< 1 Wafalme 11 >

1 Hata hivyo, Mfalme Solomoni akawapenda wanawake wengi wa kigeni zaidi, mbali na binti Farao: wanawake wa Wamoabu, Waamoni, Waedomu, Wasidoni na Wahiti.
Soloumane da ga fi uda bagohame dogolegelesu. E da Idibidi hina bagade ea idiwi lai. Amola e da Hidaide uda, Moua: be uda, A:mone uda, Idome uda, Saidone uda amo bagohame lai.
2 Walitoka katika mataifa ambayo Bwana aliwaambia Waisraeli, “Msije mkaoana nao, kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu mgeukie miungu yao.” Hata hivyo, Solomoni akakaza kuwapenda.
Hina Gode da musa: Isala: ili dunuma ilia amo fi uda mae lama: ne sia: i. Bai ilia da amo uda lalalu, ilia da eno ogogosu ‘gode’ma fa: no bobosa: besa: le, E da amo mae lama: ne sia: i. Be Soloumane da amo hamoma: ne sia: i mae dawa: le, amo uda lai dagoi.
3 Alikuwa na wake 700 mabinti wa uzao wa kifalme, na masuria 300, nao wake zake wakampotosha.
Soloumane da fifi asi gala hina bagade ilia idiwi 700 agoane lai, amola e da gidisedagi uda eno 300 agoane lai. E da ea uda ilia hamobe hou, amoga Godema baligi fa: i.
4 Kadiri Solomoni alivyozidi kuzeeka, wake zake wakaugeuza moyo wake kuelekea miungu mingine, na moyo wake haukujitolea kikamilifu kwa Bwana Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
Amola e da da: i hamobeba: le, e da ea uda ilima fa: no bobogebeba: le, eno ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu. Ea ada Da: ibidi da ea Hina Godema mae fisili, fa: no bobogesu. Be Soloumane da amane hame hamoi.
5 Solomoni akafuata Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, na Moleki mungu aliyekuwa chukizo la Waamoni.
E da Saidone soge uda ogogosu ‘gode’ A: siadalode, amola A: mone fi ilia wadela: idafa ogogosu ‘gode’ Moulege, elama nodone sia: ne gadoi.
6 Kwa hiyo Solomoni akafanya uovu machoni pa Bwana; hakumfuata Bwana kikamilifu kama alivyofanya Daudi baba yake.
E da Hina Godema wadela: le bagade hamoi. E da ea ada Da: ibidi ea Godema dafawaneyale dawa: su hou defele hame hamosu.
7 Kwenye kilima mashariki mwa Yerusalemu, Solomoni akajenga mahali pa juu kwa ajili ya Kemoshi chukizo la Wamoabu, na kwa Moleki mungu chukizo la Waamoni.
E da goumi amo da Yelusaleme moilai bai bagadega gusu gala, amo da: iya Gimosie ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadoma: ne, amola Moua: be fi ilia wadela: idafa ogogosu ‘gode’, amola A: mone fi ilia wadela: idafa ogogosu ‘gode’ Moulege, ilima sia: ne gadomusa: sogebi gagui dagoi.
8 Akafanya hivyo kwa wake zake wote wa kigeni, ambao walifukiza uvumba na kutoa dhabihu kwa miungu yao.
Amola ea ga fi uda ilia da ilila: ogogosu ‘gode’ma gabusiga: manoma amola ohe gobele salima: ne, e da nodone sia: ne gadosu sogebi gagui dagoi.
9 Bwana akamkasirikia Solomoni kwa sababu moyo wake uligeuka mbali na Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye alikuwa amemtokea mara mbili.
10 Ingawa alikuwa amemkataza Solomoni kufuata miungu mingine, Solomoni hakutii amri ya Bwana.
Isala: ili fi dunu ilia Hina Gode E da musa: eso aduna agoane Soloumanema misini, ema e da ga fi dunu ilia ogogosu ‘gode’ma maedafa nodone sia: ne gadoma: ne sia: i. Be Soloumane da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i hame nabi. E da Hina Godema baligi fa: i. Amaiba: le, Hina Gode da Soloumanema ougi galu.
11 Kwa hiyo Bwana akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa hii ndiyo hali yako na hukushika Agano langu na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme kutoka kwako na kumpa mmoja wa walio chini yako.
E da Soloumanema amane sia: i, “Dia hanaiba: le ani gousa: su amo yolesiba: le amola Na hamoma: ne sia: i amo nabawane hame hamobeba: le, Na da dia Isala: ili fi ouligisu amo fisili masa: ne, dia eagene ouligisu dunu afae ema imunusa: , dafawane ilegesa.
12 Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi baba yako, sitafanya jambo hili wakati wa uhai wako. Nitaurarua kutoka mikononi mwa mwanao.
Be Na dia ada Da: ibidima asigiba: le, Na da dia esalusu amo ganodini hame hamomu. Be dia mano ea ouligibi eso amoga hamomu.
13 Lakini pia sitaurarua ufalme wote kutoka kwake, bali nitampa kabila moja kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu na kwa ajili ya Yerusalemu, ambao nimeuchagua.”
Be ouligibi huluanedafa, Na da ema hame fadegamu-la: idi fawane. Na da Na hawa: hamosu dunu Da: ibidima amola Na ilegei moilai Yelusaleme amoma asigiba: le, Na da fi afae diagofe ea ouligima: ne fisiagamu.”
14 Kisha Bwana akamwinua adui dhidi ya Solomoni, Hadadi, Mwedomu, kutoka ukoo wa ufalme wa Edomu.
Amaiba: le, Hina Gode da hamobeba: le, Idome hina bagade fi dunu afae Ha: ida: de, da Soloumanema ha lasu.
15 Huko nyuma wakati Daudi alipokuwa akipigana na Edomu, Yoabu jemadari wa jeshi, aliyekuwa amekwenda kuzika waliouawa, alikuwa amewaua wanaume wote waliokuwako Edomu.
16 Yoabu na Waisraeli wote walikaa huko kwa miezi sita, mpaka walipomaliza kuwaangamiza wanaume wote huko Edomu.
Musa: dafa, Da: ibidi da Idome fi hasalaloba, Da: ibidi ea dadi gagui wa: i ouligisu dunu Youa: be, da Idome sogega bogoi dunu ilia da: i hodo uli dogomusa: asi. Youa: be amola ea dunu da Idome soge ganodini oubi gafeale esalu. Amola amo oubi ganodini ilia da Idome dunumusu huluanedafa medole lelegei.
17 Lakini Hadadi, akiwa bado mvulana mdogo, alikimbilia Misri akiwa na baadhi ya maafisa wa Kiedomu waliokuwa wakimhudumia baba yake.
Be Ha: ida: de amola ea ada Idome ea hawa: hamosu dunu mogili da Idibidi sogega hobeale asili, esalebe ba: i. (Amo eso galu Ha: ida: de da mano fonobo, hame asigilai galu).
18 Wakaondoka Midiani wakaenda Parani. Basi wakichukua pamoja nao wanaume kutoka Parani, wakaenda Misri, kwa Farao mfalme wa Misri, ambaye alimpa Hadadi nyumba, ardhi na akampatia chakula.
Ilia da Midia: ne soge fisili, Ba: ila: ne soge amoga asi. Amogawi, eno dunu da ilima gilisili, ilia da Idibidi sogega asili, Idibidi hina bagadema doaga: i. E da Ha: ida: dema soge amola diasu amola ha: i manu i.
19 Farao akapendezwa sana na Hadadi hata akampa ndugu wa mkewe mwenyewe, Malkia Tapenesi, ili aolewe na Hadadi.
Ha: ida: de amola Idibidi hina bagade ela da dogolegei, amola hina bagade da ea uda Dabinisi ea aba amo igili lama: ne, Ha: ida: dema i.
20 Huyo ndugu wa Tapenesi akamzalia mwana aliyeitwa Genubathi, ambaye alilelewa na Tapenesi katika jumba la kifalme. Huko Genubathi aliishi pamoja na watoto wa Farao mwenyewe.
Ha: ida: de ea uda da dunu mano lalelegei. E dio da Giniuba: de, amola hina bagade uda da amo mano hina bagade diasu ganodini esala bugili i. E da amogawi hina bagade ea dunu manolali gilisili esalu.
21 Alipokuwa huko Misri, Hadadi alisikia kwamba Daudi amepumzika na baba zake na ya kwamba pia Yoabu aliyekuwa jemadari wa jeshi amekufa. Ndipo Hadadi akamwambia Farao, “Niruhusu niende ili niweze kurudi katika nchi yangu.”
Amalalu, Da: ibidi da bogoi, amola ea dadi gagui wa: i ouligisu dunu Youa: be da bogoi. Ha: ida: de da amo sia: nababeba: le, e da hina bagadema amane sia: i, “Na da nina: sogedafa amoga masa: ne yolesima.”
22 Farao akauliza, “Umekosa nini hapa, kwamba unataka kurudi katika nchi yako?” Hadadi akajibu, “Hakuna, lakini niruhusu niende!”
Hina bagade da bu adole ba: i, “Di da abuliba: le dina: sogedafa amoga bu masusa: hanabela: ? Na da dima liligi afae hame iabela: ?” Ha: ida: de da amane sia: i, “Na masa: ne fawane yolesima.” Amalalu, e da ea sogedafa amoga buhagi. Bai Ha: ida: de da Idome fi ilia hina bagadeba: le, e da Isala: ili fi ilima wadela: idafa nimi bagade ha lai dunu esalu.
23 Mungu akamwinua adui mwingine dhidi ya Solomoni, Rezoni mwana wa Eliada, ambaye alikuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri, mfalme wa Soba.
Amola Gode da hamobeba: le, Lisone (Ilaia egefe) da Soloumanema ha lasu hamoi. Lisone da ea hina (Souba hina bagade Ha: da: disa) amoba: le hobeale sa: i.
24 Akawakusanya watu, naye akawa kiongozi wa kundi la waasi, wakati Daudi alipoangamiza majeshi ya Soba; waasi walikwenda Dameski, mahali walipokaa na kumiliki.
Amalalu, ea da wamolasu gilisisu dunu ilia hina dunu hamoi. (Da: ibidi da Ha: da: disa hasali, amalu ea Silia fidisu dunu huluane medole lelegei. Amalu fa: no Lisone ea hou da ba: i). Lisone amola ea wamolasu gilisi dunu da Dama: sagase moilaiga esalumusa: asi. Amogawi, ema fa: no bobogesu dunu da e Silia hina bagade hamoi.
25 Rezoni alikuwa adui wa Israeli kwa muda wote alioishi Solomoni, ukiongezea matatizo yaliyosababishwa na Hadadi. Kwa hiyo Rezoni akatawala katika Aramu na alikuwa mkatili kwa Israeli.
E da Soloumane ea esalusu huluane amo ganodini, ema ha lasu.
26 Pia, Yeroboamu mwana wa Nebati aliasi dhidi ya mfalme. Alikuwa mmoja wa maafisa wa Solomoni, Mwefraimu kutoka Sereda, ambaye mama yake alikuwa mjane aliyeitwa Serua.
Dunu eno da hina bagade Soloumanema baligi fa: i. Amo da Soloumane ea eagene ouligisu dunu afae, Yelouboua: me (e da Niba: de egefe amola e da Selida moilai Ifala: ime soge amodili misi). Ea: me didalo ea dio da Selua.
27 Haya ndiyo maelezo ya jinsi alivyomwasi mfalme: Solomoni alikuwa amejenga Milo naye akawa ameziba mwanya katika ukuta wa mji wa Daudi baba yake.
Ea lelele hamosu bai amo da: - Soloumane da Yelusaleme moilai bai bagade gusudili osobo gasa: le salawene amola moilai gagoi mugului amo bu hahamonanebe ba: i.
28 Basi Yeroboamu alikuwa mtu shujaa na hodari, naye Solomoni alipoona jinsi kijana alivyofanya kazi yake, akamweka kuwa kiongozi wa kazi yote ya mikono ya nyumba ya Yosefu.
Yelouboua: me da noga: idafa hawa: hamosu dunu ayeligi. Soloumane da ea gasa bagade hawa: hamonanu ba: beba: le, e da Yelouboua: me amo udigili hawa: hamosu dunu Ma: na: se soge amola Ifala: ime soge ganodini, amo huluane ouligima: ne sia: i.
29 Karibu na wakati ule Yeroboamu alikuwa anatoka nje ya Yerusalemu, Ahiya nabii Mshiloni akakutana naye njiani, akiwa amevaa joho jipya. Hawa wawili walikuwa peke yao mashambani,
Eso afaega, Yelouboua: me da Yelusaleme moilai bai bagade fisili ahoanoba, balofede dunu Ahaidia (e da Siailou moilai esalu) amo e da logoa gousa: i. Ela da elesudafa esalebe ba: i.
30 naye Ahiya akachukua joho jipya alilokuwa amevaa akalirarua vipande kumi na viwili.
Ahaidia da abula gaheabolo hi ga: i amo gisa: le fasili, fagoyale agoane gagadelale gagai.
31 Kisha akamwambia Yeroboamu, “Chukua vipande kumi kwa ajili yako, kwa kuwa hivi ndivyo Bwana, Mungu wa Israeli asemavyo: ‘Tazama, ninakwenda kuuchana ufalme kutoka mikononi mwa Solomoni na kukupa wewe makabila kumi.
E da Yelouboua: mema amane sia: i, “Gagadelai nabuane amo di lama. Bai Isala: ili Hina Gode da dima amane sia: sa, ‘Na Soloumanema Isala: ili ouligisu hou amo fadegamu amola Isala: ili fi nabuane agoane dima imunu.
32 Lakini kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi na mji wa Yerusalemu, ambao nimeuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli, atakuwa na kabila moja.
Na da Na hawa: hamosu dunu Da: ibidima amola Yelusaleme (moilai Na da Isala: ili soge ganodini Na moilai bai bagadedafa ilegei) amoma asigiba: le, Na da Soloumanema fi afae yolesimu.
33 Nitafanya hivi kwa sababu wameniacha mimi na kuabudu Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, Kemoshi mungu wa Wamoabu, na Moleki mungu wa Waamoni, nao hawakwenda katika njia zangu ili kufanya yaliyo sawa machoni pangu, wala kushika amri na sheria zangu kama Daudi, babaye Solomoni, alivyofanya.
Soloumane da Nama hagaiba: le amola ogogole ‘gode’ (Saidone fi ilia ‘gode’ A: siadalode amola Moua: be fi ilia ‘gode’ Gimosie amola A: mone fi ilia ‘gode’ Moulege) ilima nodone sia: ne gadobeba: le, Na da amane hamomu. Soloumane da Nama hame nabasu hou hamoi. Ea ada Da: ibidi da Na sema amola hamoma: ne sia: i noga: le hamoi. Be Soloumane da amane hame hamone, giadofale bagade hamoi.
34 “‘Lakini sitauondoa ufalme wote kutoka mikononi mwa Solomoni, nimemfanya mtawala siku zote za maisha yake kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, niliyemchagua na ambaye aliyatunza maagizo na amri zangu.
Be Na da Isala: ili ouligisu huluanedafa Soloumanema hame fadegamu. Na da ea esalebe amo ganodini, ea ouligisu hame fadegamu. Na da Na hawa: hamosu dunu Da: ibidima asigiba: le amane hamomu. Na da Da: ibidi ilegele lai amola e da Na sema amola hamoma: ne sia: su amo nabawane hamoi.
35 Nitauondoa ufalme kutoka mikononi mwa mwanawe na kukupa wewe makabila kumi.
Na da Soloumane ea mano ea Isala: ili ouligimu hou amo fadegale, amola dunu fi nabuane gala amo dima imunu.
36 Nitampa mwanawe kabila moja ili kwamba Daudi mtumishi wangu awe na taa mbele zangu daima katika Yerusalemu, mji ambao nimeuchagua kuweka Jina langu.
Be Na da Soloumane ea mano ema fi afae fawane ouligilaloma: ne yolesimu. Be Na da Yelusaleme moilai bai bagade Nama nodone sia: ne gadosu moilai ilegeiba: le, Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi ea fifi manebe da mae fisili, eso huluane Yelusaleme moilai bai bagade ganodini esalebe ba: mu.
37 Hata hivyo, kukuhusu wewe Yeroboamu, nitakutwaa, nawe utatawala juu ya yote yale moyo wako unayotamani, utakuwa mfalme juu ya Israeli.
Yelouboua: me! Na da dima Isala: ili ilia hina bagade hamoma: mu. Amasea, di soge fifi asi soge huluane di hanai amo ouligima: mu.
38 Ikiwa utafanya kila nitakalokuamuru, kuenenda katika njia zangu na kufanya yaliyo sawa mbele za macho yangu kwa kuzishika amri zangu na maagizo yangu kama alivyofanya Daudi mtumishi wangu, nitakuwa pamoja nawe. Nitakujengea ufalme utakaodumu kama ule niliomjengea Daudi, nami nitakupa Israeli.
Di da dafawanedafa Na sema huluane nabawane hamosea, amola Na da dima hamoma: ne sia: i, amo Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi ea hamosu agoane hamobe Na da ba: sea, Na da Da: ibidima hamoi amo defele digaga fa: no manebe, ilia da di bagia noga: le ouligisu hamoma: ne hamomu.
39 Nitawatesa wazao wa Daudi kwa ajili ya hili, lakini siyo milele.’”
Soloumane da wadela: i hou hamobeba: le, Na da Da: ibidi ea fi manebe ilima dawa: ma: ne se dabe imunu. Be eso huluane hame amanumu.”
40 Solomoni akajaribu kumuua Yeroboamu, lakini Yeroboamu akakimbilia Misri, kwa Mfalme Shishaki, naye akakaa huko mpaka Solomoni alipofariki.
Amaiba: le Soloumane da Yelouboua: me fane legemusa: dawa: i. Be e da Idibidi sogega hina bagade Siaisia: gema hobeale asili, esaloba, Soloumane da bogoi.
41 Kwa habari za matukio mengine ya utawala wa Solomoni, yote aliyoyafanya na hekima aliyoionyesha, je hayakuandikwa yote katika kitabu cha matendo cha Solomoni?
Hou huluane amo Soloumane hamoi, ea hawa: hamosu amola ea bagade dawa: su hou, da ‘Soloumane ea Hamonanusu Buga’ ganodini dedene legei.
42 Solomoni alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.
E da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode 40 agoane Isala: ili fi ouligisu.
43 Kisha Solomoni akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.
E da bogole, Da: ibidi Moilai Bai Bagade amo ganodini uli dogonesali. Eagofe Lihouboua: me da e bagia Isala: ili hina bagade hamoi.

< 1 Wafalme 11 >