< 1 Wakorintho 7 >
1 Basi kuhusu mambo yale mliyoyaandika: Ni vyema mwanaume asimguse mwanamke.
Atuh nami yuka mawng üng sängki ka pyen khai. Kpami cun am a khyumah pi kdaw khai ni.
2 Lakini ili kuepuka zinaa, kila mwanaume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
Isetiakyaküng hüipawmnak vekia kyase kpami naküt khyu mah lü, nghnumi naküt pi cei mah kawm.
3 Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, naye vivyo hivyo mke kwa mumewe.
Kpami naw pi kpamia bilawh vai bilo lü, nghnumi naw pi a bilawh vai bilo se, ngkhyungla xawi naw mat ja mata hlükaw cun kbe ni se.
4 Mwanamke hana mamlaka juu ya mwili wake bali mumewe, wala mume hana mamlaka juu ya mwili wake bali mkewe.
Nghnumi naw amäta pumsa am ka na, acunsepi a ceia phäha kyaki ni; acuna mäiha, kpami naw pi amäta pumsa am ka na, a khyua phäha kyaki.
5 Msinyimane, isipokuwa mmekubaliana kufanya hivyo kwa muda fulani ili mweze kujitoa kwa maombi, kisha mrudiane tena ili Shetani asije akapata nafasi ya kuwajaribu kwa sababu ya kutokuwa na kiasi.
Atänga nami ktaiyünak vaia phäha mat jah mat käh ma lü nami ve khawia kba ve ni a. Acukba nami ve ta Khawyama hlawhlepnak üng nami ngxungei thei khai.
6 Nasema haya kama ushauri na si amri.
Hin ka ning jah mtheh hin ngthupeta kba ka ning jah mtheha am kya, nami pawh vaia ka ning jah mtheh ni.
7 Laiti watu wangekuwa kama mimi nilivyo. Lakini kila mtu amepewa kipawa chake kutoka kwa Mungu, mmoja ana kipawa cha namna hii na mwingine ana cha namna ile.
Nangmi akcanga keia akba nami ve vai ka tängki. Acunsepi, khyang naküt üng Pamhnama pet am täng, mat ja mat ta yah am täng, mat naw akce ta lü mat naw akce taki.
8 Kwa wale wasiooa na kwa wajane, nasema hivi, ingekuwa vizuri wasioe.
Tukbäih am ceimahkie ja hmeinuea veia ka pyen hlü ta, keia kba nami ve khawh ta daw bawk khai ni.
9 Lakini kama hawawezi kujizuia, basi waoe na kuolewa, kwa maana ni afadhali kuoa au kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
Acunsepi, nami hlüeinak am nami üp thei ta khyungla ua; isetiakyaküng, mlunga khuikha kthaka ta khyumah hin daw säihki ni.
10 Kwa wale waliooana nawapa amri (si mimi ila ni Bwana): Mke asitengane na mumewe.
Ngkhyungla pängkiea veia ngthu jah pet hin ka mät naw ka jah pet am ni, Bawipa jah peta kyaki: Nghnumi naw a cei käh hawih lü;
11 Lakini akitengana, ni lazima akae bila kuolewa, ama sivyo apatane tena na mumewe. Wala mume asimpe mkewe talaka.
a hawih üng käh ceimah be kawm, am ani üng a cei ng’yäpüi be se, a cei naw pi käh ngtaipüi kawm.
12 Lakini kwa wengine nasema (si Bwana ila ni mimi): Kama ndugu ana mke asiyeamini, naye huyo mke anakubali kuishi pamoja naye, basi asimwache.
Khyang kcee veia kamäta pyen ta (Bawipa pyen am ni), jumeiki mat naw am jumeiki nghnumi a khyunak üng acun naw ve yüm khai xawia a bü üng käh hawih kawm.
13 Naye mwanamke aaminiye kama ameolewa na mwanaume asiyeamini na huyo mume anakubali kuishi naye, basi huyo mwanamke asimwache.
Acunüng, nghnumi naw am jumeiki a ceinak üng, a cei naw a hlawnga a ve vaia ngaih üng käh yawk kawm.
14 Kwa maana huyo mume asiyeamini anatakaswa kupitia mkewe, naye mke asiyeamini anatakaswa kupitia mumewe anayeamini. Kama isingalikuwa hivyo watoto wenu wangalikuwa si safi, lakini ilivyo sasa wao ni watakatifu.
Am jumeikia kpami cun a khyua phäha ngcimcaih lü, am jumeikia nghnumi pi a ceia phäha ngcimcaihki ni; acukba am ni vai sü ta nami cae am ngcim khaie sü; acunsepi ngcimki he ni.
15 Lakini kama yule asiyeamini akijitenga, basi afanye hivyo. Katika hali kama hiyo mwanamke au mwanaume aaminiye hafungwi, kwa sababu Mungu ametuita tuishi kwa amani.
Nilüpi, am jumeiki naw Khritjan a püi a ngkya hlüpüi üng ngkyapüi kawm. Acubang üngta Khritjan kpami ja nghnumi cun ami ngaih sima kya khai. Pamhnam naw ngkhawtnak üng nami xüngsei khai a ning jah khü ni.
16 Wewe mke, unajuaje kama utamwokoa mumeo? Au wewe mume unajuaje kama utamwokoa mkeo?
Khritjan nghnumi aw, ihawkba na cei am na küikyan thei vai na ksingki ni? Khritjan kpami aw, ihawkba na khyu am na küikyan thei khai na ksingki ni?
17 Lakini kila mtu na aishi maisha aliyopangiwa na Bwana, yale Mungu aliyomwitia. Hii ni sheria ninayoiweka kwa makanisa yote.
Pamhnam naw a ning jah khü üng a ning jah peta kba xüngsei u lü ve ua. Acukba sangcime naküt ka jah mtheiki.
18 Je, mtu alikuwa tayari ametahiriwa alipoitwa? Asijifanye asiyetahiriwa. Je, mtu alikuwa hajatahiriwa alipoitwa? Asitahiriwe.
Khyang mat vun mawihnak kham pängki naw Pamhnama khünak a yah üng vun mawihnak cun käh mkhyüh se, vun am mawi hamki naw Pamhnama khünak a yah üng pi vun käh mawi hlü se.
19 Kutahiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu. Lakini kuzitii amri za Mungu ndilo jambo muhimu.
Khyanga vun mawih ja am mawih cun ia am kya, Pamhnama ngthupet naküt ngai ua.
20 Basi kila mmoja wenu na abaki katika hali aliyoitwa nayo.
Pamhnama khünak nami yah üng nami vea mäiha ve u.
21 Je, wewe ulipoitwa ulikuwa mtumwa? Jambo hilo lisikusumbue. Ingawaje unaweza kupata uhuru, tumia nafasi uliyo nayo sasa kuliko wakati mwingine wowote.
Mpyaa nami kyak ham üng Pamhnam naw a ning jah khü ni. Ia käh ngai ua; lätnak vai akyak üng sumei ua.
22 Kwa maana yeyote aliyeitwa katika Bwana akiwa mtumwa yeye ni mtu huru kwa Bwana, kama vile yeyote aliyekuwa huru alipoitwa yeye ni mtumwa wa Kristo.
Bawipa khüa mpya cun Bawipa mhläta khyanga kyaki; acukba bäa mpya am niki Khritaw naw a khü üng Khritawa mpya kyaki.
23 Mlinunuliwa kwa gharama; msiwe watumwa wa wanadamu.
A phu pe lü Pamhnam naw a ning jah khyäih ni; acunakyase khyanga mpyaa käh thawn be u.
24 Ndugu zangu, kama kila mtu alivyoitwa, akae katika wito wake alioitiwa na Mungu.
Ka püie, Pamhnam naw a ning jah khü üng nami ve khawia kba Pamhnam üng ngphunei ua.
25 Basi, kuhusu wale walio bikira, mimi sina amri kutoka kwa Bwana, lakini mimi natoa shauri kama mtu ambaye ni mwaminifu kwa rehema za Bwana.
Am khyumahkia mawng nami yuk lawnak üng, Bawipa ngthu peta am kya lü; Bawipa a mpyeneinak üng ümnak ngkäiha kyakia kyase, ka ngaih ka pyenki.
26 Kwa sababu ya shida iliyoko kwa sasa, naona ni vyema mkibaki kama mlivyo.
Acunakyase, atuh khuikhanaka phäha, kpami amät a ve khawia kba a ve vai hin daw khaia ngai veng.
27 Je, umeolewa? Basi usitake talaka. Je, hujaoa? Usitafute mke.
Na khyu veki aw? Acun kba akyak üng käh ksäta. Am na khyumahki aw? Acukba akyak üng na khyu vai käh suia.
28 Lakini kama ukioa, hujatenda dhambi; na kama bikira akiolewa, hajatenda dhambi. Lakini wale wanaooa watakabiliana na matatizo mengi katika maisha haya, nami nataka kuwazuilia hayo.
Acunsepi, na khyumah üng na mkhyekatki am ni, am ceimah hamki nghnumi a ceimah üng pi mkhyekatkia am kya. Acunsepi, ngkhyunglakie naw amhnüp tä se khuikhanak ta bawki he ni, acukba nami ve vai am täng ve.
29 Lakini ndugu zangu, nina maana kwamba muda uliobaki ni mfupi. Tangu sasa wale waliooa waishi kama wasio na wake;
Ka püie aw, ka pyen hlü cun akcün hin tawikia kyase, khyumahki pi, am khyumahkia kba ve kawm.
30 nao wanaoomboleza, kama ambao hawaombolezi; wenye furaha kama wasiokuwa nayo; wale wanaonunua, kama vile vitu walivyonunua si mali yao;
Kyapkie pi am kyapkiea mäiha ve u se. Jeki pi am jekia mäiha ve kawm. Khawhthem khyäihktuki naw pi ami khyäih am takiea kba ve u se.
31 nao wale wanaoshughulika na vitu vya dunia hii, kama ambao hawahusiki navyo. Kwa maana dunia hii kama tunavyoiona sasa inapita.
Hina khawmdek khawhthem summangeiki pi am summangeikia mäiha ve u se. Isetiakyaküng hina khawmdek cun ivei am law lü xük law khaia kyaki.
32 Ningetaka msiwe na masumbufu. Mwanaume ambaye hajaoa anajishughulisha na mambo ya Bwana, jinsi ya kumpendeza Bwana.
Cäicingnak üng nami lätlang vai hlüei veng. Am khyumahki naw Bawipa khut mcei lü a bi cun Bawipa jekyai hlüsak lü ni.
33 Lakini mwanaume aliyeoa anajishughulisha na mambo ya dunia, jinsi ya kumfurahisha mkewe,
Khyumahki naw a khyua jenak vai ngaih lü khawmdek lam cäi naki;
34 na mawazo yake yamegawanyika. Mwanamke asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana: lengo lake ni awe mtakatifu kimwili na kiroho. Lakini yule aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia, jinsi atakavyoweza kumfurahisha mumewe.
acunakyase lam nghngih üng veki. Am ceimahki ja ngla naw cun pumsa ja Ngmüimkhya üng Bawipa khut bi khaia ngcuapei lü, ceimahkia nghnumi cun a cei a jekyaisak vai ngaih lü khawmdek lam cungaiki.
35 Ninasema haya kwa faida yenu wenyewe, sio ili kuwawekea vizuizi bali mpate kuishi kwa jinsi ilivyo vyema bila kuvutwa pengine katika kujitoa kwenu kwa Bwana.
Ahin ka pyen cun, isetikyaküng, ka ning jah kuei hlüa phäh ni. Ka ning jah mkhyawhnak am ni. Akdaw bilo lü ia sungkhamnak am ve lü Bawipa khut binak üng nami mät nami cuap vaia ka pyen ni.
36 Kama mtu yeyote anadhani kwamba hamtendei ilivyo sawa mwanamwali ambaye amemposa, naye akiwa umri wake unazidi kuendelea na mtu huyo anajisikia kwamba inampasa kuoa, afanye kama atakavyo. Yeye hatendi dhambi. Yawapasa waoane.
Ngkhyungla khai xawia mkhyäp päng te am ngkhyungla khai xawia ti beki xawia mawngma üng: kpami naw akdawa am a vecawhpüi üng a ngaihnak am nängei üngta khyumah kawm. Kakawngki xawia am kya.
37 Lakini mwanaume ambaye ameamua moyoni mwake kutooa bila kulazimishwa na mtu yeyote, bali anaweza kuzitawala tamaa zake kutomwoa huyo mwanamwali, basi anafanya ipasavyo.
Acunsepi, kpami naw am khyumah khaia a mlung khängsak lü amäta ngainak näng khaia bü lü acuna ngla am a khyunak üng ia am kya. Dawki ni.
38 Hivyo basi, mwanaume amwoaye mwanamwali afanya vyema, lakini yeye asiyemwoa afanya vyema zaidi.
Acunakyase, khyumah hin dawki, cunsepi am khyumah hin daw bawki ni.
39 Mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria maadamu mumewe yu hai. Lakini mumewe akifa, basi mwanamke huyo yuko huru kuolewa na mume mwingine ampendaye, lakini lazima awe katika Bwana.
Ceimahkia nghnumi cun a ceia xüna k'um üngta a ceia phäha kyaki; acunsepi, a cei a thih käna a ngaiha khyang cei na khaia lätki ni. Acunsepi kpami a cei vai cun Bawipaa hnu kläka kya kawm.
40 Lakini kwa maoni yangu, angekuwa na furaha zaidi akibaki alivyo. Nami nadhani pia nina Roho wa Mungu.
Acunsepi, keia ngaiha ta, am ceimah lü amät a ve üng jekyai bawk khai. Ahin ta ka mäta ngaih ni. Pamhnama Ngmüimkhya ka takia ka ngaiki.