< 1 Wafalme 15 >

1 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya akawa mfalme wa Yuda,
Og i det attende Kong Jeroboams, Nebats Søns, Aar blev Abiam Konge over Juda.
2 naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.
Han regerede tre Aar i Jerusalem, og hans Moders Navn var Maeka, Abisaloms Datter.
3 Alitenda dhambi zote baba yake alizotenda kabla yake; moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana Mungu wake kama moyo wa Daudi baba yake ulivyokuwa.
Og han vandrede i alle sin Faders Synder, som han gjorde før ham, og hans Hjerte var ikke helt med Herren hans Gud, som Davids, hans Faders, Hjerte.
4 Pamoja na hayo, kwa ajili ya Daudi, Bwana Mungu wake akampa taa katika Yerusalemu kwa kumwinua mwana atawale badala yake na kwa kuifanya Yerusalemu kuwa imara.
Men Herren hans Gud gav ham et Lys i Jerusalem for Davids Skyld, ved at han oprejste hans Søn efter ham og lod Jerusalem bestaa;
5 Kwa kuwa Daudi alifanya yaliyo mema machoni pa Bwana na hakushindwa kushika maagizo yote ya Bwana siku zote za uhai wake, isipokuwa katika habari ya Uria, Mhiti.
fordi David gjorde det, som ret var for Herrens Øjne, og veg ikke fra alt det, som han bød ham, alle sine Livs Dage, uden i den Handel med Hethiteren Uria.
6 Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote wa maisha ya Abiya.
Og der var Krig imellem Roboam og imellem Jeroboam alle hans Livs Dage.
7 Kwa habari ya matukio mengine ya utawala wa Abiya na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
Men det øvrige af Abiams Handeler og alt det, som han har gjort, ere de Ting ikke skrevne i Judas Kongers Krønikers Bog? Og der var Krig imellem Abiam og Jeroboam.
8 Naye Abiya akalala na baba zake akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake.
Og Abiam laa med sine Fædre, og de begrove ham i Davids Stad, og Asa, hans Søn, blev Konge i hans Sted.
9 Katika mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akawa mfalme wa Yuda,
Og i det tyvende Jeroboams, Israels Konges, Aar blev Asa Konge over Juda.
10 naye akatawala katika Yerusalemu miaka arobaini na mmoja. Bibi yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.
Og han regerede et og fyrretyve Aar i Jerusalem, og hans Moders Navn var Maeka, Abisaloms Datter.
11 Asa akatenda yaliyo mema machoni mwa Bwana, kama alivyokuwa ametenda Daudi baba yake.
Og Asa gjorde det, som ret var for Herrens Øjne, som David hans Fader.
12 Akawafukuza mahanithi wa mahali pa kuabudia miungu kutoka nchi na kuondoa sanamu zote ambazo baba zake walikuwa wametengeneza.
Og han fordrev Skørlevnerne af Landet og bortskaffede alle stygge Afguder, som hans Fædre havde gjort.
13 Hata akamwondoa bibi yake Maaka kwenye wadhifa wake kama mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.
Tilmed afsatte han Maeka, sin Moder, at hun ikke skulde være Dronning, fordi hun havde gjort sig et grueligt Billede af Astarte, og Asa udryddede hendes gruelige Billede og opbrændte det ved Kedrons Bæk.
14 Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa Bwana kikamilifu maisha yake yote.
Men Højene toges ikke bort; dog var Asas Hjerte helt med Herren alle hans Dage.
15 Akaleta ndani ya Hekalu la Bwana fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.
Og ban førte de Ting, som hans Fader havde helliget, og hvad som han selv havde helliget, ind i Herrens Hus, Sølv og Guld og Kar.
16 Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zote za utawala wao.
Og der var Krig mellem Asa og Baesa, Israels Konge, alle deres Dage.
17 Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.
Thi Baesa, Israels Konge, drog op imod Juda og byggede Rama, for ikke at tilstede Asa, Judas Konge, at nogen drog ud eller kom ind.
18 Kisha Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imeachwa katika hazina za Hekalu la Bwana na za jumba lake mwenyewe la kifalme. Akawakabidhi maafisa wake na kuwatuma kwa Ben-Hadadi mwana wa Tabrimoni, mwana wa Hezioni, mfalme wa Aramu, aliyekuwa akitawala Dameski.
Da tog Asa alt det Sølv og Guld, de Ting, som vare blevne tilovers af Herrens Hus's Liggendefæ og af Kongens Hus's Liggendefæ, og gav sine Tjenere dem i Hænderne, og Kong Asa sendte dem til Benhadad, en Søn af Tabrimmon, Hesions Søn, Kongen i Syrien, som boede i Damaskus og lod sige:
19 “Akasema na pawepo mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea zawadi ya fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”
Der er en Pagt imellem mig og imellem dig, imellem min Fader og imellem din Fader, se, jeg sender dig Skænk, Sølv og Guld, drag hen, gør til intet din Pagt med Baesa, Israels Konge, at han maa drage op fra mig.
20 Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Akaishinda miji ya Iyoni, Dani, Abel-Beth-Maaka na Kinerethi yote, pamoja na Naftali.
Og Benhadad adlød Kong Asa og sendte de Hærførere, som han havde, imod Israels Stæder og slog Ijon og Dan og Abel-Beth-Maaka og hele Kinneroth, tillige med alt Nafthalis Land.
21 Wakati Baasha aliposikia hili, akaacha kuijenga Rama na akaenda kuishi Tirsa.
Og det skete, der Baesa hørte det, da lod han af fra at bygge Rama og blev i Thirza.
22 Kisha Mfalme Asa akatoa amri kwa Yuda yote, pasipo kumbagua hata mmoja, kubeba mawe na mbao kutoka Rama, ambazo Baasha alikuwa akitumia huko. Mfalme Asa akazitumia kujengea Geba iliyoko Benyamini na Mispa pia.
Saa lod Kong Asa hele Juda opbyde, der blev ingen fri, og de toge Stenene bort af Rama tillige med Tømmeret der, som Baesa havde bygget med, og Kong Asa byggede dermed Geba i Benjamin og Mizpa.
23 Kwa matukio yote ya utawala wa Asa, mafanikio yake yote, yote aliyofanya na miji aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Katika uzee wake, hata hivyo, alipata ugonjwa wa miguu.
Men det øvrige af alle Asas Han deler og al hans Vælde og alt, hvad han har gjort, og de Stæder, som han har bygget, ere de Ting ikke skrevne i Judas Kongers Krønikers Bog? Dog i sin Alderdoms Tid blev han syg i sine Fødder.
24 Kisha Asa akalala pamoja na baba zake na kuzikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Naye Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake.
Og Asa laa med sine Fædre og blev begraven med sine Fædre i Davids, sin Faders Stad, og Josafat, hans Søn, blev Konge i hans Sted.
25 Nadabu mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Asa wa Yuda, naye akatawala Israeli kwa miaka miwili.
Og Nadab, Jeroboams Søn, blev Konge over Israel i det andet Asas, Judas Konges, Aar og regerede over Israel to Aar.
26 Akafanya maovu machoni pa Bwana, akienenda katika njia za baba yake na katika dhambi yake, ambayo alisababisha Israeli kuifanya.
Og han gjorde det onde for Herrens Øjne og vandrede i sin Faders Veje og i hans Synd, som han kom Israel til at synde med.
27 Baasha mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akafanya shauri baya dhidi yake, naye akamuua huko Gibethoni, mji wa Wafilisti, wakati Nadabu na Israeli yote walipokuwa wameuzingira.
Men Baesa, Ahias Søn, af Isaskars Hus, gjorde et Forbund imod ham, og Baesa slog ham ved Gibbethon, som hørte Filisterne til, der Nadab og al Israel belejrede Gibbethon.
28 Baasha akamuua Nadabu katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, naye Baasha akaingia mahali pake kuwa mfalme.
Og Baesa slog ham ihjel i det tredje Asas, Judas Konges, Aar og blev Konge i hans Sted.
29 Mara tu alipoanza kutawala, aliua jamaa yote ya Yeroboamu. Hakumwachia Yeroboamu yeyote aliyekuwa hai, bali aliwaangamiza wote, kulingana na neno la Bwana lililotolewa kupitia kwa mtumishi wake Ahiya Mshiloni,
Og det skete, der han var Konge, da slog han hele Jeroboams Hus, han lod ikke nogen af Jeroboams blive tilovers, som havde Aande, indtil han havde ødelagt ham, efter Herrens Ord, som han talte ved Siloniteren Ahia, sin Tjener,
30 kwa sababu ya dhambi alizokuwa amezitenda Yeroboamu na kusababisha Israeli kuzitenda, tena kwa sababu alimkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli.
for Jeroboams Synders Skyld, som han syndede med, og som han kom Israel til at synde med, og for den Opirrelse, med hvilken han opirrede Herren, Israels Gud.
31 Kwa matukio mengine ya utawala wa Nadabu na yote aliyofanya, je hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
Men det øvrige af Nadabs Handeler, og alt det, som han har gjort, ere de Ting ikke skrevne i Israels Kongers Krønikers Bog?
32 Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli wakati wote wa utawala wao.
Og der var Krig imellem Asa og imellem Baesa, Israels Konge, alle deres Dage.
33 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme wa Israeli yote huko Tirsa, naye akatawala kwa miaka ishirini na minne.
I det tredje Asas, Judas Konges, Aar blev Baesa, Ahias Søn, Konge over al Israel i Thirza, fire og tyve Aar.
34 Akatenda maovu machoni pa Bwana, akienenda katika njia za Yeroboamu na dhambi yake, ambayo alikuwa amesababisha Israeli kuitenda.
Og han gjorde det onde for Her-Tens Øjne og vandrede i Jeroboams Vej og i hans Synd, som han kom Israel til at synde med.

< 1 Wafalme 15 >