< 1 Wakorintho 1 >
1 Paulo, niliyeitwa kwa mapenzi ya Mungu kuwa mtume wa Kristo Yesu, na Sosthene ndugu yetu.
Pamhnama hlüeia khü Jesuh Khritawa ngsä, kei Pawluh jah ka na Soten naw,
2 Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, kwa wale waliotakaswa katika Kristo Yesu na walioitwa kuwa watakatifu, pamoja na wale wote ambao kila mahali wanaliitia Jina la Kristo Yesu Bwana wetu, aliye Bwana wao na wetu pia:
Korintuh mlüha vekia Pamhnama sangcime, Khritaw Jesuh üng khyang ngcima kya khaie a jah khüe, hnün naküt üng mi Bawipa Jesuh Khritaw mküimtokie naküta veia;
3 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
Mi Pa, Pamhnam jah Bawipa Jesuh Khritawa veia ka bäkhäknak ja dimdeihnak nami khana ve se.
4 Ninamshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu kwa sababu ya neema yake mliyopewa katika Kristo Yesu.
Khritaw Jesuh üngkhyüh Pamhnama bäkhäknak aning jah peta phäha Pamhnama veia aläa jenak ka mthehki.
5 Kwa kuwa katika Kristo mmetajirishwa kwa kila hali, katika kusema kwenu na katika maarifa yenu yote,
Khritaw üng yümmat lü ngthu pyennak jah ksingnak üng, amät üng bawimang u lü, nami vea phäha kyaki.
6 kwa sababu ushuhuda wetu kumhusu Kristo ulithibitishwa ndani yenu.
Acukba Khritaw a ngthu ka ning jah ksingsak nangmi üng khäng lü veki cän ni;
7 Kwa hiyo hamkupungukiwa na karama yoyote ya kiroho wakati mnangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
A dawkyanak yah lü, mi Bawipa Jesuh Khritawa a ngdannak law vai k'äihei ua.
8 Atawafanya imara mpaka mwisho, ili msiwe na hatia siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Mi Bawipa Jesuh Khritaw a Khaw mhnüp a pha law üng, apäihnak veia ning jah khängsak lü nami mkhye am ve.
9 Mungu ambaye mmeitwa naye ili mwe na ushirika na Mwanawe Yesu Kristo, Bwana wetu ni mwaminifu.
Mi Bawipa kyakia, a Capa Jesuh Khritaw am yümat khaia jah khüikia Pamhnam cun ümnak vai ni.
10 Nawasihi ndugu zangu, katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi, ili pasiwepo na matengano katikati yenu na kwamba mwe na umoja kikamilifu katika nia na katika kusudi.
Ka püie aw, mi Bawipa Jesuh Khritawa ana sumei lü avan ning jah nghüinak ta nami pyen üng ä ti yüm lü nami ksunga ngtainak am ve. Cungaihnak ja ti tängnak üng yüm mat ua.
11 Ndugu zangu, nimepata habari kutoka kwa baadhi ya watu wa nyumbani mwa Kloe kwamba kuna magomvi katikati yenu.
Ka püie aw, nami ngcungkaih veki tia mawng cun Kalokuha khui im kyawng lawng naw na mthehkie ni.
12 Maana yangu ni kwamba: Mmoja wenu husema, “Mimi ni wa Paulo”; mwingine, “Mimi ni wa Apolo”; mwingine, “Mimi ni wa Kefa,” na mwingine, “Mimi ni wa Kristo.”
Ahinni ka pyen cun, khyang naküt naw, “Kei Pawluha hnu kläk ni” “Kei Apawluha hnu kläk ni” “Kei Kiphaha hnu kläk ni” “Kei Khritawa hnu kläk ni” nami tiki.
13 Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye alisulubishwa kwa ajili yenu? Je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
Khritaw cun ngkhawipaki aw? Pawluh nami phäha kutlamktung üng thiki aw? Am ani üng, Pawluha ngming am baptican nami ngkhamki aw?
14 Nashukuru kwamba sikumbatiza mtu yeyote isipokuwa Krispo na Gayo.
Pamhnam je na veng isetiakyaküng Kripuh ja Kajas däk ni baptican ka jah pet, nangmi üng u pi baptican am pe veng.
15 Kwa hiyo hakuna mtu yeyote anayeweza kusema kwamba alibatizwa kwa jina langu.
Am aniüng, khyang naw, keia ngming am baptican nami ngkhamkia ngai khaie ni.
16 (Naam, niliwabatiza pia watu wa nyumbani mwa Stefana. Lakini zaidi ya hao sijui kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
Stephena kyawnglawng ta baptican ka jah ngkhamsakki; acuna thea khyang kce baptican ka ja khamsak u am ksing veng.
17 Kwa maana Kristo hakunituma ili kubatiza bali kuhubiri Injili; sio kwa maneno ya hekima ya kibinadamu, ili msalaba wa Kristo usije ukakosa nguvu yake.
Khritaw naw baptican ka jah khamsak khaia am na tüih law. Thangkdaw pyen üng ksingkhyapnak am sumei hin Khritawa kutlamtunga johit käh a khyüh vaia ni.
18 Kwa maana ujumbe wa msalaba kwa wale wanaopotea ni upuzi, lakini kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
Kutlamtunga mawng cun khyükie phäha ta amdang ni; mimi küikyannak yakiea phäha ta Pamhnama khyaihnak ni.
19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima, na kubatilisha akili ya wenye akili.”
“Khyang kthema ksingkhyapnak mkhyüh lü, ksinghmatnak pi ka kpyak khai” tia cangcim naw pyenki.
20 Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu? (aiōn )
Khyang kthem cun hawa ni? Thum ksingki cun hawa ni? Hina khawmdek khana ngcungkaih khyaihki cun hawa ni? Pamhnam naw khawmdeka kthemnak cun angnak ni tia, mdan pängki ni. (aiōn )
21 Kwa kuwa katika hekima ya Mungu, ulimwengu kwa hekima yake haukumjua yeye, ilimpendeza Mungu kuwaokoa wale walioamini kwa upuzi wa lile neno lililohubiriwa.
Khawmdek khyanga ksingnak üng Pamhnam cun ksing lü am ng’yah. Ak’anga ngthukhyü ami ti cun pyen lü jum ti cun Pamhnam naw küikyan ve.
22 Wayahudi wanadai ishara za miujiza na Wayunani wanatafuta hekima.
Judahe naw, müncannak kthäh u lü Krike naw kthemnak suikie,
23 Lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa: yeye kwa Wayahudi ni kikwazo na kwa Wayunani ni upuzi.
keimie naw ta Khritaw kutlamtung üng taiha mawng kami pyenki, acun cun Judahea phäha kyukngtängnak kya lü, Khyangmjü kceea phäha angnaka kyaki.
24 Lakini kwa wale ambao Mungu amewaita, Wayahudi na pia Wayunani, Kristo ndiye nguvu ya Mungu na pia hekima ya Mungu.
Acunsepi, Judahea pi kyase, Krikea pi kyase, Pamhnama khüea phäha ta Khritawa ngthu cun Pamhnama khyaihnak ja Pamhnama ksingnaka kyaki ni.
25 Kwa maana upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya wanadamu.
Pamhnama angnak cun nghngicima ksingnaka kthaka kyäp bawki, Pamhnama am kyannak mäi cän pi nghngicima kyannaka kthaka kyäp bawki ni.
26 Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi wenu mliokuwa na hekima. Si wengi mliokuwa na ushawishi, si wengi mliozaliwa katika jamaa zenye vyeo.
Ka püie aw, a ning jah khünak cän ngai süm ua, pumsa lama khyang kthem khawhah, khyang kyan khawhah, khyang kdaw khawhah am jah khü ve.
27 Lakini Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye hekima, Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye nguvu.
Acunsepi, Pamhnam naw khyang ktheme a jah hmaisetsak vaia, khawmdek üng angkie jah khüki, ktha mahkie a jah hmaisetsak vaia, khawmdek üng ktha ngcekie ja khüki.
28 Alivichagua vitu vya chini na vinavyodharauliwa vya dunia hii, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko,
Acunüng, kyäpkie ia am ngtäh khaiea khawmdek üng aksee jah hmuhmsitkie, am ngtähkie Pamhnam naw jah khüki.
29 ili mtu yeyote asijisifu mbele zake.
Acunakyase, Pamhnama hmaia u am awcah thei.
30 Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanyika kwetu hekima itokayo kwa Mungu, yaani haki, na utakatifu na ukombozi.
Nangmi ta, amäta phäha, Khritaw Jesuh üng nami vekie ni, pamhnam naw Khritaw cun mi hama themnaka a pawh ni, ani am mimi cun Pamhnam üng ngsungpyunkia a jah pawh, acuna phäh Pamhnama khyang ngcima mi kya lü mi lätki.
31 Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.”
Acunakyase, “Awhcahki naküt naw Bawipa awhcah na se” Cangcim naw tiki.