< 1 Yohana 5 >

1 Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye Kristo amezaliwa na Mungu, na yeyote ampendaye Baba humpenda pia mtoto aliyezaliwa naye.
Au pi Jesuh cun Mesijah ni tia jumki naküt cun Pamhnama caa kyaki. Au pi a pa mhläkphyanaki naw a Ca pi mhläkphyanaki.
2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake.
Pamhnama canae mi jah mhläkphyanak mi ksingnak ta: Pamhnam mhläkphya na lü a ngthupete jah läklame hin ni.
3 Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.
A ngthupete jah läklam cun Pamhnam mhläkphyanak ni. A ngthupete pi pyanki ti am ve.
4 Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu.
Isetiüng, Pamhnama ca naküt naw khawmdek cun a näng päng ni. Khawmdek nängnak cun pi mi jumnaka phäh ni.
5 Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
U naw khawmdek näng khawh khai ni? Jesuh hin Pamhnama Ca ni ti lü jumeikie däk naw khawmdek ami näng khawh.
6 Huyu ndiye alikuja kwa maji na damu, yaani, Yesu Kristo. Hakuja kwa maji peke yake, bali kwa maji na damu. Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.
Jesuh Khritaw cun a thihnaka thisen ja baptican a khannaka tui am lawki ni. Tui däk am lawki am ni, tui ja thisen am lawki ni. Ngmüimkhya amät naw cangki tia saksiki. Isetiüng, ngmüimkhya cun ngthu kcang ni.
7 Kwa maana wako watatu washuhudiao[ mbinguni: hao ni Baba, Neno na Roho Mtakatifu. Hawa watatu ni umoja.
Saksiki mjü kthum veki,
8 Pia wako mashahidi watatu duniani]: Roho, Maji na Damu; hawa watatu wanakubaliana katika umoja.
Ngmüimkhya, tui ja thisena kyaki he. Ami kthuma saksi cun täng päihki.
9 Kama tunaukubali ushuhuda wa wanadamu, basi ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi, kwa kuwa huu ndio ushuhuda wa Mungu kwamba amemshuhudia Mwanawe.
Khyanga saksi mi jumki, cunüngpi Pamhnama saksi mi jum bawki. Acunakyase, a Capaa mawng cun a saksinak ni.
10 Kila mtu amwaminiye Mwana wa Mungu anao huu ushuhuda moyoni mwake. Kila mtu asiyemwamini Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo, kwa sababu hakuamini ushuhuda Mungu alioutoa kuhusu Mwanawe.
Pamhnama Caa jumeiki naküt naw ahina saksi hin a mlung k’uma taeiki. Cunüngpi, Pamhnam am jumeiki naküt naw Pamhnam hleisakie ni. Isetiüng, Pamhnam naw a Caa mawng a pyen cun am a juma phäh ni.
11 Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios g166)
Saksinak ta: Pamhnam naw angsäia xünnak jah pe ve, angsäia xünnak cun a Capa üng ni a ngphungei ta. (aiōnios g166)
12 Aliye naye Mwana wa Mungu anao uzima, yeye asiye na Mwana wa Mungu hana uzima.
A Capa yaheiki naküt naw xünnak yahki. Pamhnama Capa am yaheiki naw ta xünnak am yah.
13 Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Pamhnama Ca jumeiki naküt naw angsäia xünnak yahki ti nami ksing vaia phäh ahina kca ka ning jah yuk law ni. (aiōnios g166)
14 Huu ndio ujasiri tulio nao tunapomkaribia Mungu, kwamba kama tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
A hlüeia mi täsamnak naküt üng jah cungaih petki tia mi ksinga phäh, Pamhnama maa mkhüh üpnak mi taki.
15 Nasi kama tunajua atusikia, lolote tuombalo, tunajua ya kwamba tumekwisha kupata zile haja tulizomwomba.
Mi täsam naküt jah ngja lü, ahin hin cangki tia mi ksinga phäh, ania vei mi täsam naküt jah pe khaia pi mi ksingki.
16 Kama mtu akimwona ndugu yake akitenda dhambi isiyo ya mauti, inampasa aombe, naye Mungu atampa uzima mtu huyo. Ninamaanisha wale ambao dhambi yao si ya mauti. Iko dhambi ya mauti, sisemi kwamba utaomba kwa ajili ya hiyo.
Jumeiki mat naw thihnaka am kpha khaia mkhyenak pawh se na hmuh üng, ani üng xünnak pe khai Pamhnama veia na ktaiyü vai. Acun cun thihnaka am jah kpha khai mkhyenak pawhkiea khana ni a kya kawm. Acunüngpi, thihnaka jah kpha khaia mkhyenak veki. Acuna phäh Pamhnama veia na ktaiyü vai ka pyen am ni.
17 Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.
Akse pawhnak naküt cun mkhyenak ni. Cunüngpi, thihnaka am jah kpha khaia mkhyenak veki.
18 Tunajua ya kuwa yeye aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, bali aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hawezi kumdhuru.
Pamhnama cana naküt naw mkhyenak am pawh be ti ti cun mi ksingki. Pamhnama Capa naw jah yungkaih lü khawyaipa naw am nängpang khawh.
19 Sisi twajua kuwa tu watoto wa Mungu na ya kwamba ulimwengu wote uko chini ya utawala wa yule mwovu.
Khawmdek avan hin Khawyaipaa uknaka kea ve kyaw lüpi, Pamhnam üng mi sängeiki tia mi ksingki.
20 Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Pamhnama Capa cun law päng lü, ani naw ksingkhyapnak jah pe lawki tia mi ksingki. Acuna phäh, Pamhnam Kcang cun mi ksingki. Pamhnam Kcang üng mi xüngsei lü, a Capa Jesuh Khritaw üng pi mi yümmatki. Ani ni Pamhnam Kcanga kya lü angsäia xünnaka pi kyaki. (aiōnios g166)
21 Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.
Ka canae aw, mhnam kcang am nikie üng käh ngpüi hü u bä.

< 1 Yohana 5 >