< 1 Wakorintho 9 >
1 Je, mimi si huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi sikumwona Yesu, Bwana wetu? Je, ninyi si matunda ya kazi yangu katika Bwana?
Nene si huru? Nene si mtume? Nene nsmbwene lepi Yesu Bwana watete? muenga si matunda gha mbombo ya nene katika Bwana?
2 Hata kama mimi si mtume kwa wengine, hakika mimi ni mtume kwenu, kwa maana ninyi ni mhuri wa utume wangu katika Bwana.
Ikiwa nene si mtume kwa bhangi angalau ni mtume kwa yhomo muenga. Kwa maana muenga ni uthibitisho wa utume wanene katika Bwana.
3 Huu ndio utetezi wangu kwa hao wanaokaa kunihukumu.
Obho ndio utetezi wanene kwa bhala bhakanichunguza nene.
4 Je, hatuna haki ya kula na kunywa?
Je tuyelepi ni haki ya kulya ni kunywa?
5 Je, hatuna haki ya kusafiri na mke anayeamini, kama wanavyofanya mitume wengine na ndugu zake Bwana na Kefa?
Tuyelepi ni haki kutola ndala ya amini kama yakibhikheta mitume bhangi, ni bhalongo bha Bwana, ni Kefa?
6 Au ni mimi na Barnaba tu inatubidi kufanya kazi ili tuweze kupata mahitaji yetu?
Au ni nene namwene ni Barnaba ambavo twipasibhwa kufuanya mbombo?
7 Ni askari yupi aendaye vitani kwa gharama zake mwenyewe? Ni nani apandaye shamba la mizabibu na asile matunda yake? Ni nani achungaye kundi na asipate maziwa yake.
Niani yaifuanya ya muene? Ni niani yaipanda mzabibu na akolokulya matunda ghaki? Au ni niani yaichunga likundi yaibela kunywa maziwa ghaki?
8 Je, nasema mambo haya katika mtazamo wa kibinadamu tu? Je, sheria haisemi vivyo hivyo?
Je nijobha agha kwa mamlaka gha kibinadamu? Sheria ni yhene yijobha hee naha?
9 Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Mose: “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka.” Je, Mungu hapa anahusika na ngʼombe?
Kwa ndabha iyandikibhu katika sheria ya Musa, “Kolokuikhonga ng'ombi kinywa payilya nafaka.” Ni ukueli kwamba apa K'yara ijali ng'ombi?
10 Je, Mungu hasemi haya hasa kwa ajili yetu? Hakika yameandikwa kwa ajili yetu, kwa sababu mtu anapolima na mpuraji akapura nafaka, wote wanapaswa kufanya hivyo wakiwa na tumaini la kushiriki mavuno.
Au je ijobhalepi kwa ajili ya tete? ujandikibhu kwa ajili ya tete, kwa ndabha yhola yailheme nafaka yikampasa kulhema kwa matumaini, ni muene yaifuna yikampasa afunai kwa matarajio gha kushiriki mu mavuno.
11 Je, ikiwa sisi tulipanda mbegu ya kiroho miongoni mwenu, itakuwa ni jambo kubwa iwapo tutavuna vitu vya mwili kutoka kwenu?
Ikiwa twapandili fhenu fya rohoni miongoni mwayhomo, Je! Ni lisu libhaha kwa tete tukavunai fhenu fya mumbhele kuhoma kwa yhomho?
12 Kama wengine wana haki ya kupata msaada kutoka kwenu, isingepasa tuwe na haki hiyo hata zaidi? Lakini sisi hatukutumia haki hii. Kinyume chake, tunavumilia kila kitu ili tusije tukazuia Injili ya Kristo.
Ikiwa bhangi bhakakabhili haki eye kuhoma kwa muenga, Je! tete si zaidi? Hata naha, tukadai hee haki eye. Badala yiaki, twavumilili mambo ghoa badala ya kuya kikwazo kya injili ya Kristu.
13 Je, hamjui kwamba, watu wafanyao kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka hekaluni, nao wale wahudumiao madhabahuni hushiriki kile kitolewacho madhabahuni?
Mumanyili lepi ya kuwa bhoa bhabhifuanya mbombo hekaluni? bhikabha kyakulya kya bhene kuhoma hekaluni? Mumanyili lepi ya kuwa bhoa bhabhitenda mbombo madhabahuni bhikabha sehemu ya khela kakitolibhu madhabahuni?
14 Vivyo hivyo, Bwana ameamuru kwamba wale wanaohubiri Injili wapate riziki yao kutokana na Injili.
Kwa jinsi eyu eyu, Bwana alaghisi ya kuwa bhoa bhoa bhabhikaitangasya injili sheriti bhakabhai kuishikutokana ni eyu injili.
15 Lakini sijatumia hata mojawapo ya haki hizi. Nami siandiki haya nikitumaini kwamba mtanifanyia mambo hayo. Heri nife kuliko mtu yeyote kuninyima huku kujisifu kwangu.
Lakini nikabhadai haki sioa esu. Na niyandika hee agha ilii jambo lilyoha lhela lifuanyikai kwa ajili ya nene. Ni heri nene nifwai kuliko munu yuywoha kubatilisya khoni kujisifu kwa nene.
16 Lakini ninapohubiri Injili siwezi kujisifu maana ninalazimika kuhubiri. Ole wangu nisipoihubiri Injili!
Maana ikiwa nihubiri injili, niyelepi ni sababu ni lazima nifuanya naha, ni ole wangu nikabelai kuhubiri injili!
17 Nikihubiri kwa hiari, ninayo thawabu. Lakini kama si kwa hiari, basi ninachofanya ni kutekeleza tu uwakili niliowekewa.
Kwa maana nikafuanyai naha kwa hiari ya nene, nuja ni thawabu. Lakini ikiwa si kwa hiari, nakhona nujele ni jukumu lanipelibhu kuya wakili.
18 Basi je, thawabu yangu ni nini? Thawabu yangu ni hii: Ya kwamba katika kuhubiri Injili niitoe bila gharama, bila kutumia kwa utimilifu uwezo wangu nilio nao katika Injili.
Basi thawabu yanene kiki? ya kuwa panihubiri, nilola kuipisya injili pasipo gharama ni bila kutumila kwa utimilifu wa haki ya nene yaniyenayu mu injili.
19 Ingawa mimi ni huru, wala si mtumwa wa mtu yeyote, nimejifanya kuwa mtumwa wa kila mtu, ili niweze kuwavuta wengi kadri iwezekanavyo.
Maana japo niyele huru kwa bhoa, nafuanyiki mtumwa wa bhoa, ili kwamba nibhuesyai kubha kabha bhingi zaidi.
20 Kwa Wayahudi, nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi. Kwa watu wale walio chini ya sheria, nilikuwa kama aliye chini ya sheria (ingawa mimi siko chini ya sheria), ili niweze kuwapata wale walio chini ya sheria.
Kwa bhayahudi wayele kama myahudi ili nikabhakabhai bhayahudi kwa bhala bhabhayele chini ya sheria nayele kama mmonga wa bhene yayele chini ya sheria ili nibhakabhai bhala bhabhayele chini ya sheria. Nafuanyili naha ingawa nene binafsi nayelepi chini ya sheria.
21 Kwa watu wasio na sheria nilikuwa kama asiye na sheria (ingawa siko huru mbali na sheria ya Mungu, bali niko chini ya sheria ya Kristo), ili niweze kuwapata wale wasio na sheria.
Kwa bhala bhabhayele nje ya sheria, nayele kama mmonga wa bhene nje ya sheria, ingawa nene binafsi nayelepi nje ya sheria ya K'yara, bali chini ya sheria ya Kristu. Nafuanyili naha ili nibhakabhai bhala bhabhayele nje ya sheria.
22 Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niweze kuwapata walio dhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu wote ili kwa njia yoyote niweze kuwaokoa baadhi yao.
Kwa bhayele bhanyonge, ili nayele mnyonge ili nibhakabhai bhabhayele bhanyonge. Niyele hali sioa kwa bhanu bhoa ili kwa njela syoa nikabhai kubhaokola baadhi.
23 Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, ili nipate kushiriki baraka zake.
Ninene nifuanya mambo ghoa kwa ajili ya injili, ili nikabhai kushiriki katika baraka.
24 Je, hamjui kwamba katika mashindano ya mbio wote wanaoshindana hukimbia, lakini ni mmoja wao tu apewaye tuzo? Kwa hiyo kimbieni katika mashindano kwa jinsi ambavyo mtapata tuzo.
Mumanyili lepi ya kuwa mu mbio bhoa bhabhishindana bhipinga mbio, lakini yaipokela tuzo ni mmonga? Henu mkembhelai mbio ili mkabhai tuzo.
25 Kila mmoja anayeshiriki katika mashindano hufanya mazoezi makali. Wao hufanya hivyo ili wapokee taji isiyodumu, lakini sisi tunafanya hivyo ili kupata taji idumuyo milele.
Mwana michezo kajizuila mu ghoa pauja mu mafunzo. Abhu bhifuanya naha ili bhapokelai taji yaiharibika, lakini tete twivembhela hela ili tukabhaa taji yaibela kuharibika.
26 Kwa hiyo mimi sikimbii kama mtu akimbiaye bila lengo, sipigani kama mtu anayepiga hewa,
Henu nene nikhembhela lepi bila sababu au ni kukomana numi kama kutobha mpongho.
27 la, bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha ili nikiisha kuwahubiria wengine, mimi nisiwe mtu wa kukataliwa.
Lakini ikautesya mbhele wa nne ni kuufuanya kama mtumwa, ili kwamba nijapokwisha kubhahubiri bhangi, nene na muene ni kholho kuya wa kubelekilibhwa.