< 1 Wakorintho 7 >
1 Basi kuhusu mambo yale mliyoyaandika: Ni vyema mwanaume asimguse mwanamke.
Wali, dilia nama meloa dedei adole ba: i liligi amo na da adole imunu. Dunu e da uda mae lale goiwane esalumu da defea.
2 Lakini ili kuepuka zinaa, kila mwanaume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
Be wadela: i uda lasu hou da bagadewane dialebeba: le, dunu huluane da hina: udadafa amo lamu da defea amola uda huluane da hina: dunudafa ema fimu da defea.
3 Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, naye vivyo hivyo mke kwa mumewe.
Dunu huluane da dunu ea hou ea udama hamomu da defea amola uda da uda ea hou egoa ema hamomu da defea. Ela gilisili hahawane dogolegele fima: ne, enoma enoma mae hihini gilisimu da defea.
4 Mwanamke hana mamlaka juu ya mwili wake bali mumewe, wala mume hana mamlaka juu ya mwili wake bali mkewe.
Uda da hi da: i hodoma hina hame esala. Ea egoa da uda ea da: i hodo amoma hina esala. Amo defele, egoa da hi da: i hodoma hina hame esala. Ea uda da egoa ea da: i hodo amoma hina esala.
5 Msinyimane, isipokuwa mmekubaliana kufanya hivyo kwa muda fulani ili mweze kujitoa kwa maombi, kisha mrudiane tena ili Shetani asije akapata nafasi ya kuwajaribu kwa sababu ya kutokuwa na kiasi.
Dunu o ea uda gilisimusa: dawa: sea, defea, mae hihini gilisimu da defea. Be alia afafane sia: ne gadomusa: fonobahadi mae gilisili esalumusa: dawa: sea fawane, fonobahadi yolemu da defea. Be hedolowane bu gilisimu da defea. Alia da: i hodo amoma hina hou fisili amola Sa: ida: ne ea dafama: ne olelesu nabimu, amo hamosa: besa: le hedolowane dunu da ea udama bu gilisimu da defea.
6 Nasema haya kama ushauri na si amri.
Amo hou da gasa bagade hamoma: ne sia: i na da hame olelesa. Be dilia hahawane dogolegele esaloma: ne, na da olelesa.
7 Laiti watu wangekuwa kama mimi nilivyo. Lakini kila mtu amepewa kipawa chake kutoka kwa Mungu, mmoja ana kipawa cha namna hii na mwingine ana cha namna ile.
Dilia huluane na defele esalumu da defea, na da agoane dawa: sa. Be Gode da ninima gasa iasu liligi hisu hisu iaha
8 Kwa wale wasiooa na kwa wajane, nasema hivi, ingekuwa vizuri wasioe.
Be goi amola a: fini amola didalo ilima na da agoane sia: sa. Dilia da na defele dilisu udigili esalumu da defea.
9 Lakini kama hawawezi kujizuia, basi waoe na kuolewa, kwa maana ni afadhali kuoa au kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
Be dilia hanai da bagadewane heda: sea, defea, dunu da uda lamu defea amola uda da dunuma fimu da defea. Dilia udigili dunu o uda hanaiba: le, lalu agoane nemu da defea hameba: le, uda lamu da defea.
10 Kwa wale waliooana nawapa amri (si mimi ila ni Bwana): Mke asitengane na mumewe.
Udalai dunu amola dunuma fi uda, ilima na da na sia: hame be Hina Gode Yesu Gelesu Ea hamoma: ne sia: i olelesa. Uda da egoa yolemu da sema bagade.
11 Lakini akitengana, ni lazima akae bila kuolewa, ama sivyo apatane tena na mumewe. Wala mume asimpe mkewe talaka.
Be e da egoa yolesili, e da dunu enoma hamedafa fimu. Be fimusa: dawa: sea, e da egoadafa ema bu gousa: le fimu. Dunu amola da ea uda hame yolesimu.
12 Lakini kwa wengine nasema (si Bwana ila ni mimi): Kama ndugu ana mke asiyeamini, naye huyo mke anakubali kuishi pamoja naye, basi asimwache.
Eno dunuma na da na sia: olelesa (amo da Yesu Gelesu Ea hamoma: ne sia: i hame). Yesu Ea hou lalegagui dunu da uda Yesu Ea hou hame lalegagui lai galea amola amo uda da ema hahawane dogolegele gebewane fimusa: dawa: sea, defea, amo uda mae yolesima.
13 Naye mwanamke aaminiye kama ameolewa na mwanaume asiyeamini na huyo mume anakubali kuishi naye, basi huyo mwanamke asimwache.
Amola Yesu Ea hou lalegagui uda amo egoa da hame lalegagui be egoa da ema hahawane dogolegele gilisili gebewane esalumusa: dawa: sea, defea, e da amo dunu hame yolema: mu.
14 Kwa maana huyo mume asiyeamini anatakaswa kupitia mkewe, naye mke asiyeamini anatakaswa kupitia mumewe anayeamini. Kama isingalikuwa hivyo watoto wenu wangalikuwa si safi, lakini ilivyo sasa wao ni watakatifu.
Gode Ea hou hame lalegagui dunu da ea udama madelagiba: le, Gode da amo dunu hahawane dogolegele ba: sa. Amola Gode Ea hou hame lalegagui uda da egoa ema madelagiba: le, Gode da amo uda hahawane dogolegele ba: sa. Agoai hame ganiaba, ilia mano da Gode Ea hou hame dawa: su mano agoane ba: la: loba. Be wali, amo mano Gode da hahawane dogolegele ba: sa.
15 Lakini kama yule asiyeamini akijitenga, basi afanye hivyo. Katika hali kama hiyo mwanamke au mwanaume aaminiye hafungwi, kwa sababu Mungu ametuita tuishi kwa amani.
Be hame lalegagui egoa o uda da lalegagui amo yolemusa: dawa: sea, logo mae damuma. Agoane hamosea, lalegagui dunu o uda da hame la: gi agoane, sema hame. Dilia huluane olofoiwane esaloma: ne, Gode da dilima misa: ne sia: i.
16 Wewe mke, unajuaje kama utamwokoa mumeo? Au wewe mume unajuaje kama utamwokoa mkeo?
Di! Yesu Ea hou lalegagui uda! Dia fidibiba: le, digua gaga: i dagoi ba: ma: bela: ? O di! Yesu Ea hou lalegagui udalai dunu! Dia fidibiba: le, dia uda gaga: i dagoi ba: ma: bela: ?
17 Lakini kila mtu na aishi maisha aliyopangiwa na Bwana, yale Mungu aliyomwitia. Hii ni sheria ninayoiweka kwa makanisa yote.
Dunu huluane ilia hou, Gode da ilima misa: ne sia: i amo esoga ilia hou defele, ilia Gode Ea hahawane dogolegele iasu dawa: beba: le, bu hamomu da defea. Amo hamoma: ne sia: i na Yesu Ea fa: no bobogesu fi huluane ilima olelesa.
18 Je, mtu alikuwa tayari ametahiriwa alipoitwa? Asijifanye asiyetahiriwa. Je, mtu alikuwa hajatahiriwa alipoitwa? Asitahiriwe.
Gadofo damui dunu da Gode Ea misa: ne sia: i nababeba: le, lalegagui dagoi galea, e da gadofo damusu ilegei fisimu da defea hame. Be gadofo hame damui dunu da lalegaguiba: le, ea gadofo damumu da defea hame.
19 Kutahiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu. Lakini kuzitii amri za Mungu ndilo jambo muhimu.
Dunu ilia gadofo damui o hame damui da hamedei liligi agoane ba: sa. Gode Ea hamoma: ne sia: i nabawane hamosu hou, amo fawane da liligi bagadedafa.
20 Basi kila mmoja wenu na abaki katika hali aliyoitwa nayo.
Dunu huluane ilia Gode Ea misa: ne sia: i nabasea, amo esoga ilia hou defele dialumu da defea.
21 Je, wewe ulipoitwa ulikuwa mtumwa? Jambo hilo lisikusumbue. Ingawaje unaweza kupata uhuru, tumia nafasi uliyo nayo sasa kuliko wakati mwingine wowote.
Di da Gode Ea misa: ne sia: i nabasea, udigili muni mae lalewane se iasu diasu hawa: hamosu dunu esalabala? Defea! Mae dawa: ma. Be amo hou fisimusa: , logo doasi dagoi ba: sea, gadili masa.
22 Kwa maana yeyote aliyeitwa katika Bwana akiwa mtumwa yeye ni mtu huru kwa Bwana, kama vile yeyote aliyekuwa huru alipoitwa yeye ni mtumwa wa Kristo.
Hina Gode Yesu Gelesu da se iasu diasu hawa: hamosu dunuma misa: ne sia: beba: le, amo dunu e da Yesu Ea udigili lalebe dunu agoane hamosa. Amo defele, Hina da halegale lalebe dunuma misa: ne sia: beba: le, amo dunu e da Yesu Ea se iasu diasu hawa: hamosu dunu defele ba: mu.
23 Mlinunuliwa kwa gharama; msiwe watumwa wa wanadamu.
Gode da dili bidiga lai dagoi. Amaiba: le, dilia eno osobo bagade dunu ilia udigili hawa: hamosu dunu defele ba: mu da hamedei.
24 Ndugu zangu, kama kila mtu alivyoitwa, akae katika wito wake alioitiwa na Mungu.
Na fi dunu! Dilia huluane afae afae Godema madelagili, dilia musa: hou Gode da dilima misa: ne sia: i, amo esoga defele dilia esaloma.
25 Basi, kuhusu wale walio bikira, mimi sina amri kutoka kwa Bwana, lakini mimi natoa shauri kama mtu ambaye ni mwaminifu kwa rehema za Bwana.
Wali na da dilia goi, a:fini amola didalo ilia hou dawa: ma: ne dilia meloa amo ganodini dedei, ilima na da adole imunu. Hina Gode da amo hamoma: ne sia: nama hame olelei. Be na da Hina Gode ea gogolema: ne olofosu dawa: beba: le amola dafawane sia: fawane dawa: beba: le, na da na asigi dawa: su dilima olelemu
26 Kwa sababu ya shida iliyoko kwa sasa, naona ni vyema mkibaki kama mlivyo.
Wali eso da gegesu eso agoane. Amaiba: le, dunu da ea waha lai hou amo ganodini mae afadenene esalumu da defea.
27 Je, umeolewa? Basi usitake talaka. Je, hujaoa? Usitafute mke.
Di da udalai galea, defea, dia uda mae fadegama. Di da uda hame lai galea, defea, uda lamusa: mae hogoma.
28 Lakini kama ukioa, hujatenda dhambi; na kama bikira akiolewa, hajatenda dhambi. Lakini wale wanaooa watakabiliana na matatizo mengi katika maisha haya, nami nataka kuwazuilia hayo.
Be di da uda lasea, di da wadela: i hou hame hamosa. Amola uda da dunuma fisia, e da wadela: i hame hamosa. Be na da dilima asigiba: le, dilia da udalai dunu amola dunuma fi uda ilia se nabasu hame ba: mu na da dawa: lala.
29 Lakini ndugu zangu, nina maana kwamba muda uliobaki ni mfupi. Tangu sasa wale waliooa waishi kama wasio na wake;
Na fi dunu! Na sia: bai da agoane diala. Yesu Ea bu misunu eso da gadenei. Wali amola fa: no, udalai dunu da uda hame lai dunu amo defele esalumu da defea.
30 nao wanaoomboleza, kama ambao hawaombolezi; wenye furaha kama wasiokuwa nayo; wale wanaonunua, kama vile vitu walivyonunua si mali yao;
Dibi dunu da da: i dioi hame dunu amo defele esalumu da defea. Hahawane oufesega: su dunu da hahawane hame dunu amo defele esalumu da defea. Nowa dunu da liligi bidi lasea, ilia amo liligi da ilia liligi hame agoane dawa: iwane esalumu da defea.
31 nao wale wanaoshughulika na vitu vya dunia hii, kama ambao hawahusiki navyo. Kwa maana dunia hii kama tunavyoiona sasa inapita.
Nowa da osobo bagade liligi labe hou hamosea, ilia amo liligi da hamedei liligi dawa: iwane esalumu da defea. Osobo bagade waha ba: su hou da hedolowane bu hame ba: mu.
32 Ningetaka msiwe na masumbufu. Mwanaume ambaye hajaoa anajishughulisha na mambo ya Bwana, jinsi ya kumpendeza Bwana.
Dilia da: i dioi hame ba: mu, amo na da hanai gala. Uda hame lai dunu da Hina Gode hahawane dogolegele ba: ma: ne, Ea hawa: fawane hamomusa: dawa: sa.
33 Lakini mwanaume aliyeoa anajishughulisha na mambo ya dunia, jinsi ya kumfurahisha mkewe,
Be udalai dunu da ea uda hahawane dogolegele fidimusa: dawa: beba: le, osobo bagade hawa: hamosu dawa: lala.
34 na mawazo yake yamegawanyika. Mwanamke asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana: lengo lake ni awe mtakatifu kimwili na kiroho. Lakini yule aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia, jinsi atakavyoweza kumfurahisha mumewe.
Amaiba: le, hou eno la: ididili amola hou eno la: ididili da amo dunu hiouginana. Dunuma hame fi uda o dunuga hame dawa: digi a: fini da ea da: i hodo amola ea a: silibu Hina Godema imunusa: dawa: beba: le, Gode Ea hawa: fawane hamosa. Be dunuga lai uda, da ea egoa hahawane dogolegele ba: ma: ne, osobo bagade hawa: hamosa.
35 Ninasema haya kwa faida yenu wenyewe, sio ili kuwawekea vizuizi bali mpate kuishi kwa jinsi ilivyo vyema bila kuvutwa pengine katika kujitoa kwenu kwa Bwana.
Amo sia: na da dili fidima: ne sia: sa. Na dilia hou hedofama: ne, sema bagade legemu higasa. Be dilia hou noga: i hamone amola dilia da: i hodo amola a: silibu, huluanedafa Hina Gode Ea hawa: hamomusa: gini Ema ima: ne, na da amane sia: sa.
36 Kama mtu yeyote anadhani kwamba hamtendei ilivyo sawa mwanamwali ambaye amemposa, naye akiwa umri wake unazidi kuendelea na mtu huyo anajisikia kwamba inampasa kuoa, afanye kama atakavyo. Yeye hatendi dhambi. Yawapasa waoane.
Dunu amola a: fini da sia: si esala be lamusa: hame dawa: sea, dunu e da amo a: fini ema fonobahadi wadela: le dawa: sea amola e da ema bagade hanai galea, defea, ela da gilisili fimusa: , e da amo uda dafawane lamu da defea. Amo hou da wadela: i hame.
37 Lakini mwanaume ambaye ameamua moyoni mwake kutooa bila kulazimishwa na mtu yeyote, bali anaweza kuzitawala tamaa zake kutomwoa huyo mwanamwali, basi anafanya ipasavyo.
Be dunu da eno dunu ilia gasa bagade sia: mae dawa: le, ea asigi dawa: su ganodini (amola ea asigi dawa: su amoma e da hina esala e dawa: be), e da uda hame lamu dawa: sea, defea, e da uda hame lai dunu agoane esalumu da defea.
38 Hivyo basi, mwanaume amwoaye mwanamwali afanya vyema, lakini yeye asiyemwoa afanya vyema zaidi.
Amaiba: le dunu da uda lasea, e da noga: iwane hamosa. Be dunu da uda hame lasea, e da baligiliwane noga: idafa hamosa.
39 Mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria maadamu mumewe yu hai. Lakini mumewe akifa, basi mwanamke huyo yuko huru kuolewa na mume mwingine ampendaye, lakini lazima awe katika Bwana.
Dunuga lai uda da ea egoa esalea, enoma fimu da sema bagade. Be egoa bogosea, ea logo da doasibiba: le, e da enoma fimu da defea, be Yesu Ea hou lalegagui dunu ema fawane fima.
40 Lakini kwa maoni yangu, angekuwa na furaha zaidi akibaki alivyo. Nami nadhani pia nina Roho wa Mungu.
Be na da agoane dawa: Agoaiwane uda da didalo agoane esalea, e da baligiliwane hahawane ba: mu. Amo da na asigi dawa: suga dawa: i liligi. Amola Gode Ea A: silibu da na dogo ganodini esalebeba: le, amo da Ea asigi dawa: su na fonobahadi dawa: lala.