< 1 Wafalme 14 >
1 Wakati ule Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,
Toho času roznemohl se Abiáš, syn Jeroboámův.
2 naye Yeroboamu akamwambia mke wake, “Nenda ukajibadilishe, ili watu wasijue kwamba wewe ni mke wa Yeroboamu. Kisha uende Shilo. Nabii Ahiya yuko huko, yule aliyeniambia kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
I řekl Jeroboám ženě své: Vstaň medle a změň se, aby nepoznali, že jsi žena Jeroboámova, a jdi do Sílo. Hle, tam jest Achiáš prorok, kterýž mi byl předpověděl, že mám býti králem nad lidem tímto.
3 Chukua mikate kumi, maandazi kadhaa na gudulia la asali na umwendee. Atakuambia kitakachotokea kwa kijana.”
A vezma v ruce své deset chlebů a koláčů, a láhvici medu, jdi k němu; onť oznámí tobě, co se stane pacholeti tomuto.
4 Basi mke wa Yeroboamu akafanya kama alivyosema mumewe, akaenda kwenye nyumba ya Ahiya huko Shilo. Wakati huu Ahiya alikuwa kipofu naye alishindwa kuona kwa sababu ya umri wake.
I učinila tak žena Jeroboámova; nebo vstavši, šla do Sílo, a přišla do domu Achiášova. Ale Achiáš nemohl již hleděti, nebo pošly mu byly oči pro starost jeho.
5 Lakini Bwana alikuwa amemwambia Ahiya, “Mke wa Yeroboamu anakuja kukuuliza kuhusu mwanawe, kwa kuwa ni mgonjwa, nawe utamjibu hivi na hivi. Atakapowasili, atajifanya kuwa ni mtu mwingine.”
Hospodin pak řekl Achiášovi: Aj, žena Jeroboámova jde, aby se tebe něco zeptala o synu svém, proto že jest nemocen. Toto a toto budeš jí mluviti. Budeť pak, že když přijde, činiti se bude jinou.
6 Hivyo Ahiya aliposikia kishindo cha hatua zake mlangoni, akasema, “Karibu ndani, mke wa Yeroboamu. Kwa nini kujibadilisha? Nimetumwa kwako nikiwa na habari mbaya.
Protož uslyšev Achiáš šust noh jejích, když vcházela do dveří, řekl: Poď, ženo Jeroboámova, proč se jinou činíš? Já zajisté poslán jsem k tobě s řečí tvrdou.
7 Nenda, ukamwambie Yeroboamu kwamba hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Nilikuinua miongoni mwa watu na kukufanya kiongozi juu ya watu wangu Israeli.
Jdi, pověz Jeroboámovi: Toto praví Hospodin Bůh Izraelský: Poněvadž jsem tě vyvýšil z prostředku lidu, a postavil jsem tě za vůdce nad lidem svým Izraelským,
8 Nikararua ufalme kutoka kwa nyumba ya Daudi na kukupa wewe, lakini hukuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye aliyashika maagizo yangu na kunifuata kwa moyo wake wote, akifanya tu lile lililokuwa sawa machoni pangu.
A odtrhl jsem království od domu Davidova, a dal jsem je tobě, ty však nebyl jsi jako služebník můj David, kterýž ostříhal přikázaní mých, a následoval mne v celém srdci svém, čině toliko to, což jest pravého přede mnou,
9 Umefanya maovu mengi kuliko wote waliokutangulia. Umejitengenezea miungu mingine, sanamu za chuma, umenighadhibisha na kunitupa nyuma yako.
Ale zlost jsi páchal hojněji nade všecky, kteříž byli před tebou; nebo odšed, učinils sobě bohy cizí a slité, abys mne dráždil, mne pak zavrhl jsi za hřbet svůj:
10 “‘Kwa sababu ya hili, nitaleta maafa juu ya nyumba ya Yeroboamu. Nitakatilia mbali kutoka kwa Yeroboamu kila mzaliwa wa mwisho wa kiume katika Israeli, mtumwa au mtu huru. Nitachoma nyumba ya Yeroboamu mpaka iteketee yote kama mtu achomaye kinyesi.
Protož aj, já uvedu zlé věci na dům Jeroboámův, a vyhladím z Jeroboáma, i toho, jenž močí na stěnu, i zajatého i zanechaného v Izraeli, a vyvrhu ostatky domu Jeroboámova, jako hnůj vymítán bývá až dočista.
11 Mbwa watawala wale walio wa nyumba ya Yeroboamu watakaofia ndani ya mji na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani. Bwana amesema!’
Toho, kdož z domu Jeroboámova umře v městě, psi žráti budou, a toho, kdož umře na poli, ptáci nebeští jísti budou; neboť jest mluvil Hospodin.
12 “Kukuhusu wewe, rudi nyumbani. Wakati utakapotia mguu katika mji wako, kijana atakufa.
Ty pak vstana, jdi do domu svého, a když vcházeti budeš do města, tehdy umře pachole.
13 Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Kwa sababu ni yeye pekee wa nyumba ya Yeroboamu atakayezikwa, kwa sababu ni yeye peke yake ndani ya nyumba ya Yeroboamu ambaye Bwana, Mungu wa Israeli, ameona kitu chema kwake.
I budou ho plakati všecken lid Izraelský, a pochovají jej; nebo ten sám z domu Jeroboámova dostane se do hrobu, proto že o něm z domu Jeroboámova jest slovo dobré u Hospodina Boha Izraelského.
14 “Bwana atajiinulia mwenyewe mfalme juu ya Israeli ambaye ataikatilia mbali jamaa ya Yeroboamu. Siku ndiyo hii! Nini? Naam, hata sasa hivi.
Vyzdvihneť však sobě Hospodin krále nad Izraelem, kterýž vyhladí dům Jeroboámův toho dne. Ale co? Nýbrž již vyzdvihl.
15 Naye Bwana ataipiga Israeli, hata iwe kama unyasi unaosukwasukwa juu ya maji. Ataingʼoa Israeli kutoka nchi hii nzuri aliyowapa baba zao na kuwatawanya ngʼambo ya Mto Frati, kwa sababu wamemghadhibisha Bwana kwa kutengeneza nguzo za Ashera
A zaklátí Hospodin Izraelem tak, jako se klátí třtina u vodách, a vykoření Izraele z země výborné této, kterouž dal otcům jejich, a rozptýlí je daleko za řeku, proto že sobě zdělali háje, popouzejíce Hospodina.
16 Naye atawaacha Israeli kwa ajili ya makosa ya Yeroboamu aliyoyatenda na kusababisha Israeli kuyatenda.”
A tak vydá Izraele pro hříchy Jeroboámovy, kterýž i sám hřešil, i v hřích uvodil Izraele.
17 Kisha mke wa Yeroboamu akainuka, akaondoka kwenda Tirsa. Mara alipokanyaga kizingiti cha mlango, kijana akafa.
Tedy vstavši žena Jeroboámova, odešla a přišla do Tersa, a když vstupovala na prah domu, umřelo pachole.
18 Wakamzika na Israeli yote ikamwombolezea, kama Bwana alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake, nabii Ahiya.
I pochovali je, a plakal ho všecken lid Izraelský vedlé řeči Hospodinovy, kterouž mluvil skrze služebníka svého, Achiáše proroka.
19 Matukio mengine ya utawala wa Yeroboamu, vita vyake na jinsi alivyotawala, vimeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.
Jiné pak věci Jeroboámovy, jaké boje vedl a kterak kraloval, aj, sepsány jsou v knize o králích Izraelských.
20 Yeroboamu akawatawala kwa miaka ishirini na miwili, kisha akalala na baba zake. Naye Nadabu mwanawe akawa mfalme baada yake.
Všech dnů, v nichž kraloval Jeroboám, bylo dvamecítma let. I usnul s otci svými, a kraloval Nádab syn jeho místo něho.
21 Rehoboamu mwana wa Solomoni alikuwa mfalme wa Yuda. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipoanza kutawala, naye akatawala miaka kumi na saba huko Yerusalemu, mji ambao Bwana alikuwa ameuchagua kutoka makabila yote ya Israeli ili apate kuliweka humo Jina lake. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni.
Roboám také syn Šalomounův kraloval nad Judou. V jednom a ve čtyřidcíti letech byl Roboám, když počal kralovati, a sedmnácte let kraloval v Jeruzalémě městě, kteréž vyvolil Hospodin ze všech pokolení Izraelských, aby tam přebývalo jméno jeho. Bylo pak jméno matky jeho Naama Ammonitská.
22 Yuda wakatenda maovu machoni pa Bwana. Kwa dhambi walizotenda wakachochea hasira yake yenye wivu zaidi kuliko baba zao walivyofanya.
Činil také lid Judský to, což zlého jest před Hospodinem, a k zůřivosti ho popudili hříchy svými, kterýmiž hřešili, více nežli otcové jejich všemi věcmi, kteréž činili.
23 Pia wakajijengea mahali pa juu pa kuabudia miungu, mawe ya kuabudiwa na nguzo za Ashera juu ya kila kilima kilichoinuka na kila mti uliotanda.
Nebo i oni vystavěli sobě výsosti a sloupy, i háje na každém pahrbku vysokém a pod každým stromem zeleným.
24 Walikuwepo hata wanaume mahanithi wa mahali pa ibada za sanamu katika nchi; watu wakajiingiza katika kutenda machukizo ya mataifa ambayo Bwana aliyafukuza mbele ya Waisraeli.
Přesto byli ohyzdní sodomáři v zemi té, činíce vedlé všech ohavností pohanských, kteréž byl vyplénil Hospodin před tváří synů Izraelských.
25 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu.
I stalo se léta pátého království Roboámova, že vytáhl Sesák král Egyptský proti Jeruzalému,
26 Akachukua hazina za Hekalu la Bwana na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao zote za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.
A pobral poklady domu Hospodinova a poklady domu královského, všecko to pobral. Vzal také všecky pavézy zlaté, kterýchž byl nadělal Šalomoun.
27 Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.
Místo kterýchž nadělal král Roboám pavéz měděných, a poručil je úředníkům nad drabanty, kteříž ostříhali brány domu královského.
28 Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la Bwana, walinzi walizichukua hizo ngao, na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.
A když král chodíval do domu Hospodinova, nosili je drabanti, a zase je přinášeli do pokoje drabantů.
29 Kwa matukio mengine ya utawala wa Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
Jiné pak věci Roboámovy, a všecko, což činil, zdaliž není zapsáno v knize o králích Judských.
30 Kulikuwa na vita vinavyoendelea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Ano i válka, kteráž byla mezi Roboámem a Jeroboámem po všecky dny.
31 Naye Rehoboamu akalala na baba zake, na akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni. Naye Abiya mwanawe akawa mfalme baada yake.
I usnul Roboám s otci svými, a pochován jest s nimi v městě Davidově. A jméno matky jeho bylo Naama Ammonitská. I kraloval Abiam syn jeho místo něho.