< 1 Wafalme 15 >

1 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya akawa mfalme wa Yuda,
Hagi Jeroboamu'ma 18ni'a kafuma Israeli vahe kinima nemanigeno'a, Nebati nemofo Abizamu'a Juda vahe kini efore huno kegava huzmante'ne.
2 naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.
Hagi 3'a kafufi Jerusalemi kumatera kinia mani'neno kegava hu'ne. Hagi nerera'a Abisalomu mofakino, agi'a Maka'e.
3 Alitenda dhambi zote baba yake alizotenda kabla yake; moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana Mungu wake kama moyo wa Daudi baba yake ulivyokuwa.
Hagi agra nefa'ma hu'neankna kumitami nehuno, negeho Deviti'ma hu'neaza huno agu'aretira huno Ra Anumzama'amofona ovariri'ne.
4 Pamoja na hayo, kwa ajili ya Daudi, Bwana Mungu wake akampa taa katika Yerusalemu kwa kumwinua mwana atawale badala yake na kwa kuifanya Yerusalemu kuwa imara.
Hianagi Deviti'ma hu'nea knare avu'avaku huno Ra Anumzana agri Anumzamo'a nentahino, negehona avrentegeno agri nona erino kinia Jerusalem kumapina manigeno, Deviti nagamofo tavimo'a asura osu'ne.
5 Kwa kuwa Daudi alifanya yaliyo mema machoni pa Bwana na hakushindwa kushika maagizo yote ya Bwana siku zote za uhai wake, isipokuwa katika habari ya Uria, Mhiti.
Na'ankure Deviti'a Ra Anumzamofo avurera fatgo avu'ava nehuno, Ra Anumzamo'ma huo huno'ma hia zantamina maka kna hu vava huno e'ne. Hagi magoke zama havizama hu'neana, Hiti ne' Uraia a'enema hu'nea hazenkege me'ne.
6 Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote wa maisha ya Abiya.
Hagi Abizama kinima mania knafina Jeroboamu'enena hara hu vava hu'na'e.
7 Kwa habari ya matukio mengine ya utawala wa Abiya na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
Hagi Abizama kinima mani'negeno'ma fore'ma hu'nea zantmimofo agenkea, Juda kini vahetmimofo agenkema krente'naza avontafepi maka krente'naze. Hagi Abizamu'ma kinima mania knafina Jeroboamu'enena hara hu vava hu'na'e.
8 Naye Abiya akalala na baba zake akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake.
Hagi Abizamu'a frige'za agehemofoma asente'naza matipi Deviti rankumapi asente'naze. Ana hutazageno ne'mofo Asa agri nona erino kinia mani'ne.
9 Katika mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akawa mfalme wa Yuda,
Hagi Jeroboamu'ma 20'a kafuma Israeli vahe kinima nemanigeno'a, Asa'a Juda vahe kini efore huno kegava huzmante'ne.
10 naye akatawala katika Yerusalemu miaka arobaini na mmoja. Bibi yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.
Hagi Asa'a 41ni'a kafu Jerusalemi kumapina kinia mani'ne. Hagi nerera'a Abisalomu mofakino agi'a Maka'e.
11 Asa akatenda yaliyo mema machoni mwa Bwana, kama alivyokuwa ametenda Daudi baba yake.
Hagi negeho Deviti'ma hu'neaza huno Asa'a Ra Anumzamofo avurera fatgo avu'ava hu'ne.
12 Akawafukuza mahanithi wa mahali pa kuabudia miungu kutoka nchi na kuondoa sanamu zote ambazo baba zake walikuwa wametengeneza.
Havi anumzamofo mono kumapima monko avu'ava zama nehaza vahera ana mopafintira zamahe fanane nehuno, kaza osu havi anumzantamima nefa'ma tro'ma hunte'nea zantamina eritre vagare'ne.
13 Hata akamwondoa bibi yake Maaka kwenye wadhifa wake kama mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.
Hagi negeho a' Makama kuinima mani'nea tratetira azeri atre'ne. Na'ankure agra kasrino hi'mnage hu'nea avu'ava huno Asera a' havi anumzamofo amema'a tro hunte'ne. Hagi Asa'a ana a' havi anumzamofo amema'a antagino apapu huno Kidroni agupofi teve hanavazino kre'ne.
14 Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa Bwana kikamilifu maisha yake yote.
Hianagi agona agonama havi anumzamofo mono kumatmina eri havizana osu'ne. Hagi Asa'a maka knafina Ra Anumzamofo avesinenteno agorga mani'ne.
15 Akaleta ndani ya Hekalu la Bwana fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.
Hagi Ra Anumzamofoma nefa'ma ami'nea zantamine, agranema ami'nea zantamine, goline, silvane, mago'a zantaminena erino Ra Anumzamofo mono nompi vu'ne.
16 Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zote za utawala wao.
Hagi Asa'ene Israeli vahe kini ne' Ba'asakea kinima manike vu'na'a knafina, maka zupa hara hu vava huke vu'na'e.
17 Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.
Hagi Israeli vahe kini ne' Ba'asa'a Juda vahera ha' huzmanteno Rama kumara omerino, ana kumara hankave vihu higeno, vahetmimo'za ana kumapintira Juda mopafina atiramiza vu'za eza osu'naze.
18 Kisha Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imeachwa katika hazina za Hekalu la Bwana na za jumba lake mwenyewe la kifalme. Akawakabidhi maafisa wake na kuwatuma kwa Ben-Hadadi mwana wa Tabrimoni, mwana wa Hezioni, mfalme wa Aramu, aliyekuwa akitawala Dameski.
Hagi Asa'a maka goline, silvanema Ra Anumzamofo nompima me'neane kini ne'mofo nompima me'neanena erino eri'za vahetami'amofo zamazampi nenteno, huzmantege'za Siria kini ne' Hezioni negeho Tabrimoni nemofo Damaskasi nemania nete Ben-hadadinte eri'za nevazageno, Ben-hadadintega amanage huno kea atrentege'za eri'za vahe'aramimo'za vu'naze.
19 “Akasema na pawepo mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea zawadi ya fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”
Hagi nerfakema hu'na'aza huta kea eri hagerafita rone huta manisu'egu ama musezana goline silvanena atregantoe. Hagi vunka Israeli kini ne' Ba'asa'enema huhagerafi'na'a kea omeritrenka ha'huntegeno kumani'a atreno vino.
20 Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Akaishinda miji ya Iyoni, Dani, Abel-Beth-Maaka na Kinerethi yote, pamoja na Naftali.
Hagi Ben-hadati'a kini ne' Asa'ma hianke antahino sondia kva vahetami huzmantege'za vu'za Israeli vahe kumatmina, Izoni kumaki, Dani kumaki, Abel-bet-ma'aka kumaki, Kenoreti kumaki, maka Naptali mopa hara ome huzmante'za zamahe'za hanare'naze.
21 Wakati Baasha aliposikia hili, akaacha kuijenga Rama na akaenda kuishi Tirsa.
Hagi Israeli kini ne' Ba'asa'ma ana nanekema nentahino'a, Rama kuma keginama nehiretira atre'no Tirza kumate umani'ne.
22 Kisha Mfalme Asa akatoa amri kwa Yuda yote, pasipo kumbagua hata mmoja, kubeba mawe na mbao kutoka Rama, ambazo Baasha alikuwa akitumia huko. Mfalme Asa akazitumia kujengea Geba iliyoko Benyamini na Mispa pia.
Hagi ana'ma higeno'a kini ne' Asa'a maka Juda vahetmina ke higeno mago'mo'e huno omani ana makamo'za e'za Ba'asa'ma Rama kuma'ma negiretira atreno'ma via havene zafanena emeri'za vazageno, ana zantaminu Benzameni mopafima me'nea kuma Geba kuma'ene Mizpa kuma'enena ki'naze.
23 Kwa matukio yote ya utawala wa Asa, mafanikio yake yote, yote aliyofanya na miji aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Katika uzee wake, hata hivyo, alipata ugonjwa wa miguu.
Hagi Asa'ma kinima mani'negeno fore'ma hu'nea zantamine, hihamu'ama eriamama hu'neane, maka zama nehuno kumatmina tro'ma hu'nea kumatamimofo aginena Juda kini vahetmimofo agenkema krenentaza avontafepi krente'naze. Hianagi Asa'a ranafa regeno, aga agusafina kri fore hu'ne.
24 Kisha Asa akalala pamoja na baba zake na kuzikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Naye Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake.
Hagi Asa'ma frigeno'a agehe'mofoma asente'nea matipi, Deviti rankumapi asente'naze. Hagi ana'ma higeno'a, nemofo Jehosafati agri nona erino kinia mani'ne.
25 Nadabu mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Asa wa Yuda, naye akatawala Israeli kwa miaka miwili.
Hagi kini ne' Asa'ma tare kafuma Juda vahe kinima nemanigeno'a, Jeroboamu nemofo Nadapu Israeli vahe kinia efore hu'ne. Hagi Nadapu'a tare kafufi kinia mani'neno, Israeli vahera kegava hu'ne.
26 Akafanya maovu machoni pa Bwana, akienenda katika njia za baba yake na katika dhambi yake, ambayo alisababisha Israeli kuifanya.
Hianagi agra nefa Jeroboamu'ma kefo avu'ava'ma nehuno Israeli vahe'ma zamavare kumipima zamante'nea avu'ava avaririno Ra Anumzamofo avurera kefo avu'ava hu'ne.
27 Baasha mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akafanya shauri baya dhidi yake, naye akamuua huko Gibethoni, mji wa Wafilisti, wakati Nadabu na Israeli yote walipokuwa wameuzingira.
Hagi ana'ma nehigeno'a Isaka nagapinti ne' Ahiza nemofo Ba'asa'a Nadapuna ahe fri'naku mago'a kankamunku hakene. Hagi Nadapu'a Israeli sondia vahe'ene Filistia vahe mopafi Gibeton kuma vahe ha' huzmante'naku kumazimi ome avazagigaginafi, Ba'asa'a Nadapuna ome ahe fri'ne.
28 Baasha akamuua Nadabu katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, naye Baasha akaingia mahali pake kuwa mfalme.
Hagi kini ne' Asa'ma 3'a kafuma Juda vahe kinima nemanigeno'a, Ba'asa'a Nadapuna ahe nefrino Israeli vahe kinia agra mani'ne.
29 Mara tu alipoanza kutawala, aliua jamaa yote ya Yeroboamu. Hakumwachia Yeroboamu yeyote aliyekuwa hai, bali aliwaangamiza wote, kulingana na neno la Bwana lililotolewa kupitia kwa mtumishi wake Ahiya Mshiloni,
Hagi agrama kinima nemanino'a, maka Jeroboamu nagapinti'ma fore'ma hu'naza vahera zamahe hana higeno, Ra Anumzamo'ma Sailo kumate kasnampa ne' Ahizama Jeroboamunte'ma fore'ma hania zamofo kema asami'nea kante anteno magore huno kini ne'mofo nagara ozmatre zamahe vagare'ne.
30 kwa sababu ya dhambi alizokuwa amezitenda Yeroboamu na kusababisha Israeli kuzitenda, tena kwa sababu alimkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli.
Hagi Jeroboamu'ma kumi'ma nehuno, Israeli vahe'ma kumipima zamavarentegeno'ma Ra Anumzamofoma azeri arimpama ahe'nea zante, ana zana fore hu'ne.
31 Kwa matukio mengine ya utawala wa Nadabu na yote aliyofanya, je hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Hagi Nadapu'ma kinima mani'neno'ma hu'nea zantmimofo agenkea, Israeli kini vahetmimofo agenkema krente'nea avontafepi krente'ne.
32 Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli wakati wote wa utawala wao.
Hagi Juda kini ne' Asa'ene Israeli kini ne' Ba'asakea kinima mani'na'a knafina hara hu vava huke vu'na'e.
33 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme wa Israeli yote huko Tirsa, naye akatawala kwa miaka ishirini na minne.
Hagi Asa'ma 3'a kafuma Juda vahe kinima nemanigeno'a, Ahiza nemofo Ba'asa'a Israeli vahe kinia efore hu'ne. Hagi Ba'asa'ma Tirza kumate'ma Israeli vahe kinima mani'neana 24'a kafu mani'ne.
34 Akatenda maovu machoni pa Bwana, akienenda katika njia za Yeroboamu na dhambi yake, ambayo alikuwa amesababisha Israeli kuitenda.
Hianagi agra Ra Anumzamofo avurera kefo avu'ava nehuno, Jeroboamu'ma Israeli vahe'ma zamazeri kumipima zamante'neaza huno agri avu'ava avariri'ne.

< 1 Wafalme 15 >