< 1 Wafalme 15 >

1 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya akawa mfalme wa Yuda,
E no décimo oitavo ano do rei Jeroboão, filho de Nebat, Abião começou a reinar sobre Judá.
2 naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.
E três anos reinou em Jerusalém: e era o nome de sua mãe Maaca, filha de Abisalom.
3 Alitenda dhambi zote baba yake alizotenda kabla yake; moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana Mungu wake kama moyo wa Daudi baba yake ulivyokuwa.
E andou em todos os pecados de seu pai, que tinha feito antes dele: e seu coração não foi inteiro para com o Senhor seu Deus como o coração de David, seu pai.
4 Pamoja na hayo, kwa ajili ya Daudi, Bwana Mungu wake akampa taa katika Yerusalemu kwa kumwinua mwana atawale badala yake na kwa kuifanya Yerusalemu kuwa imara.
Mas por amor de David o Senhor lhe deu uma lâmpada em Jerusalém, levantando a seu filho depois dele, e confirmando a Jerusalém.
5 Kwa kuwa Daudi alifanya yaliyo mema machoni pa Bwana na hakushindwa kushika maagizo yote ya Bwana siku zote za uhai wake, isipokuwa katika habari ya Uria, Mhiti.
Porquanto David tinha feito o que parecia reto aos olhos do Senhor, e não se tinha desviado de tudo o que lhe ordenara em todos os dias da sua vida, senão só no negócio de Urias, o hetheu.
6 Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote wa maisha ya Abiya.
E houve guerra entre Roboão e Jeroboão todos os dias da sua vida.
7 Kwa habari ya matukio mengine ya utawala wa Abiya na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
Quanto ao mais dos sucessos de Abião, e a tudo quanto fez, porventura não está escrito no livro das crônicas dos reis de Judá? também houve guerra entre Abião e Jeroboão.
8 Naye Abiya akalala na baba zake akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake.
E Abião dormiu com seus pais, e o sepultaram na cidade de David: e Asa, seu filho, reinou em seu lugar.
9 Katika mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akawa mfalme wa Yuda,
E no vigésimo ano de Jeroboão, rei de Israel, começou Asa a reinar em Judá.
10 naye akatawala katika Yerusalemu miaka arobaini na mmoja. Bibi yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.
E quarenta e um anos reinou em Jerusalém: e era o nome de sua mãe Maaca, filha de Abisalom.
11 Asa akatenda yaliyo mema machoni mwa Bwana, kama alivyokuwa ametenda Daudi baba yake.
E Asa fez o que parecia reto aos olhos do Senhor, como David, seu pai.
12 Akawafukuza mahanithi wa mahali pa kuabudia miungu kutoka nchi na kuondoa sanamu zote ambazo baba zake walikuwa wametengeneza.
Porque tirou da terra os rapazes escandalosos, e tirou todos os ídolos que seus pais fizeram.
13 Hata akamwondoa bibi yake Maaka kwenye wadhifa wake kama mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.
E até a Maaca, sua mãe, removeu para que não fosse rainha, porquanto tinha feito um horrível ídolo a Asera: também Asa desfez o seu ídolo horrível, e o queimou junto ao ribeiro de Cedron.
14 Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa Bwana kikamilifu maisha yake yote.
Os altos porém se não tiraram: todavia foi o coração de Asa reto para com o Senhor todos os seus dias.
15 Akaleta ndani ya Hekalu la Bwana fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.
E à casa do Senhor trouxe as coisas consagradas de seu pai, e as coisas que ele mesmo consagrara: prata e ouro, e vasos.
16 Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zote za utawala wao.
E houve guerra entre Asa e Baása, rei de Israel, todos os seus dias.
17 Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.
Porque Baása, rei de Israel, subiu contra Judá, e edificou a Rama, para que a ninguém deixasse sair nem entrar a Asa, rei de Judá.
18 Kisha Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imeachwa katika hazina za Hekalu la Bwana na za jumba lake mwenyewe la kifalme. Akawakabidhi maafisa wake na kuwatuma kwa Ben-Hadadi mwana wa Tabrimoni, mwana wa Hezioni, mfalme wa Aramu, aliyekuwa akitawala Dameski.
Então Asa tomou toda a prata e ouro que ficara nos tesouros da casa do Senhor, e os tesouros da casa do rei, e os entregou nas mãos de seus servos: e o rei Asa os enviou a Benhadad, filho de Tabrimmon, filho de Hezion, rei da Síria, que habitava em Damasco, dizendo:
19 “Akasema na pawepo mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea zawadi ya fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”
Aliança há entre mim e ti, entre meu pai e teu pai: vês aqui que te mando um presente, prata e ouro; vai, e anula a tua aliança com Baása, rei de Israel, para que se retire de sobre mim
20 Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Akaishinda miji ya Iyoni, Dani, Abel-Beth-Maaka na Kinerethi yote, pamoja na Naftali.
E Benhadad deu ouvidos ao rei Asa, e enviou aos capitães dos exércitos que tinha contra as cidades de Israel; e feriu a Ijon, e a Dan, e a Abel, de Beth-maaca, e a toda a Chinneroth, com toda a terra de Naphtali.
21 Wakati Baasha aliposikia hili, akaacha kuijenga Rama na akaenda kuishi Tirsa.
E sucedeu que, ouvindo-o Baása, deixou de edificar a Rama: e ficou-se em Tirza.
22 Kisha Mfalme Asa akatoa amri kwa Yuda yote, pasipo kumbagua hata mmoja, kubeba mawe na mbao kutoka Rama, ambazo Baasha alikuwa akitumia huko. Mfalme Asa akazitumia kujengea Geba iliyoko Benyamini na Mispa pia.
Então o rei Asa fez apregoar por toda a Judá que todos, sem exceção, trouxessem as pedras de Rama, e a sua madeira com que Baása edificara: e com elas edificou o rei Asa a Geba de Benjamin e a Mispah.
23 Kwa matukio yote ya utawala wa Asa, mafanikio yake yote, yote aliyofanya na miji aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Katika uzee wake, hata hivyo, alipata ugonjwa wa miguu.
Quanto ao mais de todos os sucessos de Asa, e a todo o seu poder, e a tudo quanto fez, e as cidades que edificou, porventura não está escrito no livro das crônicas dos reis de Judá? Porém, no tempo da sua velhice, padeceu dos pés.
24 Kisha Asa akalala pamoja na baba zake na kuzikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Naye Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake.
E Asa dormiu com seus pais, e foi sepultado com seus pais na cidade de David, seu pai: e Josaphat, seu filho, reinou em seu lugar.
25 Nadabu mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Asa wa Yuda, naye akatawala Israeli kwa miaka miwili.
E Nadab, filho de Jeroboão, começou a reinar sobre Israel no ano segundo d'Asa, rei de Judá: e reinou sobre Israel dois anos.
26 Akafanya maovu machoni pa Bwana, akienenda katika njia za baba yake na katika dhambi yake, ambayo alisababisha Israeli kuifanya.
E fez o que parecia mal aos olhos do Senhor: e andou nos caminhos de seu pai, e no seu pecado com que tinha feito pecar a Israel.
27 Baasha mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akafanya shauri baya dhidi yake, naye akamuua huko Gibethoni, mji wa Wafilisti, wakati Nadabu na Israeli yote walipokuwa wameuzingira.
E conspirou contra ele Baása, filho d'Ahias, da casa de Issacar, e feriu-o Baása em Gibbethon, que era dos philisteus, quando Nadab e todo o Israel cercavam a Gibbethon.
28 Baasha akamuua Nadabu katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, naye Baasha akaingia mahali pake kuwa mfalme.
E matou-o Baása no ano terceiro d'Asa, rei de Judá, e reinou em seu lugar.
29 Mara tu alipoanza kutawala, aliua jamaa yote ya Yeroboamu. Hakumwachia Yeroboamu yeyote aliyekuwa hai, bali aliwaangamiza wote, kulingana na neno la Bwana lililotolewa kupitia kwa mtumishi wake Ahiya Mshiloni,
Sucedeu pois que, reinando ele, feriu a toda a casa de Jeroboão: nada de Jeroboão deixou que tivesse fôlego, até o destruir, conforme à palavra do Senhor que dissera pelo ministério de seu servo Ahias, o silonita.
30 kwa sababu ya dhambi alizokuwa amezitenda Yeroboamu na kusababisha Israeli kuzitenda, tena kwa sababu alimkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli.
Por causa dos pecados de Jeroboão, o qual pecou, e fez pecar a Israel, e por causa da provocação com que provocara ao Senhor Deus de Israel.
31 Kwa matukio mengine ya utawala wa Nadabu na yote aliyofanya, je hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Quanto ao mais dos sucessos de Nadab, e a tudo quanto fez, porventura não está escrito no livro das crônicas dos reis de Israel?
32 Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli wakati wote wa utawala wao.
E houve guerra entre Asa e Baása, rei de Israel, todos os seus dias.
33 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme wa Israeli yote huko Tirsa, naye akatawala kwa miaka ishirini na minne.
No ano terceiro d'Asa, rei de Judá, Baása, filho de Ahias, começou a reinar sobre todo o Israel em Tirza, e reinou vinte e quatro anos.
34 Akatenda maovu machoni pa Bwana, akienenda katika njia za Yeroboamu na dhambi yake, ambayo alikuwa amesababisha Israeli kuitenda.
E fez o que parecia mal aos olhos do Senhor: e andou no caminho de Jeroboão, e no seu pecado com que tinha feito pecar a Israel.

< 1 Wafalme 15 >