaidia da bu adole i, “Na da Hina Gode Bagadedafa Esala amo Ea hawa: hamonana. Amola na da Ea Dioba: le dafawane ilegele sia: sa. Na da wali esoga, hina bagadema odagi olemu.”
16 Basi Obadia akaenda kukutana na Ahabu na kumwambia, naye Ahabu akaenda kukutana na Eliya.
Amaiba: le, Oubadaia da hina bagade A: iha: bema asili, ema Ilaidia da esala: ba: ya adoi. Amalu, A:iha: be da Ilaidia gousa: musa: asi.
17 Ahabu alipomwona Eliya, akamwambia, “Je, ni wewe, mtaabishaji wa Israeli?”
A: iha: be da Ilaidia ba: beba: le, amane sia: i, “Agoea esalebe! Di da Isala: ili soge ganodini bidi hamosu dunu oda ilia hamosu bagadewane baligisa.”
18 Eliya akamjibu, “Mimi sijaitaabisha Israeli. Lakini wewe na jamaa ya baba yako ndio mnaofanya hivyo. Mmeziacha amri za Bwana na mkafuata Mabaali.
Ilaidia da bu adole i, “Na da bidi hamosu dunudafa hame. Be di amola dia ada alia da bidi hamosu dunu. Di da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amo mae nabawane hamone, ogogole ‘gode’ Ba: ile agoaila hahamoi amoma nodone sia: ne gadolala.
19 Sasa waite watu kutoka Israeli yote tukutane nao juu ya Mlima Karmeli. Nawe uwalete hao manabii wa Baali mia nne na hamsini na hao manabii mia nne wa Ashera, walao chakula mezani mwa Yezebeli.”
Waha Isala: ili dunu huluane na gousa: musa: , Gamele Goumi amoga misa: ne sia: ma. Ilia da Ba: ile balofede dunu 450 agoane amola ogogole uda ‘gode’ Asila ea balofede dunu 400 agoane amo da hina bagade uda Yesebele ea fuligala: be, amo huluane oule misa.”
20 Ndipo Ahabu akatuma ujumbe katika Israeli yote na kuwakusanya manabii hao juu ya mlima Karmeli.
Amaiba: le, A:iha: be da Isala: ili dunu huluane amola Ba: ile balofede dunu huluane, Gamele Goumia gilisima: ne sia: i.
21 Eliya akasimama mbele ya watu na kusema, “Mtasitasita katika mawazo mawili hadi lini? Ikiwa Bwana ndiye Mungu, mfuateni yeye; lakini ikiwa Baali ni Mungu, basi mfuateni yeye.” Lakini watu hawakusema kitu.
Ilaidia da dunu huluanema asili, amane sia: i, “Dilia da habo wali seda ‘gode’ aduna elama fa: no bobogemusa: dadawa: loma: bela: ? Dilia da Hina Gode da Godedafa dawa: sea, Ema nodone sia: ne gadoma! Be dilia da Ba: ile da Godedafa dawa: sea, ema nodone sia: ne gadoma!” Be Isala: ili dunu da sia: afae hamedafa sia: i.
22 Kisha Eliya akawaambia, “Ni mimi peke yangu nabii wa Bwana aliyebaki, lakini Baali ana manabii mia nne na hamsini.
Amalalu, Ilaidia da amane sia: i, “Na fawane da Hina Gode Ea balofede dunudafa esala. Be Ba: ile ea balofede dunu da 450 agoane esala.
23 Leteni mafahali wawili. Wao na wajichagulie mmoja, wamkate vipande vipande na waweke juu ya kuni lakini wasiiwashie moto. Nitamwandaa huyo fahali mwingine na kumweka juu ya kuni lakini sitawasha moto.
Bulamagau gawali aduna gaguli misa! Ba: ile balofede dunu ilia da afae lale, medole, dasega: le, lalu habei da: iya ligisima. Be lalu mae ulagima. Na da bulamagau eno amoga ilia hamoi amo defele hamomu.
24 Kisha mliitie jina la mungu wenu, nami nitaliitia jina la Bwana Mungu yule ambaye atajibu kwa moto, huyo ndiye Mungu.” Kisha watu wote wakasema, “Hilo unalosema ni jema.”
Amalu, Ba: ile balofede dunu da ilia ‘gode’ma sia: ne gadoma: ma. Amola na da Hina Godema sia: ne gadomu. Amalu, nowa ea hahamoi lalu nene gala: be ba: sea, amo ilia ‘gode’ da Godedafa esalebe dawa: mu.” Dunu huluane da amo hamomu hou hahawane nababeba: le, wele sia: i.
25 Eliya akawaambia manabii wa Baali, “Chagueni mmoja kati ya hawa mafahali na mwe wa kwanza kumwandaa, kwa kuwa ninyi mko wengi sana. Liitieni jina la mungu wenu, lakini msiwashe moto.”
Ilaidia da Ba: ile balofede dunuma amane sia: i, “Dilia da dunu bagohameba: le, dili hidadea, bulamagau gawali lale, hahamoma. Dilia ‘gode’ma sia: ne gadoma, be lalu habei mae ulagisima.”
26 Kwa hiyo wakamchukua yule fahali waliyepewa, nao wakamwandaa. Kisha wakaliitia jina la Baali kutoka asubuhi hadi adhuhuri, wakapiga kelele, “Ee Baali, utujibu!” Lakini hapakuwa na jibu; hakuna aliyejibu. Nao wakacheza kuizunguka madhabahu waliyoijenga.
Ilia da bulamagau gawali amo da ilima gaguli misi, amo lale hahamoi. Amalu, Ba: ilema sia: ne gadolalobawane, esomogoa doaga: i. Ilia da amane wele sia: i, “Ba: ile! Ba: ile! Ninia sia: ne gadobe nabima: i!” Amola, ilia da oloda ilia gagili, amo sisiga: le, gagafodudalu. Be amomane, Ba: ile da ilima dabe hame adole i.
27 Wakati wa adhuhuri, Eliya akaanza kuwadhihaki, akisema, “Pigeni kelele zaidi! Hakika yeye ni mungu! Labda amezama katika mawazo mazito, au ana shughuli nyingi, au amesafiri. Labda amelala usingizi mzito, naye ni lazima aamshwe.”
Esomogoadafa, Ilaidia da iliba: le lalasogole oufesega: nu. E amane sia: i, “Bu ha: giwane sia: ne gadoma! E da ‘gode’! E da olobolala ganumu o baeya sowana ganumu. O e da logoba: le asi ganumu. O e da golai diala ganumu. Amo didilisima!”
28 Kwa hiyo wakapiga kelele zaidi na kama ilivyokuwa desturi yao wakajichanja wenyewe kwa visu na vyembe, mpaka damu ikachuruzika.
Amaiba: le, balofede dunu da bu ha: giwane sia: ne gadole amola ilia hou defele, ili gobele gobihei amola nusi amoga fofa: ginanobawane, maga: me da a: idafia: i.
29 Adhuhuri ikapita, nao wakaendelea na utabiri wao wa kiwazimu mpaka wakati wa dhabihu ya jioni. Lakini hapakuwa na jibu, hakuna aliyejibu, hakuna aliyeangalia.
Ilia da dadoula sisiga: sa lafia: lalobawane, baloga doaga: i. Be dabe adole iasu sia: da afae hame nabi.
30 Kisha Eliya akawaambia watu wote, “Sogeeni karibu nami.” Watu wote wakamkaribia, naye akakarabati madhabahu ya Bwana, ambayo ilikuwa imevunjwa.
Amalalu, Ilaidia da dunu huluanema amane sia: i, “Nama gadenena misa.” Ilia da Ilaidiama gilisila misi. E da Hina Gode Ea oloda mugului, amo bu hahamoi.
31 Eliya akachukua mawe kumi na mawili, moja kwa ajili ya kila kabila la wana wa Yakobo, ambaye neno la Bwana lilimjia, likisema, “Jina lako litakuwa Israeli.”
E da gele fagoyale gala lai. Amo gele afae afae da Ya: igobe (Hina Gode da ema Isala: ili dio asuli) amo ea mano afae afae dawa: ma: ne, lai.
32 Kwa mawe hayo, akajenga madhabahu katika jina la Bwana, na akachimba handaki kuizunguka, ukubwa wa kutosha vipimo viwili vya mbegu.
Amo gelega, e da Hina Godema nodone sia: ne gadosu oloda bu hahamoi. Oloda sisiga: le, e da hano logo amoga hano soga: sali amo nabai defei da 15 lida.
33 Akapanga kuni, akamkata yule fahali vipande vipande na kuvipanga juu ya kuni. Kisha akawaambia, “Jazeni mapipa manne maji na kuyamwaga juu ya sadaka ya kuteketezwa na juu ya kuni.”
Amalu, e da oloda da: iya, lalu habei ligisili, bulamagau dasega: le, fofonobone dadamuni ligisi. E amane sia: i, “Dilia da osoboga hamoi ofodo bagade biyaduyale amoga hano dili, amo bulamagau gobele salimu amo da: iya amola lalu habei da: iya sogaga: la: ma.” Ilia da amo defele hamoi.
34 Akawaambia, “Fanyeni hivyo tena.” Nao wakafanya hivyo tena. Akaagiza, “Fanyeni kwa mara ya tatu.” Nao wakafanya hivyo kwa mara ya tatu.
E amane sia: i, “Bu hamoma!” Ilia da amane hamoi. E amane sia: i, “Bu hamoma!” Amola ilia da amane hamoi.
35 Maji yakatiririka kuizunguka madhabahu na hata kujaza lile handaki.
Hano da gudu sa: ili, oloda sisiga: le, hano logo nabalesi.
36 Wakati wa kutoa dhabihu ya jioni, nabii Eliya akasogea mbele na kuomba, akisema: “Ee Bwana, Mungu wa Abrahamu, na Isaki na Israeli, ijulikane leo kwamba wewe ndiye Mungu katika Israeli na ya kwamba mimi ni mtumishi wako na nimefanya mambo haya yote kwa neno lako.
37 Unijibu mimi, Ee Bwana, nijibu mimi, ili watu hawa wajue kwamba wewe, Ee Bwana, ndiwe Mungu, na kwamba unaigeuza mioyo yao ikurudie tena.”
Baloga, ilia gobele salasu hamoma: ne ilegebe, balofede Ilaidia da oloda amoga asili, amane sia: ne gadoi, “Hina Gode! A: ibalaha: me amola Aisage amola Ya: igobe ilia Gode! Di da Isala: ili Godedafa, amola na da Dia hawa: hamosu dunu, amola na wali hamoi da Dia hamoma: ne sia: beba: le hamoi, Isala: ili dunu da amo huluane dafawaneyale dawa: ma: ne, Dia na adole ba: su sia: ne gadosu amoma dabe adole ima. Hina Gode! Nama bu adole ima. Isala: ili dunu da Di, Hina Gode, da Godedafa amola Di da ili Dima bu hiougilala, amo ilia da dawa: ma: ne, na sia: ne gadosu amo dabe adole ima.”
38 Kisha moto wa Bwana ukashuka na kuiteketeza ile dhabihu, zile kuni, yale mawe, ule udongo, na pia kuramba yale maji yaliyokuwa ndani ya handaki.
Hina Gode da lalu gudu sanasi. Lalu da gobele salasu bulamagau amola lalu habei amola gele amola osobo huluane nene dagoi. Amola hano amo hano logo ganodini dialu amo huluane hafoga: i dagoi ba: i.
39 Wakati watu wote walipoona hili, wakaanguka kifudifudi na kulia, “Bwana: yeye ndiye Mungu! Bwana: yeye ndiye Mungu!”
Dunu huluane da amo hou ba: beba: le, ilisu osoba gala: la sa: i. Ilia amane wele sia: i, “Hina Gode da Godedafa! Hina Gode Hisu da Godedafa!”
40 Kisha Eliya akawaamuru, “Wakamateni hao manabii wa Baali. Msimwache hata mmoja atoroke!” Wakawakamata, naye Eliya akawaleta mpaka Bonde la Kishoni na kuwachinja huko.
Ilaidia da amane hamoma: ne sia: i, “Ba: ile balofede dunu gagulaliligima! Dunu afae da maedafa hobeama: ma!” Isala: ili dunu da Ba: ile balofede dunu huluane gagulaliligi. Amola Ilaidia da ili oule, Gaisione Hanoga sa: ili, ili huluane fane lelegei.
41 Eliya akamwambia Ahabu, “Nenda, ukale na kunywa, kwa kuwa kuna sauti ya mvua kubwa.”
Amalalu, Ilaidia da hina bagade A: iha: bema amane sia: i, “Waha ha: i namasa! Na da gibu bagade olamabe naba!”
42 Hivyo Ahabu akaondoka ili kula na kunywa. Lakini Eliya akapanda kileleni mwa Karmeli, akasujudu na akaweka kichwa chake katikati ya magoti yake.
A: iha: be da ha: i na ahoanoba, Ilaidia da Gamele Goumi da: iya heda: le, beguduli, osoboga muguni adoba dialuma bugi.
43 Akamwambia mtumishi wake, “Nenda ukatazame kuelekea bahari.” Akaenda na kutazama. Akasema, “Hakuna kitu chochote huko.” Mara saba Eliya akasema, “Nenda tena.”
E da ea hawa: hamosu dunuma amane sia: i, “Di da asili, hano wayabo bagade amoga ba: le gama!” Ea hawa: hamosu dunu da amo ba: la asili, bu misini, amane sia: i, “Na da liligi hamedafa ba: i.” Ilaidia da ema fesuale agoane ba: la afufuma: ne sia: i.
44 Mara ya saba, mtumishi akaleta taarifa, “Wingu dogo kama mkono wa mwanadamu linainuka kutoka baharini.” Hivyo Eliya akasema, “Nenda ukamwambie Ahabu, ‘Tandika gari lako na ushuke kabla mvua haijakuzuia.’”
E da afufulala fesu amoga ba: la asi, bu misini, amane sia: i, “Na da mobi fonobahadi, dunu ea lobo agoai, amo baligili hame, be agoai fawane hano wayabo gudunini gado heda: lebe ba: i.” Ilaidia da ea hawa: hamosu dunuma amane sia: i, “hina bagade A: iha: bema asili, ea masunu logo gibuga ga: sa: besa: le, ea ‘sa: liode’ lale, amo da: iya fila heda: le, hi diasua hedolo masa: ne sia: ma.”
45 Wakati ule ule anga likawa jeusi kwa mawingu, upepo ukainuka na mvua kubwa ikanyesha, naye Ahabu akaenda zake Yezreeli.
Fonobahadi aligili, mu da mobiga gasili gala: i ba: i, amola fo da muni misi amola gibu bagade da muni sa: i. A: iha: be da ea ‘sa: liode’ da: iya fila heda: le, Yeseliele moilai bai bagadega buhagi.
46 Nguvu za Bwana zikamjia Eliya, naye akajikaza viuno, akakimbia mbele ya Ahabu njia yote hadi maingilio ya Yezreeli.
Hina Bagade Gode Ea gasa da misini, Ilaidiama doaga: i. Ilaidia da ea abula hina: bulu ga: sua ha: gidafa idiniginanu, A:iha: be fa: nonesilalu, ea bisili hehenaiya ahoana, Yeseliele amoma doaga: i.