< 1 Wafalme 16 >
1 Ndipo neno la Bwana likamjia Yehu mwana wa Hanani dhidi ya Baasha, kusema:
Hina Gode da balofede dunu Yihiu (Hanainai egefe) ema e da Ba: iasiama amane sia: ma: ne sia: si,
2 “Nilikuinua kutoka mavumbini na kukufanya kiongozi wa watu wangu Israeli, lakini ukaenenda katika njia za Yeroboamu na kusababisha watu wangu Israeli kutenda dhambi na kunikasirisha kwa dhambi zao.
“Di da dunu hamedei agoai ba: i. Be Na da di Na fi Isala: ili ouligima: ne ilegei. Be wali di da Yelouboua: me ea hamoi defele, Na fi wadela: le hamoma: ne oule asi dagoi. Ilia da wadela: le hamobeba: le, Na ougi hou da heda: sa.
3 Basi nitamwangamiza Baasha pamoja na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yako kama ile ya Yeroboamu mwanawe Nebati.
Amaiba: le, Na da Yelouboua: me ea sosogo fi amo wadela: lesi dagoi, amo defele Na da dia sosogo fi wadela: lesimu.
4 Mbwa watawala watu wa Baasha watakaofia mjini na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani.”
Dia sosogo fi afae da moilai ganodini bogosea da wa: mega mai dagoi ba: mu. Amola sogebi genebogelaga bogosea, buhibaga na dagoi ba: mu.”
5 Kwa matukio mengine ya utawala wa Baasha, aliyoyafanya na mafanikio yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Ba: iasia ea hamonanu huluane, amola ea gesa: i hamosu da “Isala: ili hina bagade ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
6 Baasha akalala na baba zake naye akazikwa huko Tirsa. Naye Ela mwanawe akawa mfalme baada yake.
Ba: iasia da bogole, Desa moilai bai bagadega uli dogone sali. Egefe Ila da eda bagia, hina bagade hamoi.
7 Zaidi ya hayo, neno la Bwana likamjia Baasha pamoja na nyumba yake kupitia kwa nabii Yehu mwana wa Hanani, kwa sababu ya maovu yote aliyokuwa ametenda machoni pa Bwana, akamkasirisha kwa mambo aliyotenda, na kuwa kama nyumba ya Yeroboamu, na pia kwa sababu aliiangamiza.
Hina Gode Ea sia: sia: si, amo E da balofede Yihiu ea lafidili Ba: iasia amola ea sosogo fi ilima sia: i, bai Ba: iasia da Hina Godema wadela: le bagade hamobeba: le, agoane sia: i. E da hina bagade Yelouboua: me musa: hamosu defele wadela: le bagade hamobeba: le, Hina Gode da ema ougi galu. Be amo fawane hame. E amolawane Yelouboua: me ea sosogo fi huluane medole legeiba: le, Hina Gode da ougi ba: i.
8 Katika mwaka wa ishirini na sita wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala huko Tirsa kwa miaka miwili.
Yuda hina bagade A: isa da Yuda fi ode 26 agoane ouligilalu, Ila (Ba: iasia egefe) da Isala: ili ilia hina bagade hamoi. E da Desa moilaiga esala, ode aduna Isala: ili fi ouligilalu.
9 Zimri, mmoja wa maafisa wake, aliyekuwa na amri juu ya nusu ya magari yake ya vita, akafanya hila mbaya dhidi ya Ela. Wakati huo Ela alikuwa Tirsa, akilewa katika nyumba ya Arsa, mtu aliyekuwa msimamizi wa jumba la kifalme huko Tirsa.
Similai da hina bagade Ila ea ‘sa: liode’ wa: i mogili, la: idi ouligisu dunu ba: i. E da Ila medole legema: ne, sadoga sia: dalu ilegei. Eso afaega Desa moilaiga, Ila da dunu ea dio amo Asa (e da hina bagade diasu ouligisu) amo ea diasuga adini maiga feloai.
10 Zimri akaingia, akampiga na kumuua katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda. Kisha Zimri akaingia mahali pake kuwa mfalme.
Similai da amo diasu golili sa: ili, Ila medole legei. Amalalu, e da Ila bagia Isala: ili hina bagade hamoi. Amo hou da Yuda hina bagade A: isa ea Yuda fi ode 27 ouligilalu, ba: i.
11 Mara tu alipoanza kutawala na kuketi juu ya kiti cha ufalme, aliua jamaa yote ya Baasha. Hakumwacha mwanaume hata mmoja, akiwa ni ndugu au rafiki.
Similai da hina bagade hamonoba, e da Ba: iasia ea sosogo fi amo ganodini dunumusu huluane medole lelegei. Amola Ba: iasia sosogo fi ilia sasamalali huluane medole legei.
12 Hivyo Zimri akaangamiza jamaa yote ya Baasha, kulingana na neno la Bwana lililonenwa dhidi ya Baasha kupitia nabii Yehu:
Amaiba: le Hina Gode da balofede dunu Yihiu ea lafidili Ba: iasiama sia: i amo defele, Similai da Ba: iasia ea sosogo fi huluane medole legei.
13 kwa sababu ya dhambi zote Baasha na mwanawe Ela walizokuwa wametenda na wakasababisha Israeli kuzitenda, basi wakamkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.
Bai ilia da wadela: i ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadobeba: le, amola ilia da Isala: ili fi dunu amo wadela: i hou hamoma: ne oule asi. Ba: iasia amola egefe Ila, elea da Isala: ili ilia Hina Gode Ea ougima: ne, agoane hamoi.
14 Kwa matukio mengine ya utawala wa Ela, na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Liligi huluane Ila ea hamoi da “Isala: ili hina bagade ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
15 Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri akatawala huko Tirsa siku saba. Jeshi lilikuwa limepiga kambi karibu na Gibethoni, mji wa Wafilisti.
Yuda hina bagade A: isa da ode 27 agoane Yuda fi ouligilalu, Similai da Desa moilaiga esala, Isala: ili fi eso fesuale fawane ouligi. Isala: ili dadi gagui wa: i da Gibidone moilai bai bagade, Filisidini soge ganodini, amo doagala: lebe ba: i.
16 Wakati Waisraeli waliokuwa kambini waliposikia kuwa Zimri alikuwa amefanya hila mbaya dhidi ya mfalme na kumuua, wakamtangaza Omri, jemadari wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli siku iyo hiyo huko kambini.
Ilia da Similai da Isala: ili hina bagade medoma: ne sadoga sia: sa: ili, e medole legei dagoi, amo nababeba: le, ilia esalusuadafa amoga ilia dadi gagui wa: i ouligisu Omelima Isala: ili hina bagade hamoma: ne ilegei.
17 Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirsa.
Omeli amola ea dadi gagui wa: i da Gibidone doagala: lalu yolesili, asili, Desa moilai doagala: i.
18 Wakati Zimri alipoona kuwa mji umechukuliwa, alikwenda ndani ya ngome ya jumba la kifalme na kulichoma moto jumba la kifalme na kujiteketeza ndani yake. Kwa hiyo akafa,
Similai da ba: loba, moilai mogi na: iyado hasalabeba: le, e da hina bagade diasu ganodini gagili sali sesei amogano golili sa: ili, hina bagade ea diasu ulagisilalu, amo lalu gona: su da: iya hina: bogola sa: i.
19 kwa sababu ya dhambi alizofanya, akitenda maovu machoni pa Bwana na kuenenda katika njia za Yeroboamu na katika dhambi alizofanya na kusababisha Israeli kuzifanya.
E da Hina Godema bagadewane wadela: le hamoi. Amaiba: le, e da bogoi dagoi. Ea da Yelouboua: me defele, wadela: le hamoi amola Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne, oule asi. Amaiba: le, Hina Gode da ema hahawane hame ba: i.
20 Kwa matukio mengine ya utawala wa Zimri, na uasi alioutenda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Similai ea hou huluane amola e da Ila medoma: ne sadoga ilegele, Ila medole legei, amo da “Isala: ili hina bagade ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
21 Ndipo watu wa Israeli wakagawanyika katika makundi mawili, nusu wakamuunga mkono Tibni mwana wa Ginathi ili awe mfalme na nusu nyingine wakamuunga mkono Omri.
Isala: ili dunu fi da dogoa mogi. Oda ilia da Dibini (Gina: de egefe) amo hina bagade hamoma: ne dawa: i, amola oda ilia da Omeli hanai.
22 Lakini wafuasi wa Omri wakajionyesha wenye nguvu kuliko wale wa Tibni mwana wa Ginathi. Hivyo Tibni akafa na Omri akawa mfalme.
Amo sia: dalu fa: no, Omelima hanai dunu ilia baligi. Dibini da bogobeba: le, Omeli da hina bagade dunu hamoi.
23 Katika mwaka wa thelathini na moja wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala kwa miaka kumi na miwili, sita kati ya hiyo katika Tirsa.
Amaiba: le, Yuda fi ilia hina bagade A: isa da Yuda fi ode31 ouligilalu, Omeli da Isala: ili hina bagade hamoi. E da ode fagoyale ouligilalu. Bisili ode gafeyale agoanega, e da Desa moilaiga esala, ouligilalu.
24 Alinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbili za fedha na akajenga mji juu ya hicho kilima, akiuita Samaria, kutokana na Shemeri, jina la mmiliki wa kwanza wa kilima hicho.
Amalalu, e da Samelia agolo amo silifa fage 6,000 agoane amoga dunu ea dio amo Simia ema bidi lai. Omeli da amo agolo gagili salalu, amogai moilai gaheabolo gagui. E da musa: agolo gagui dunu Simia ea dio dabua, amoma Samelia dio asuli.
25 Lakini Omri akatenda maovu machoni pa Bwana na kutenda dhambi kuliko wote waliomtangulia.
Omeli da Hina Godema wadela: le hamoi da musa: Isala: ili hina bagade dunu huluane ilia wadela: i hou baligi.
26 Akaenenda katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi zake, ambazo alisababisha Israeli kutenda, hivyo basi wakamkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.
E da Yelouboua: me ea hou defele, Isala: ili Hina Gode ougima: ne, wadela: le bagade hamoi, amola Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asi.
27 Kwa matukio mengine ya utawala wa Omri, yale aliyofanya na vitu alivyovifanikisha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Hou huluane Omeli da hamonanusu, amola ea hamoi liligi huluane da “Isala: ili hina bagade ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
28 Omri akalala pamoja na baba zake na akazikwa huko Samaria. Ahabu mwanawe akatawala mahali pake.
Omeli da bogole, Samelia soge ganodini uli dogone sali. Amola egefe A: iha: be da eda bagia hina bagade hamoi.
29 Katika mwaka wa thelathini na nane wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala Israeli akiwa Samaria kwa miaka ishirini na miwili.
Yuda hina bagade A: isa da Yuda soge ode 38 agoane ouligilalu, A:iha: be (Omeli egefe) da Isala: ili hina bagade hamoi. E da Samelia soge amo ganodini ode 22 agoane, Isala: ili ouligilalu.
30 Ahabu mwana wa Omri akafanya maovu zaidi machoni mwa Bwana kuliko yeyote aliyewatangulia.
E da Hina Godema wadela: le hamoi, amo da musa: Isala: ili hina bagade ilia wadela: i hou huluane baligi dagoi.
31 Kama vile haikutosha kuishi kama Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti wa Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, naye akaanza kumtumikia Baali na kumwabudu.
E da Yelouboua: me ea wadela: i hou hamoi defele hamoi, amola amo baligi. E da baligiliwane wadela: i hamonanu asili, Yesebele (Saidone hina bagade Edeba: ile ea idiwi) amo lale, Ba: ile ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu.
32 Akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali katika hekalu la Baali lile alilolijenga huko Samaria.
E da Samelia soge ganodini, Ba: ilema nodone sia: ne gadoma: ne, debolo diasu gaguli, Ba: ilema oloda hamone, amo debolo diasu ganodini sali.
33 Pia Ahabu akatengeneza nguzo ya Ashera na kufanya mengi ili kumkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli, kuliko walivyofanya wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.
Amola e da ogogole uda ‘gode’ Asila agoaila hahamone, bugisi. E da Isala: ili Hina Gode Ea ougima: ne wadela: le hamoi, da musa: Isala: ili hina bagade Gode Ea ougima: ne wadela: i hou hamoi amo baligidafa.
34 Katika wakati wa Ahabu, Hieli, Mbetheli, akaijenga upya Yeriko. Aliweka misingi yake kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza Abiramu, na kuweka malango yake kwa gharama ya mwanawe mdogo Segubu, kulingana na neno la Bwana alilosema kupitia Yoshua mwana wa Nuni.
Ea ouligilaloba, Bedele dunu Haiyele da Yeligou moilai bai bagade bu gagui. Hina Gode da Yosiua (Nane egefe) amo ea lafidili sia: i defele, Haiyele da Yeligou ea bai fa: loba, ea magobo mano Abaila: me fisi. Amola e da moilai gagoi logo ga: su hamonoba, ea ufi mano Sigabe fisi dagoi ba: i.