< 1 Yohana 5 >
1 Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye Kristo amezaliwa na Mungu, na yeyote ampendaye Baba humpenda pia mtoto aliyezaliwa naye.
Wowoti wahuposhela uYesu uKiristi huje apepwe nungolobhe. Wowoti wagene huje afumile hwa Daada nantele abhagene abhana bhakwe.
2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake.
Huhweli timenye huje tibhagene abhana bhangolobhe petuhugana ongolobhe nembombo zyakwe.
3 Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.
Hwahuje petihugana Ongolobhe tibhomba nembombo zyakwe embombo zyakwe nyororo.
4 Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu.
Hwahuje wapepwe nu Ngolobhe aimenile eensi. Ohwo huimene huimene eensi ulweteshelo lwetu.
5 Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
Yonanu waimenile eensi? Yeyola wamweteshe huje Mwana wa Ngolobhe.
6 Huyu ndiye alikuja kwa maji na damu, yaani, Yesu Kristo. Hakuja kwa maji peke yake, bali kwa maji na damu. Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.
Ono wahenzele humenze ni danda O Yesu U Kiristi. Sagaahenzele namenze gene ahenzele namenze ni danda.
7 Kwa maana wako watatu washuhudiao[ mbinguni: hao ni Baba, Neno na Roho Mtakatifu. Hawa watatu ni umoja.
Hwahuje bhatatu bhabhayanga.
8 Pia wako mashahidi watatu duniani]: Roho, Maji na Damu; hawa watatu wanakubaliana katika umoja.
Ompepo amenze nidanda ebha bhatatu bhahwetehana.
9 Kama tunaukubali ushuhuda wa wanadamu, basi ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi, kwa kuwa huu ndio ushuhuda wa Mungu kwamba amemshuhudia Mwanawe.
Nkashile mtejezya usimishizwo gwabhantu usimishizwo ogwangolobhe gosi ashile ego. Hwahuje usimishizwo ogwa golobhe gwagogu huje alinagwo usimishizwo gwa Mwana wakwe.
10 Kila mtu amwaminiye Mwana wa Mungu anao huu ushuhuda moyoni mwake. Kila mtu asiyemwamini Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo, kwa sababu hakuamini ushuhuda Mungu alioutoa kuhusu Mwanawe.
Ola wahuposhela Omwana wa Ngolobhe alinagwo usimishizwi mhati yakwe yuyo. Wowoti wasaga huposhela Ongolobhe ubheshe aje wilenga hwahuje sagaposheye usimishizwo ogwa Ngolobhe auletile ashilile Omwana wakwe.
11 Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios )
Usimishizwo gwa Ngolobhe atipiye owomi ogwa wila, owomi ogwo guli mhati ya Mwana wakwe. (aiōnios )
12 Aliye naye Mwana wa Mungu anao uzima, yeye asiye na Mwana wa Mungu hana uzima.
Wali numwana wakwe ai nuwomi wasagali numwana owa Ngolobhe sagali nuwomi.
13 Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios )
Embasimbiye ega mmanye huje mli nuwomi ogwo wila amwe mwemhutejezya hwitawa lya Mwana wa Ngolobhe. (aiōnios )
14 Huu ndio ujasiri tulio nao tunapomkaribia Mungu, kwamba kama tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
Elitinalyo tibagaje hwitagalila lyakwe huje nkatilabhe ahatu hohoti shishiza mlugano lwakwe ahonvwa.
15 Nasi kama tunajua atusikia, lolote tuombalo, tunajua ya kwamba tumekwisha kupata zile haja tulizomwomba.
Nkashile timenye huje ontovwa hohoti hetihulabha timenye huje tilinalyo lyatilaabhile.
16 Kama mtu akimwona ndugu yake akitenda dhambi isiyo ya mauti, inampasa aombe, naye Mungu atampa uzima mtu huyo. Ninamaanisha wale ambao dhambi yao si ya mauti. Iko dhambi ya mauti, sisemi kwamba utaomba kwa ajili ya hiyo.
Nkashile omuntu alolile uwomba embibhi yasagahutwale afwe, hahwanziwa alabhe hwa Ngolobhe abhapele owomi. Iyanga nabhala embibhi zyawo saga ziwatwala afwe sayanga huje ahwaziwa alabhe humbibhi ezwo.
17 Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.
Nkakosele embibhi hwahiye zihweli embibhi zyasaga zya aafwe.
18 Tunajua ya kuwa yeye aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, bali aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hawezi kumdhuru.
Hwahuje wapepwe nu Ngolobhe saga bhabhomba embibhi. Wapepwe nu Ngolobhe, alelwa abhapinza wila nula ohwimbibhi hawezizye huvwalazye.
19 Sisi twajua kuwa tu watoto wa Mungu na ya kwamba ulimwengu wote uko chini ya utawala wa yule mwovu.
Timenye huje ante tili bhana bhangolobhe ensi yonti pansi elogozya nuula obhibhi.
20 Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios )
Hwahuje Omwana wa Ngolobhe ayezele atipiye enjele hwahuje timenye omwene lyoli, huyetili mhati yakwe umwene lyoli hwoyo Umwana wakwe uYesu Kiristi nu Ngolobhe uwelyoli nowomi weiwene. (aiōnios )
21 Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.
Mubhana mwaganwa muhwiyetwe neshifwani.