< 1 Wafalme 16 >
1 Ndipo neno la Bwana likamjia Yehu mwana wa Hanani dhidi ya Baasha, kusema:
Aa le niheo am’Ieho ana’ i Kananý ty tsara’ Iehovà amy Baasa, nanao ty hoe:
2 “Nilikuinua kutoka mavumbini na kukufanya kiongozi wa watu wangu Israeli, lakini ukaenenda katika njia za Yeroboamu na kusababisha watu wangu Israeli kutenda dhambi na kunikasirisha kwa dhambi zao.
Kanao naonjoko amy debokey irehe naho nanoeko mpifehe Israele, ondatikoo, naho nañaveloa’o an-tsata’ Iarovame nampanan-tahiñe ondatiko Israeleo hanigik’ ahy hibosehako amo hakeo’eo,
3 Basi nitamwangamiza Baasha pamoja na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yako kama ile ya Yeroboamu mwanawe Nebati.
inao! ho faopaoheko añe t’i Baasa naho i anjomba’ey vaho hanoeko hambañe amy anjomba’ Iarovame ana’ i Nebatey;
4 Mbwa watawala watu wa Baasha watakaofia mjini na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani.”
ze amy Baasa mibanitse an-drova ao le ho hanen’ amboa vaho habotse’ o voron-tiokeo o aze miantantiritse an-teteke eio.
5 Kwa matukio mengine ya utawala wa Baasha, aliyoyafanya na mafanikio yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Ty ila’ o fitoloña’ i Baasao naho o tolon-draha’eo vaho o haozara’eo; tsy fa sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Israeleoy hao?
6 Baasha akalala na baba zake naye akazikwa huko Tirsa. Naye Ela mwanawe akawa mfalme baada yake.
Nitrao-piròtse aman-droae’e t’i Baasa naho nalenteke e Tirtsà ao vaho nandimbe aze ho mpifehe t’i Elà ana-dahi’e.
7 Zaidi ya hayo, neno la Bwana likamjia Baasha pamoja na nyumba yake kupitia kwa nabii Yehu mwana wa Hanani, kwa sababu ya maovu yote aliyokuwa ametenda machoni pa Bwana, akamkasirisha kwa mambo aliyotenda, na kuwa kama nyumba ya Yeroboamu, na pia kwa sababu aliiangamiza.
Mbore niatreatre i Baasa naho i anjomba’ey, am-pità’ Iehò, mpitoky, ana’ i Kananý ty tsara’ Iehovà, ty amo haloloañe iaby nanoe’e am-pivazohoa’ Iehovào, hanigìk’ aze hiforoforo amo fitoloñam-pità’eo, ie nanahake i anjomba’ Iarovame nañohofa’e lozay.
8 Katika mwaka wa ishirini na sita wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala huko Tirsa kwa miaka miwili.
Amy taom-paha-roapolo-eneñ’ ambi’ i Asa mpanjaka’ Iehoday, ty namotora’ i Elà ana’ i Baasa nifehe Israele e Tirtsà ao vaho nifehe roe taoñe.
9 Zimri, mmoja wa maafisa wake, aliyekuwa na amri juu ya nusu ya magari yake ya vita, akafanya hila mbaya dhidi ya Ela. Wakati huo Ela alikuwa Tirsa, akilewa katika nyumba ya Arsa, mtu aliyekuwa msimamizi wa jumba la kifalme huko Tirsa.
Nikinià’ i Zimrý mpitoro’e, mpifeleke ty an-tsasa’ o sarete’eo, ie e Tirtsà añe nigenoke ho mamo añ’ akiba’ i Artsà, mpamandro’ i anjomba’e e Tirtsày,
10 Zimri akaingia, akampiga na kumuua katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda. Kisha Zimri akaingia mahali pake kuwa mfalme.
le nizilik’ ao ty Zimrý nanjevoñe naho namono aze an-taom-paha-roapolo-fito’ ambi’ i Asa, mpanjaka’ Iehoda vaho nandimbe aze nifeleke.
11 Mara tu alipoanza kutawala na kuketi juu ya kiti cha ufalme, aliua jamaa yote ya Baasha. Hakumwacha mwanaume hata mmoja, akiwa ni ndugu au rafiki.
Ie niorotse nifehe naho vata’e niambesatse amy fiambesa’ey, le fonga zinama’e ty anjomba’ i Baasa; tsy nenga’e raike amo longo’eo, ndra amo rañe’eo ty namany an-kijoly.
12 Hivyo Zimri akaangamiza jamaa yote ya Baasha, kulingana na neno la Bwana lililonenwa dhidi ya Baasha kupitia nabii Yehu:
Fonga narotsa’ i Zimrý ty anjomba’ i Baasa, ty amy tsara’ Iehovà nafe’e amy Baasa añamy Iehò, mpitoky,
13 kwa sababu ya dhambi zote Baasha na mwanawe Ela walizokuwa wametenda na wakasababisha Israeli kuzitenda, basi wakamkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.
ty amo hakeo’ i Baasao naho o tahi’ i Elà ana’eo, amo hakeo’eo naho ie nampanan-tahiñe Israele vaho nanigike ty haviñera’ Iehovà Andrianañahare’ Israele amo hakoaha’ iareoo.
14 Kwa matukio mengine ya utawala wa Ela, na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Aa naho o fitoloña’ i Elà ila’eo, o fonga raha nanoe’eo; tsy fa sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Israeleoy hao?
15 Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri akatawala huko Tirsa siku saba. Jeshi lilikuwa limepiga kambi karibu na Gibethoni, mji wa Wafilisti.
Ie an-taom-paha-roapolo-fito’ ambi’ i Asa mpanjaka’ Iehoda, le nifehe fito andro e Tirtsà ao t’i Zimrý. Nitobe hañatreatre’ i Gebetonen-te-Pelistio, ondatio henane zay.
16 Wakati Waisraeli waliokuwa kambini waliposikia kuwa Zimri alikuwa amefanya hila mbaya dhidi ya mfalme na kumuua, wakamtangaza Omri, jemadari wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli siku iyo hiyo huko kambini.
Aa ie jinanji’ ondaty an-tobe ao, ty hoe: Nikilily t’i Zimrý namono i mpanjakay, le nanoe’ Israele iaby mpanjaka’ Israele t’i Omrý, mpifehe’ i valobohòkey an-tobe ao amy andro zay.
17 Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirsa.
Niavotse boak’e Gibetone t’i Omrý rekets’ Israele iaby nañarikatoke i Tirtsà.
18 Wakati Zimri alipoona kuwa mji umechukuliwa, alikwenda ndani ya ngome ya jumba la kifalme na kulichoma moto jumba la kifalme na kujiteketeza ndani yake. Kwa hiyo akafa,
Naho nioni’ i Zimrý t’ie nandrambe i rovay, le nimoak’ amy fitilik’ abo’ i anjombam-panjakaiy, le finorototo’e ama’e i anjombam-panjakay vaho nihomake,
19 kwa sababu ya dhambi alizofanya, akitenda maovu machoni pa Bwana na kuenenda katika njia za Yeroboamu na katika dhambi alizofanya na kusababisha Israeli kuzifanya.
ty amo hakeo nanoe’e an-karatiañe am-pivazohoa’ Iehovào amy nañaveloa’e an-tsata’ Iarovamey vaho amo tahiñe nanoe’e hampandilatse Israeleo.
20 Kwa matukio mengine ya utawala wa Zimri, na uasi alioutenda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Aa naho o fitoloña’ i Zimrý ila’eo; i fikitrohan-draty nanoe’ey; tsy fa sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Israeleoy hao?
21 Ndipo watu wa Israeli wakagawanyika katika makundi mawili, nusu wakamuunga mkono Tibni mwana wa Ginathi ili awe mfalme na nusu nyingine wakamuunga mkono Omri.
Nizara roe amy zao o nte-Israeleo; nañorike i Tibný ana’ i Ginate ty vaki’ ondatio hanoe’ iereo mpanjaka, le nañorike i Omrý ka ty vaki’e.
22 Lakini wafuasi wa Omri wakajionyesha wenye nguvu kuliko wale wa Tibni mwana wa Ginathi. Hivyo Tibni akafa na Omri akawa mfalme.
Fe naharotsake o mpañorike i Tibný ana’ i Ginateo o nañorike i Omrio; aa le nikoromake t’i Tibný vaho nifehe t’i Omrý.
23 Katika mwaka wa thelathini na moja wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala kwa miaka kumi na miwili, sita kati ya hiyo katika Tirsa.
Amy taom-paha-telopolo-raik’ ambi’ i Asa mpanjaka’ Iehoday ty niorota’ i Omrý nifehe’ Israele, le nifeleke folo-tao-ro’amby, nifehe enen-taoñe e Tirtsà.
24 Alinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbili za fedha na akajenga mji juu ya hicho kilima, akiuita Samaria, kutokana na Shemeri, jina la mmiliki wa kwanza wa kilima hicho.
Vinili’e talenta volafoty roe amy Semere ty tamboho atao Somerone, le nandranjy amy haboañey vaho nitokave’e Somerone i rova namboare’ey ty amy tahina’ i Semere tompo’ i tambohoiy.
25 Lakini Omri akatenda maovu machoni pa Bwana na kutenda dhambi kuliko wote waliomtangulia.
Nitolon-karatiañe am-pihaino’ Iehovà t’i Omrý, lombolombo’ o niaolo aze iabio o haloloañe nanoe’eo;
26 Akaenenda katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi zake, ambazo alisababisha Israeli kutenda, hivyo basi wakamkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.
amy te fonga nañaveloa’e o sata’ Iarovame ana’ i Nebateo naho i tahiñe nampanaña’e hakeo Israeley, ie nanigìke Iehovà Andrianañahare’ Israele hiviñera’e amo hakoaha’ iareoo.
27 Kwa matukio mengine ya utawala wa Omri, yale aliyofanya na vitu alivyovifanikisha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Le o fitoloña’ i Omrý ila’eo naho ty haozarañe naboa’e, tsy fa sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Israeleoy hao?
28 Omri akalala pamoja na baba zake na akazikwa huko Samaria. Ahabu mwanawe akatawala mahali pake.
Nitrao-piròtse aman-droae’e t’i Omrý naho nalenteke e Somerone ao vaho nandimbe aze nifehe t’i Akabe, ana’e.
29 Katika mwaka wa thelathini na nane wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala Israeli akiwa Samaria kwa miaka ishirini na miwili.
An-taom-paha-telopolo-valo’ ambi’ i Asa mpanjaka’ Iehoda ty niorota’ i Akabe ana’ i Omrý nifehe Israele le nifeleke Israele e Somerone ao roapolo taoñe ro’amby;
30 Ahabu mwana wa Omri akafanya maovu zaidi machoni mwa Bwana kuliko yeyote aliyewatangulia.
nanao haloloañe am-pivazohoa’ Iehovà t’i Akabe ana’ i Omrý, mandikoatse o niaolo aze iabio.
31 Kama vile haikutosha kuishi kama Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti wa Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, naye akaanza kumtumikia Baali na kumwabudu.
Ie amy zao, hoe nimaivañ’ ama’e ty manjotik’ amo hakeo’ Iarovame ana’ i Nebateo t’ie mbore nañenga Iizebele ho vali’e, ie ana’ i Etebaale mpanjaka’ o nte-Tsidoneo naho nimb’eo nitoroñe i Baale vaho nitalahoa’e.
32 Akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali katika hekalu la Baali lile alilolijenga huko Samaria.
Nampitroara’e kitrely ty Baale amy anjomba’ i Baale niranjie’e e Someroney.
33 Pia Ahabu akatengeneza nguzo ya Ashera na kufanya mengi ili kumkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli, kuliko walivyofanya wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.
Namboare’ i Akabe ka ty ala-vondro; nilombolombo’ o mpanjaka’ Israele niaolo aze iabio t’i Akabe ami’ty fanigiha’e ty haviñera’ Iehovà Andrianañahare’ Israele.
34 Katika wakati wa Ahabu, Hieli, Mbetheli, akaijenga upya Yeriko. Aliweka misingi yake kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza Abiramu, na kuweka malango yake kwa gharama ya mwanawe mdogo Segubu, kulingana na neno la Bwana alilosema kupitia Yoshua mwana wa Nuni.
Tañ’ andro’e ty namboare’ i Kiale ty Ierikò. I Abirame tañoloñoloña’e ty nampipoha’e o mananta’eo le i Segobe tsitso’e ty nampitroara’e o lalambeio ty amy tsara’ Iehovà nitsarae’e añam’ Iehosoa ana’ i Noney.