< 1 Wakorintho 7 >

1 Basi kuhusu mambo yale mliyoyaandika: Ni vyema mwanaume asimguse mwanamke.
Kuhusu mambo ghamnyandikili: Kuyele wakati ambapu ni kinofu ngosi akolokugona ni ndala munu.
2 Lakini ili kuepuka zinaa, kila mwanaume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
Lakini kwa ndabha ya majaribu mingi gha zinaa khila ngosi ayelai ni ndala wa muene, na khila ndala ayelai ni ngosi munu.
3 Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, naye vivyo hivyo mke kwa mumewe.
Ngosi ipasika kumpela ndala haki ya muene ya ndobho, ni khela khela ndala ni muene kwa ngosi munu.
4 Mwanamke hana mamlaka juu ya mwili wake bali mumewe, wala mume hana mamlaka juu ya mwili wake bali mkewe.
Si ndala yayele ni mamlaka juu ya mbhelhe wa muene, ni ngosi. Khela khela, ngosi ni muene ayelepi ni mamlaka juu ya mbhele wa muene, bali ndala ayenaku.
5 Msinyimane, isipokuwa mmekubaliana kufanya hivyo kwa muda fulani ili mweze kujitoa kwa maombi, kisha mrudiane tena ili Shetani asije akapata nafasi ya kuwajaribu kwa sababu ya kutokuwa na kiasi.
Mkolokuyimana pamwigona pamonga, isipokwa mkubalianaa kwa muda maalum. Mketai naha ili kukabha muda wa maombi. Kisha mwibhuesya kukhelhebhukilana kabhele pamonga, ili kwamba Shetani akolokuhida kubhajaribu kwa kukosa kiasi.
6 Nasema haya kama ushauri na si amri.
Lakini nijobha agha mambo kwa hiari na si kama amri.
7 Laiti watu wangekuwa kama mimi nilivyo. Lakini kila mtu amepewa kipawa chake kutoka kwa Mungu, mmoja ana kipawa cha namna hii na mwingine ana cha namna ile.
Nitamani kila mmonga ngayele kama nene kaniyele. Lakini khila mmonga ayele ni karama ya muene kuhoma kwa K'yara. Oyo ayele ni karama eye, ni yhola karama yhela.
8 Kwa wale wasiooa na kwa wajane, nasema hivi, ingekuwa vizuri wasioe.
Kwa bhabelili kugegekibhwa ni bhajane niobha kwamba, ni kinofu kwa bhene kama bhabakili bila kugegekibhwa, kama kaniyele nene.
9 Lakini kama hawawezi kujizuia, basi waoe na kuolewa, kwa maana ni afadhali kuoa au kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
Lakini kama mwibhuesyalepi kwizuila, bhipasibhwa kugegekibhwa kwa ndabha heri kwa bhene kugegekibhwa kuliko kuyaka tamaa.
10 Kwa wale waliooana nawapa amri (si mimi ila ni Bwana): Mke asitengane na mumewe.
henu kwa bhala bhabhagegekibhu nikabhaphela amri, nelepi bali ni Bwana. “Ndala akolokutengana ni ngosi munu.”
11 Lakini akitengana, ni lazima akae bila kuolewa, ama sivyo apatane tena na mumewe. Wala mume asimpe mkewe talaka.
Lakini kama kajitenga kuhoma kwa ngosi munu, abakilai mewa bila kugegekibhwa au vinginevyo apatanai ni ngosi munu. Ni “Ngosi akolokumphela talaka ndala munu.”
12 Lakini kwa wengine nasema (si Bwana ila ni mimi): Kama ndugu ana mke asiyeamini, naye huyo mke anakubali kuishi pamoja naye, basi asimwache.
Lakini bhakili, nijobha - nene, si Bwana -kwamba kama ndongo yeywoha yhola ayele ni ndala yaiaminilepi na iridhika kuishi ni muene, ipasibhwa lepi kundeka.
13 Naye mwanamke aaminiye kama ameolewa na mwanaume asiyeamini na huyo mume anakubali kuishi naye, basi huyo mwanamke asimwache.
Kama ndala ayele ni ngosi yakamwamini lepi natiai iridhika kuishi ni muene, akolokundeka.
14 Kwa maana huyo mume asiyeamini anatakaswa kupitia mkewe, naye mke asiyeamini anatakaswa kupitia mumewe anayeamini. Kama isingalikuwa hivyo watoto wenu wangalikuwa si safi, lakini ilivyo sasa wao ni watakatifu.
Kwa ngosi yabelili kuamini itasika kwa ndabha ya imani ya ndala munu. Ni ndala yabelili kuamini itakasika kwa ndabha ya ngosi munu yaiamini. Viginevyo Bwana bhuinyu ngabhayelepi safi, lakini kwa kueli bhatakasiki.
15 Lakini kama yule asiyeamini akijitenga, basi afanye hivyo. Katika hali kama hiyo mwanamke au mwanaume aaminiye hafungwi, kwa sababu Mungu ametuita tuishi kwa amani.
Lakini mwenzi yaiaminilepi kabhokai na alotai. Kwa namna eyu, mhaja au ndhombho bhifungibhwalepi ni fiapo fya bhene. K'yara atukutili kwa amani.
16 Wewe mke, unajuaje kama utamwokoa mumeo? Au wewe mume unajuaje kama utamwokoa mkeo?
Wimanyala bhuli kama ndala, huenda ilota kumwokola ngosibhu? Au wimanya bhuli kama ngosi, huenda ilotakumwola ndalabhu?
17 Lakini kila mtu na aishi maisha aliyopangiwa na Bwana, yale Mungu aliyomwitia. Hii ni sheria ninayoiweka kwa makanisa yote.
Khila mmonga tu aishi maisha kama Bwana akibhagabhili, khila mmonga kama K'yara akibhakutili bhene. Obho ni mwongozo wa nene kwa makanisa ghoha.
18 Je, mtu alikuwa tayari ametahiriwa alipoitwa? Asijifanye asiyetahiriwa. Je, mtu alikuwa hajatahiriwa alipoitwa? Asitahiriwe.
Ayele yataharibhu pakutibhu kuamini? Akolokujaribu kubhoka alama ya tohara ya muene.
19 Kutahiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu. Lakini kuzitii amri za Mungu ndilo jambo muhimu.
Ayele yeywoha yhola yakutibhu mu imani ataharibhulepi wala yabelili kutahiribhwa kuyelepi matatizo. Kakujele ni matatizo ni kutii amri sa K'yara.
20 Basi kila mmoja wenu na abaki katika hali aliyoitwa nayo.
Khila mmonga abakilai mu wito kayele pakutibhu ni K'yara kuamini.
21 Je, wewe ulipoitwa ulikuwa mtumwa? Jambo hilo lisikusumbue. Ingawaje unaweza kupata uhuru, tumia nafasi uliyo nayo sasa kuliko wakati mwingine wowote.
Wayele mtumwa wakati K'yara pakukutili? Ukolokujali kuhusu eyu. Lakini kama wibhuesya kuya huru, fuanyai naha.
22 Kwa maana yeyote aliyeitwa katika Bwana akiwa mtumwa yeye ni mtu huru kwa Bwana, kama vile yeyote aliyekuwa huru alipoitwa yeye ni mtumwa wa Kristo.
Kwa mmonga yaikutibhwa ni Bwana kama mtumwa ni munu huru mu Bwana. Kama khela, yayele huru pakutibhu kuamini ni mtumwa wa Kristu.
23 Mlinunuliwa kwa gharama; msiwe watumwa wa wanadamu.
Mmali kugholibhwa kwa thamani, henu mkolokuya bhatumwa bhanadamu.
24 Ndugu zangu, kama kila mtu alivyoitwa, akae katika wito wake alioitiwa na Mungu.
Mhaja ni ndhombho bhangu, mu maisha ghoghoha khila mmonga watete twakutibhwai kuamini, tubakilai khela.
25 Basi, kuhusu wale walio bikira, mimi sina amri kutoka kwa Bwana, lakini mimi natoa shauri kama mtu ambaye ni mwaminifu kwa rehema za Bwana.
Henu, bhala bhoa ambabho bhabhabelili kugega kamwe, nujihe ni amri kuhoma kwa Bwana. Lakini nikabhaphela maoni ghangu kama nikiyele kwa huruma sa Bwana, sasiaminika
26 Kwa sababu ya shida iliyoko kwa sasa, naona ni vyema mkibaki kama mlivyo.
Henu nifikirila naha kwa ndabha ya usumbufu, ni kinofu ngosi abakilai kama kayele.
27 Je, umeolewa? Basi usitake talaka. Je, hujaoa? Usitafute mke.
Ufungibhu kwa ndala ni kiapo kya ndobho? Kolokulonda uhuru kuhoma henu. Uyele huru kuhoma kwa ndala au ugegekibhu lepi? Ukolokulonda ndala.
28 Lakini kama ukioa, hujatenda dhambi; na kama bikira akiolewa, hajatenda dhambi. Lakini wale wanaooa watakabiliana na matatizo mengi katika maisha haya, nami nataka kuwazuilia hayo.
Lakini kama ugegeli ufanyili lepi dhambi Na kama ndala agegekibhu lepi agegekibhu, afanyililepi hambi. Bado bhala bhigegana bhikabha masumbufu gha aina mbalimbali. Ninene nilonda nibhaepusyai aghu.
29 Lakini ndugu zangu, nina maana kwamba muda uliobaki ni mfupi. Tangu sasa wale waliooa waishi kama wasio na wake;
Lakini nikabhabhoka naha, mhaja ni ndhombho bhangu mudani ufupi. Tangu henu ni kuyendelela, bhla bhabhayele ni bhadala bhaishyai kama bhayehenabhu.
30 nao wanaoomboleza, kama ambao hawaombolezi; wenye furaha kama wasiokuwa nayo; wale wanaonunua, kama vile vitu walivyonunua si mali yao;
Bhoa bhabhayele ni huzuni bhakifuanyai kama bhayele bhayelepi ni huzuni, ni bhoa bhabhinuna khenu kyokyokhela, kama bhamiliki hee kyokyokhela.
31 nao wale wanaoshughulika na vitu vya dunia hii, kama ambao hawahusiki navyo. Kwa maana dunia hii kama tunavyoiona sasa inapita.
Na bhoa bhabhishughulika ni ulimwengu, bhayelai kama bhashughuliki lepi nabhu. Kwa ndabha mitindo ya dunia yifikira muishu bhwaki.
32 Ningetaka msiwe na masumbufu. Mwanaume ambaye hajaoa anajishughulisha na mambo ya Bwana, jinsi ya kumpendeza Bwana.
Nilonda muyelai huru kwa masumbufu ghoa, ngosi yabelili kugega akajihusisha ni henu fafikamhusu Bwana, namna ya kumpendesya muene.
33 Lakini mwanaume aliyeoa anajishughulisha na mambo ya dunia, jinsi ya kumfurahisha mkewe,
Lakini ngosi yagegili kajihusisha ni mambo gha dunia, namna ya kumpendesya mdalamunu,
34 na mawazo yake yamegawanyika. Mwanamke asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana: lengo lake ni awe mtakatifu kimwili na kiroho. Lakini yule aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia, jinsi atakavyoweza kumfurahisha mumewe.
agawanyiki ndala yabelili kugegekibhwa au bikira kajihusisha ni fhenu kuhusu Bwana, namna ya kujitenga katika mbhelhe ni mu roho. Lakini ndala yagegekibhu kajihusisha ni fhenu dunia, namna ya kumfurahisya ngosi munu.
35 Ninasema haya kwa faida yenu wenyewe, sio ili kuwawekea vizuizi bali mpate kuishi kwa jinsi ilivyo vyema bila kuvutwa pengine katika kujitoa kwenu kwa Bwana.
Nijobha naha kwa faia ya yhomo mwayhomo, na mbhekalepi nteghu kwayhomo. Nijobha naha kwa khela ni haki, ili kwamba mwibhuesya kwibheka wakfu kwa Bwana bila kikwazo kyokyokhela.
36 Kama mtu yeyote anadhani kwamba hamtendei ilivyo sawa mwanamwali ambaye amemposa, naye akiwa umri wake unazidi kuendelea na mtu huyo anajisikia kwamba inampasa kuoa, afanye kama atakavyo. Yeye hatendi dhambi. Yawapasa waoane.
Lakini kama munu ifikirila ibhuesyalepi kuntendela kwa heshima mwana wali bha muene, kwa ndabha ya hisia sa muene sejele ni nghofho sana, lekai ageganai ni muene kama kaganili. Siyo dhambi.
37 Lakini mwanaume ambaye ameamua moyoni mwake kutooa bila kulazimishwa na mtu yeyote, bali anaweza kuzitawala tamaa zake kutomwoa huyo mwanamwali, basi anafanya ipasavyo.
Lakini kama afuanyili maamuzi ghakutokugega, na kuyelepi haja ya lazima, na kama ibhuesya kutawala hamu ya muene ilokufuanya kinofu kama agegilepi.
38 Hivyo basi, mwanaume amwoaye mwanamwali afanya vyema, lakini yeye asiyemwoa afanya vyema zaidi.
Henu, ambayi akangega mwanamwali wa muene ifuanya kinofu, na yeywoha yhola ambayi ichagula kutokugega ilokufuanya kinofu zaidi.
39 Mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria maadamu mumewe yu hai. Lakini mumewe akifa, basi mwanamke huyo yuko huru kuolewa na mume mwingine ampendaye, lakini lazima awe katika Bwana.
Ndala afungibhu ni ngosi munu wakati ayele hai. Lakini kama ndala kafwai, ayele huru kugegekibhwa ni yuywoha yhola yaaganili, lakini katika Bwana tu.
40 Lakini kwa maoni yangu, angekuwa na furaha zaidi akibaki alivyo. Nami nadhani pia nina Roho wa Mungu.
Nakhona mu maamuzi ghayhoni ilotakuya ni furaha zaidi kama kaiishi kayele. Na nifikirila kuya ninene kabhele niyele ni Roho wa K'yara.

< 1 Wakorintho 7 >