< 1 Yohana 2 >
1 Watoto wangu wapendwa, nawaandikia haya ili msitende dhambi. Lakini kama mtu yeyote akitenda dhambi, tunaye Mwombezi kwa Baba: ndiye Yesu Kristo, Mwenye Haki.
Bhana bhane bhi gane lyane, embasimbila enongwa ezi aje umuntu asabhombe embombo embibhi. Lelo nkashele umoabhombile embibhi, ahweli yatilabhi yaki pandwemo nu Daada, uYesu Kristu yasali ne mbibhi.
2 Yeye ndiye dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu, wala si kwa ajili ya dhambi zetu tu, bali pia kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote.
Umwene yukundanyi hu mbibhi zyetu, se huje ne mbibhi zyetu zyene, lelo nensi yonti.
3 Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake.
Hwezi tamanya aje timenye umwene, nkashele tazibhesha endajizyo zyakwe.
4 Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli.
Umuntu yaiga, “Emenye Ungulubhi,” lelo siga azikhata endajizyo zyakwe, anilenga, nezye lyoli nazimo mumwoyo gwakwe.
5 Lakini mtu yeyote anayelitii neno lake, upendo wa Mungu umekamilika ndani yake kweli kweli. Katika hili twajua kuwa tumo ndani yake.
Umuntu yakhata izu lyakwe, lyoli umuntu uyo uluhano lwa Ngulubhi lukha la mwuyo. Eshi timenye aje tilimuhati yakwe.
6 Yeyote anayesema anakaa ndani yake hana budi kuenenda kama Yesu alivyoenenda.
Umuntu yaiga edela mwa Ngulubhe ahwanziwa yuyo ahwendelele neshi u Yesu Kristi sha hendeleye.
7 Wapendwa, siwaandikii ninyi amri mpya bali ile ya zamani, ambayo mmekuwa nayo tangu mwanzo. Amri hii ya zamani ni lile neno mlilosikia.
Bhayaa sembasimbila amweendajizyo enkuulu yamwali nayo ahwande hali, endajizyo eyehali lizu lyamwalyumvwizye.
8 Lakini nawaandikia amri mpya, yaani, lile neno lililo kweli ndani yake na ndani yenu, kwa sababu giza linapita na ile nuru ya kweli tayari inangʼaa.
Lelo eshi embasimbila endajizyo empya, eyelyoli hwa Yesu na hulimwe, maana enkisi eshila, nolukhozyo lwa lyoli lukhozya.
9 Yeyote anayesema yumo nuruni lakini anamchukia ndugu yake bado yuko gizani.
Umuntu yaiga endi mulukhozyo lelo ahuvitwa uholo wakwe uyo ali muhisi paka eshi.
10 Yeye ampendaye ndugu yake anakaa nuruni, wala hakuna kitu chochote ndani yake cha kumkwaza.
Umuntu yahugana uholo wakwe uyo adeela mulukhozyo nantele nalimo lyali bhajiye ahuvisye.
11 Lakini yeyote amchukiaye ndugu yake, yuko gizani na anaenenda gizani, wala hajui anakokwenda, kwa sababu giza limempofusha macho.
Lelo ula yahuvitwa uholo wakwe uyo alimuhisi nawtele ajenda muhisi; nawtele samenye hwabhaka, maana ehisi egojile amaso salola.
12 Nawaandikia ninyi, watoto wadogo, kwa sababu dhambi zenu zimesamehewa kwa ajili ya Jina lake.
Embasimbila amwe, mubhana bhigane, maana msajiilwe embibhi zyenyu hunongwa yi tawalyakwe.
13 Nawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi vijana kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nawaandikia ninyi watoto wadogo, kwa sababu mmemjua Baba.
Embasimbila amwe, mwa daada, amwe mumenye yali hale embasimbila amwe mwasahalana lendu, mumenile ula ubhibhi emasimbiye amwe mubhanamwa dodo, mumenye udaada.
14 Nawaandikia ninyi akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi vijana, kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu.
Embasimbiye amwe mwasuhala na lendu, muli ni khone ne izu elyaNgulubhi likhala hulimwe nantele mumenile ula ubhibhi.
15 Msiupende ulimwengu wala mambo yaliyo ulimwenguni. Kama mtu yeyote akiupenda ulimwengu, upendo wa Baba haumo ndani yake.
Msaigane ensi nagaala gafiali munsi. Ula yaigana ensi, ulugano lwa Ngulubhi nalumo mumwoyo gwakwe.
16 Kwa maana kila kitu kilichomo ulimwenguni, yaani tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi cha uzima, havitokani na Baba bali hutokana na ulimwengu.
Shila hantu hahali munsi- zyazizilisya ubele, zyazizilisya amaso na mabado age womi sezifuma hwa daada vifuma munsi.
17 Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele. (aiōn )
Ensi eshila nenzilisyo zyakwe zyonti. Lelo uyabhomba enzaNgulubhi akhala wila na wila. (aiōn )
18 Watoto wadogo, huu ni wakati wa mwisho! Kama mlivyosikia kwamba mpinga Kristo anakuja, hivyo basi wapinga Kristo wengi wamekwisha kuja. Kutokana na hili twajua kwamba huu ni wakati wa mwisho.
Mubhana mubhadoda ensiku ezi zyahumalishilo. Nenshi shamwahumvwizye huju yahukhana uYesu ahwenza, neshi bhabhahukhana uYesu bhenzele, eshi timanyaje huje nsiku zya humalishilo.
19 Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu hasa. Kwa maana kama wangelikuwa wa kwetu, wangelikaa pamoja nasi, lakini kutoka kwao kulionyesha kwamba hakuna hata mmoja wao aliyekuwa wa kwetu.
Bhasoguye hulite, ebho seebhali bhahulite, bhagali bhahulite handa bhakheye natete, lelo bhasogoye hulite aje bhabhoneshe huje se bhonti bhabhali bhahulite.
20 Lakini ninyi mmetiwa mafuta na yeye Aliye Mtakatifu, nanyi nyote mnaijua kweli.
Lelo mupahiye amafuta nuulaufinjile namwe mzimenye enzyelyoli.
21 Siwaandikii kwa sababu hamuijui kweli, bali kwa sababu mnaijua, nanyi mnajua hakuna uongo utokao katika kweli.
Siga embasimbiye huje se muzimenye ezyelyolie embasimbiye aja muzimenye nantele nalimo ilenga lya lyonti umwo.
22 Je, mwongo ni nani? Mwongo ni mtu yule asemaye kwamba Yesu si Kristo. Mtu wa namna hiyo ndiye mpinga Kristo, yaani, yeye humkana Baba na Mwana.
Wenu uwilenga yayula yahukhana u Yesu, aje uYesu yu Kiristi? Uyahukhana uYesu yayula yaiga numo udaada nu mwana.
23 Hakuna yeyote amkanaye Mwana aliye na Baba. Yeyote anayemkubali Mwana anaye na Baba pia.
Numo umuntu yahukhawa Umwana aiga ane endi nu Dada. Yayonti yahumwe teha Umwana ali nu Daada.
24 Hakikisheni kwamba lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu. Kama lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana na ndani ya Baba.
Nkahali kwa ajili yenyu, hala hamwahumvizye afume hali heshi hakhalaje hwa hulimwe. Weshi haala hamwahumvwizye ahwande hele habhakale wila mulimwe namwe mubhakhale muhanji mwa Mwana nu Daada.
25 Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele. (aiōnios )
Olu lulagano lwatipiye ate: nu uwomi wa wia na wila. (aiōnios )
26 Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha.
Embandishiye ezi aje mubhamanye bhala bhabhahanzaga abhalongozye humbibhi.
27 Nanyi, upako mlioupata kutoka kwake unakaa ndani yenu, wala ninyi hamna haja ya mtu yeyote kuwafundisha. Lakini kama vile upako wake unavyowafundisha kuhusu mambo yote nayo ni kweli wala si uongo, basi kama ulivyowafundisha kaeni ndani yake.
Na hushauli yenyu gaala amafuta gamwagambeleye afume hwa mwene gakhala muhati mulimwe, na semuhwanza umuntu aje abhamanyizye. Amafuta gakwe gabhamanyizya zyoti ne zye lyoli na bila lilenga lyalyonti nkashele gabhamanyizizye khalaji muhati yakwe.
28 Sasa basi, watoto wapendwa, kaeni ndani yake, ili atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibike mbele zake wakati wa kuja kwake.
Amwe bhaana bhihane khali muhati yakwe nkashele naihwenza tahabhe na madandi na siyo aihumve ensoni nayenza umwene.
29 Kama mkijua kuwa yeye ni mwenye haki, mwajua kwamba kila atendaye haki amezaliwa naye.
Nkamumenye huje umwene lyoli, mumenye lyoli huje kila muntu abhewe lyoli na huje umuntu apepwe nu mwene.