< 1 Yohana 4 >
1 Wapendwa, msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho mwone kama zimetoka kwa Mungu, kwa sababu manabii wengi wa uongo wametokea ulimwenguni.
Bhaganwa, mkatayikuj'hikiela kila roho, lakini musijaribisiaghe roho Kama sihomela kwa kyara, kwandabha manabii bhingi bhadesi padunia.
2 Hivi ndivyo mnavyoweza kutambua Roho wa Mungu: Kila roho inayokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatoka kwa Mungu.
kwa e'le mbetakumanya roho ghwa K'yara-kila roho j'haj'hibekukiri kuj'ha Yesu Kristu ahidili ni m'mb'ele ghwa K'yara,
3 Lakini kila roho ambayo haimkubali Yesu haitoki kwa Mungu. Hii ndiyo roho ya mpinga Kristo, ambayo mmesikia kwamba inakuja na sasa tayari iko ulimwenguni.
ni kila roho j'haj'hibela kunkiera Yesu j'ha K'yara lepi. E'j'he j'hibeta kuj'ha roho j'haj'hikampinga K'yara au Kristu, ambaj'ho j'hamj'hip'heliki kuj'ha j'hihida, ni henu tayari j'hij'hele padunia.
4 Watoto wapendwa, ninyi mmetokana na Mungu, nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika ulimwengu.
Muenga bha K'yara, Bhana bhaganwa, na mmaliki na bhishinda kwa ndabha muene j'ha aj'hele mugati mwinu ndo m'baha kuliko muene j'ha aj'hele pa bhulimwengu.
5 Wao wanatokana na ulimwengu na kwa hiyo hunena yaliyo ya ulimwengu, hivyo ulimwengu huwasikiliza.
Bhene ndo bhaulimwengu kwa henu Kya bhujobha ndo Kya bhulimwengu, na bhulimwengu ukabhap'heleke'sya.
6 Sisi twatokana na Mungu na yeyote anayemjua Mungu hutusikiliza, lakini asiyetokana na Mungu hatusikilizi. Hivi ndivyo tunavyoweza kutambua Roho wa Kweli na roho ya upotovu.
Tete ndo bha K'yara. Muene j'ha ammanyili K'yara akatup'helekesya tete. Muene j'haabeli kuj'ha gha K'yara ibhwesyalepi kutup'helekesya. Mu e'le tumanyili roho ghwa bhukweli ni roho ghwa bhudesi.
7 Wapendwa, tupendane, kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu. Kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.
Bhaganwa, tugananai tete kwa tete, kwa ndabha, luganu ndo lwa K'yara, ni kila mmonga j'haigana ahogoliki ni K'yara na ammanyili K'yara.
8 Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni pendo.
Muene j'haabeli kugana basi ammanyilepi K'yara kwa ndabha K'yara ndo luganu.
9 Hivi ndivyo Mungu alivyoonyesha pendo lake kwetu: Mungu alimtuma Mwanawe wa pekee ulimwenguni, ili tupate uzima kupitia kwake.
Mu e'le luganu lwa K'yara lyafunulibhu miongoni mwa tete, kuj'ha K'yara andaghisye mwanabhe ghwa pekee ulimwenguni ili tutamaghe kup'hetela muene.
10 Hili ndilo pendo: si kwamba tulimpenda Mungu, bali yeye alitupenda, akamtuma Mwanawe, ili yeye awe dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu.
Mu luganu o'lu si kuj'ha twan'ganili K'yara, lakini muene atuganili tete, ndo mana andaghisye mwanabhe aj'hiaghe fidia kwa sambi syitu.
11 Marafiki wapendwa, kama Mungu alivyotupenda sisi, imetupasa na sisi kupendana.
Bhaganwa, ikaj'helai K'yara atuganili tete vilevile twilondeka kuganana tete kwa tete.
12 Hakuna mtu yeyote aliyemwona Mungu wakati wowote. Lakini tukipendana, Mungu anakaa ndani yetu, na pendo lake limekamilika ndani yetu.
Aj'hedumu hata mmonga j'haambuene K'yara. Kama twiganana j'hoti kwa j'hoti, K'yara itama mugati mwitu ni luganu lwake lwikamilika mugati mwa tete.
13 Tunajua kwamba twakaa ndani yake na yeye ndani yetu, kwa sababu ametupa sisi sehemu ya Roho wake.
Mu e'le tumanyi kuj'ha twitama mugati mwitu nu muene mugati mwitu kwandabha atupele roho bhwake.
14 Nasi tumeona na kushuhudia kwamba Baba amemtuma Mwanawe ili awe Mwokozi wa ulimwengu.
Na tubhuene ni kushuhudila kuj'ha tataan'tumili muana kuj'ha mwokozi ghwa bhulimwengu.
15 Kila akiriye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, basi Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya Mungu.
kila j'haekiri kuj'ha Yesu ndo mwana ghwa K'yara, K'yara itama mugati mwake nu muene mugati mwa K'yara.
16 Hivyo nasi twajua na kulitumainia pendo la Mungu alilo nalo kwa ajili yetu. Mungu ni Upendo. Kila akaaye katika upendo hukaa ndani ya Mungu na Mungu hukaa ndani yake.
Na tumanyili ni kukiera bhuganu bhwa aj'he nabhu K'yara kwa tete. K'yara ndo luganu nu muene itama mugati mwa K'yara, nu K'yara itama mugati mwake.
17 Kwa njia hii, pendo hukamilishwa miongoni mwetu ili tupate kuwa na ujasiri katika siku ya hukumu, kwa sababu kama alivyo ndivyo tulivyo sisi katika ulimwengu huu.
luganu o'lu limalikukamilisibhwa Kati j'hitu, ili tujhiaghe ni bhujasiri ligono lya hukumu kwandabha kama muene Kya aj'hele, ni tete jinsi k'yatuj'hele mu bhulimwengu obho.
18 Katika pendo hakuna hofu. Lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu, kwa sababu hofu inahusika na adhabu. Kila mwenye hofu hakukamilika katika pendo.
kuj'hedumun hofu mugati mu luganu. Lakini luganu kamili lwitagha hofu kwibhala, kwandabha hofu j'hihusiana ni hukumu. Lakini muene j'ha itila akamilisibhu lepi mu luganu.
19 Twampenda yeye kwa sababu yeye alitupenda kwanza.
Twigana kwandabha K'yara atuganili luk'hombi.
20 Ikiwa mtu atasema, “Nampenda Mungu,” lakini anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo. Kwa maana kila mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, atampendaje Mungu asiyemuona?
Ikij'hiaghe mmonga ibetakujobha “Ni'n'ganili K'yara” lakini akan'dadila ndongomunu, o'j'hu n'desi. Kwa ndabha j'haan'ganililepi ndongomunu, j'ha ikambona, ibhwesyalepi kun'gana K'yara j'ha abeli kum'mbona.
21 Naye ametupa amri hii: Yeyote anayempenda Mungu lazima pia ampende ndugu yake.
Na ej'he ndo amri j'ha tujhe naj'hu kuh'oma kwa muene: J'hoj'hioha j'haan'ganili K'yara, ilondeka kun'gana ndongomunu pia.