< 1 Wafalme 16 >

1 Ndipo neno la Bwana likamjia Yehu mwana wa Hanani dhidi ya Baasha, kusema:
Men til Jehu, Hananis Søn, kom HERRENs ord mod Ba'sja således:
2 “Nilikuinua kutoka mavumbini na kukufanya kiongozi wa watu wangu Israeli, lakini ukaenenda katika njia za Yeroboamu na kusababisha watu wangu Israeli kutenda dhambi na kunikasirisha kwa dhambi zao.
"Jeg ophøjede dig af Støvet og gjorde dig til Fyrste over mit Folk Israel, dog har du vandret i Jeroboams Spor og forledt mit Folk Israel til Synd, så de krænker mig ved deres Synder;
3 Basi nitamwangamiza Baasha pamoja na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yako kama ile ya Yeroboamu mwanawe Nebati.
se, derfor vil jeg nu feje Basja og hans Hus bort og gøre det samme ved dit Hus, som jeg gjorde ved Jeroboams, Nebats Søns, Hus;
4 Mbwa watawala watu wa Baasha watakaofia mjini na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani.”
den af Basjas Slægt, som dør i Byen, skal Hundene æde, og den, som dør på Marken, skal Himmelens Fugle æde!"
5 Kwa matukio mengine ya utawala wa Baasha, aliyoyafanya na mafanikio yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Hvad der ellers er at fortælle om Ba'sja, hvad han gjorde, og hans Heltegerninger, står jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
6 Baasha akalala na baba zake naye akazikwa huko Tirsa. Naye Ela mwanawe akawa mfalme baada yake.
Så lagde Ba'sja sig til Hvile hos sine Fædre og blev jordet i Tirza; og hans Søn Ela blev Konge i hans Sted.
7 Zaidi ya hayo, neno la Bwana likamjia Baasha pamoja na nyumba yake kupitia kwa nabii Yehu mwana wa Hanani, kwa sababu ya maovu yote aliyokuwa ametenda machoni pa Bwana, akamkasirisha kwa mambo aliyotenda, na kuwa kama nyumba ya Yeroboamu, na pia kwa sababu aliiangamiza.
Desuden kom HERRENs Ord ved Profeten Jehu, Hananis Søn, mod Ba'sja og hans Hus både på Grund af alt det, han havde gjort, som var ondt i HERRENs Øjne, idet han krænkede ham ved sine Hænders Værk og efterlignede Jeroboams Hus, og tillige fordi han lod dette nedhugge.
8 Katika mwaka wa ishirini na sita wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala huko Tirsa kwa miaka miwili.
I Kong Asa af Judas seks og tyvende Regeringsår blev Ela, Ba'sjas Søn, Konge over Israel, og han herskede to År i Tirza.
9 Zimri, mmoja wa maafisa wake, aliyekuwa na amri juu ya nusu ya magari yake ya vita, akafanya hila mbaya dhidi ya Ela. Wakati huo Ela alikuwa Tirsa, akilewa katika nyumba ya Arsa, mtu aliyekuwa msimamizi wa jumba la kifalme huko Tirsa.
Så stiftede en af hans Mænd, Zimri, der var Fører for den ene Halvdel af Stridsvognene, en Sammensværgelse imod ham; og engang, da han i Tirza var beruset ved et Drikkelag i sin Paladsøverste Arzas Hus,
10 Zimri akaingia, akampiga na kumuua katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda. Kisha Zimri akaingia mahali pake kuwa mfalme.
trængte Zimri ind og slog ham ihjel - i Kong Asa af Judas syv og tyvende Regeringsår - og blev Konge i hans Sted.
11 Mara tu alipoanza kutawala na kuketi juu ya kiti cha ufalme, aliua jamaa yote ya Baasha. Hakumwacha mwanaume hata mmoja, akiwa ni ndugu au rafiki.
Da han var blevet Konge og havde besteget Tronen, lod han hele Basjas Hus dræbe uden at levne et mandligt Væsen og tillige hans nærmeste Slægtninge og Venner;
12 Hivyo Zimri akaangamiza jamaa yote ya Baasha, kulingana na neno la Bwana lililonenwa dhidi ya Baasha kupitia nabii Yehu:
således udryddede Zimri hele Ba'sjas Hus efter det Ord, HERREN havde talet til Basja ved Profeten Jehu,
13 kwa sababu ya dhambi zote Baasha na mwanawe Ela walizokuwa wametenda na wakasababisha Israeli kuzitenda, basi wakamkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.
for alle de Synders Skyld, som Ba'sja og hans Søn Ela havde begået og forledt Israel til, så at de krænkede HERREN, Israels Gud, ved deres Afguder.
14 Kwa matukio mengine ya utawala wa Ela, na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Hvad der ellers er af fortælle om Ela, alt, hvad han gjorde, står jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
15 Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri akatawala huko Tirsa siku saba. Jeshi lilikuwa limepiga kambi karibu na Gibethoni, mji wa Wafilisti.
I Kong Asa af Judas syv og tyvende Regeringsår blev Zimri Konge, og han herskede syv Dage i Tirza. Hæren var på det Tidspunkt ved at belejre Gibbeton, som tilhørte Filisterne;
16 Wakati Waisraeli waliokuwa kambini waliposikia kuwa Zimri alikuwa amefanya hila mbaya dhidi ya mfalme na kumuua, wakamtangaza Omri, jemadari wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli siku iyo hiyo huko kambini.
og da nu Hæren under Belejringen hørte, at Zimri havde sfiftet en Sammensværgelse mod Kongen og endda dræbt ham, udråbte hele Israel samme Dag i Lejren Omri, Israels Hærfører, til Konge.
17 Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirsa.
Derpå hrød Omri op med hele Israel fra Gibbeton og begyndte at belejre Tirza;
18 Wakati Zimri alipoona kuwa mji umechukuliwa, alikwenda ndani ya ngome ya jumba la kifalme na kulichoma moto jumba la kifalme na kujiteketeza ndani yake. Kwa hiyo akafa,
og da Zimri så at Byen var taget, begav han sig ind i Kongens Palads og stak det i Brand over sig; således døde han
19 kwa sababu ya dhambi alizofanya, akitenda maovu machoni pa Bwana na kuenenda katika njia za Yeroboamu na katika dhambi alizofanya na kusababisha Israeli kuzifanya.
for de Synders Skyld, han havde begået, idet han gjorde, hvad der var ondt i HERRENs Øjne, og vandrede i Jeroboams Spor og i de Synder, han havde begået, da han forledte Israel til at synde.
20 Kwa matukio mengine ya utawala wa Zimri, na uasi alioutenda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Hvad der ellers er at fortælle om Zimri og den Sammensværgelse, han stiftede, står jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
21 Ndipo watu wa Israeli wakagawanyika katika makundi mawili, nusu wakamuunga mkono Tibni mwana wa Ginathi ili awe mfalme na nusu nyingine wakamuunga mkono Omri.
Ved den Tid delte Israels Folk sig, idet den ene Halvdel slutfede sig fil Tibni, Ginats Søn, og udråbte ham til Konge, medens den anden sluttede sig til Omri.
22 Lakini wafuasi wa Omri wakajionyesha wenye nguvu kuliko wale wa Tibni mwana wa Ginathi. Hivyo Tibni akafa na Omri akawa mfalme.
Men den Del af Folket, der sluttede sig til Omri, fik Overtaget over dem, der sluttede sig til Tibni, Ginats Søn, og da Tibni døde ved den Tid, blev Omri Konge.
23 Katika mwaka wa thelathini na moja wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala kwa miaka kumi na miwili, sita kati ya hiyo katika Tirsa.
I Kong Asa af Judas een og tredivte Regeringsår blev Omri Konge over Israel, og han herskede tolv År. Først herskede han seks År i Tirza;
24 Alinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbili za fedha na akajenga mji juu ya hicho kilima, akiuita Samaria, kutokana na Shemeri, jina la mmiliki wa kwanza wa kilima hicho.
men siden købte han Samarias Bjerg af Semer for to Talenter Sølv og byggede på Bjerget en By, som han efter Semer, Bjergets Ejer, kaldte Samaria.
25 Lakini Omri akatenda maovu machoni pa Bwana na kutenda dhambi kuliko wote waliomtangulia.
Omri gjorde, hvad der var ondt i HERRENs Øjne, og handlede endnu værre end alle hans Forgængere;
26 Akaenenda katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi zake, ambazo alisababisha Israeli kutenda, hivyo basi wakamkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.
han vandrede helt i Jeroboams, Nebats Søns, Spor og i de Synder, han havde forledt Israel til, så at de krænkede HERREN, Israels Gud, ved deres Afguder.
27 Kwa matukio mengine ya utawala wa Omri, yale aliyofanya na vitu alivyovifanikisha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Hvad der ellers er at fortælle om Omri, alt, hvad han gjorde, og de Heltegerninger, han udførte, står jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
28 Omri akalala pamoja na baba zake na akazikwa huko Samaria. Ahabu mwanawe akatawala mahali pake.
Så lagde Omri sig til Hvile hos sine Fædre og blev jordet i Samaria; og hans Søn Akab blev Konge i hans Sted.
29 Katika mwaka wa thelathini na nane wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala Israeli akiwa Samaria kwa miaka ishirini na miwili.
Akab, Omris Søn, blev Konge over Israel i Kong Asa af Judas otte og tredivte Regeringsår, og Akab, Omris Søn, herskede to og tyve År over Israel i Samaria.
30 Ahabu mwana wa Omri akafanya maovu zaidi machoni mwa Bwana kuliko yeyote aliyewatangulia.
Akab, Omris Søn, gjorde, hvad der var ondt i HERRENs Øjne, i højere Grad end alle hans Forgængere.
31 Kama vile haikutosha kuishi kama Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti wa Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, naye akaanza kumtumikia Baali na kumwabudu.
Og som om det ikke var nok med, at han vandrede i Jeroboams, Nebats Søns, Synder, ægtede han oven i Købet Jesabel, en Datter af Zidoniemes Konge Etba'al, og gik hen og dyrkede Ba'al og tilbad ham.
32 Akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali katika hekalu la Baali lile alilolijenga huko Samaria.
Han rejste Ba'al et Alter i Ba'alstemplet, som han lod bygge i Samaria.
33 Pia Ahabu akatengeneza nguzo ya Ashera na kufanya mengi ili kumkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli, kuliko walivyofanya wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.
Og Akab lavede Asjerastøtten og gjorde endnu flere Ting, hvorved han krænkede HERREN, Israels Gud, værre end de Konger, der havde hersket før ham i Israel. -
34 Katika wakati wa Ahabu, Hieli, Mbetheli, akaijenga upya Yeriko. Aliweka misingi yake kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza Abiramu, na kuweka malango yake kwa gharama ya mwanawe mdogo Segubu, kulingana na neno la Bwana alilosema kupitia Yoshua mwana wa Nuni.
I hans Dage genopbyggede Beteliten Hiel Jeriko; efter det Ord, HERREN havde taleted Josua, Nuns Søn, kostede det ham hans førstefødte Abiram at lægge Grunden og hans yngste Søn Seguh at sætte dens Portfløje ind.

< 1 Wafalme 16 >