< 1 Wakorintho 6 >

1 Kama mtu yeyote wa kwenu ana ugomvi na mwenzake, anathubutuje kuupeleka kwa wasiomcha Mungu ili kuamuliwa badala ya kuupeleka kwa watakatifu?
Mmonga wa yhomo paiya ni tatizo ni njini ithubutu kulota kwa mahakama gha wasio haki kuliko palongolo pa bhaumini?
2 Je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Nanyi kama mtauhukumu ulimwengu, je, hamwezi kuamua mambo madogo madogo?
Mmanyililepi kuwa bhaumini bhilota kuuhukumu ulimwengu? Ni kama mwilota kuuhukumu ulimwengu, mwibhuesya lepi kuamula mambo ghaghabelili kuya gha muhimu?
3 Hamjui kwamba tutawahukumu malaika? Je, si zaidi mambo ya maisha haya?
Mumanyili kuya tilokubhahukumu malaika? kwa kiasi gani zaidi, tibhuesya kuamula mambo gha maisha agha?
4 Kwa hiyo kama kuna ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama haya, chagueni kuwa waamuzi, watu ambao wanaonekana hata sio wa heshima katika kanisa.
Kama tibhuesya kuhukumu mambo gha maisha agha, kwandayakiki mwithubutu kupeleka mashitaka mbele ya bhabhiyemalepi mukanisa?
5 Nasema hivi ili mwone aibu. Je, inawezekana kuwa miongoni mwenu hakuna mtu mwenye hekima ya kutosha kuamua ugomvi kati ya waaminio?
Nijobha agha kwa aibu yayhomo. kuyelepi yayele ni busara miongoni mwayhomo wa kutosha kubheka mambi sawa kati ya ndongo ni ndongo?
6 Badala yake ndugu mmoja anampeleka mwenzake mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini!
Lakini kama kaiyele henu, mwamini mmonga ilota kumahakama dhidi ya muumini yhongi ni mashitaka aghu ghibhekibhwa palongolo pa hakimu yaibelakuamini!
7 Huko kuwa na mashtaka miongoni mwenu ina maana kwamba tayari ni kushindwa kabisa. Kwa nini msikubali kutendewa mabaya? Kwa nini msikubali kunyangʼanywa?
Ukueli ni kwamba kuyele matatizo katikati ya bhakristo ghaghaletili tayari usumbufu kwa yhomo. Kwandayakiki nkulokuteseka kwa mabaya? Kwandayakiki mwiyedekhela kukofibhwa?
8 Badala yake, ninyi wenyewe mwadanganya na kutenda mabaya, tena mwawatendea ndugu zenu.
Lakini mutendeli uovu ni kukofya bhangi, ni abhubai ni mhaja ni ndombho bhinyu!
9 Je, hamjui kwamba wasio haki hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike: Waasherati, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wahanithi, wala walawiti,
Mumanyilepi kwamba bhabhayelepi haki bhilota lepi kurithi ufalme wa K'yara? Nkolokuamini udesi, bhasalati, bhabhiabudu sanamu, bhazinzi, bhafiraji, bhalawiti,
10 wala wezi, wala wenye tamaa mbaya, wala walevi, wala wanaodhihaki, wala wanyangʼanyi hawataurithi Ufalme wa Mungu.
bhefi, bhachoyo, bhalefi, bhanyang'anyi, bhatukanaji- kuyelepi miongoni mwa bhene yailokurithi ufalme wa K'yara.
11 Baadhi yenu mlikuwa kama hao. Lakini mlioshwa, mlitakaswa, mlihesabiwa haki kwa jina la Bwana Yesu Kristo na katika Roho wa Mungu wetu.
Ni abhubai bhayele baadhi ya bhene ni muenga. Lakini nimali kutakasika, lakini nimalikuyosibhwa, lakini nnimali kutengwa kwa K'yara, lakini mufuanyili haki mbele sa K'yara mu lihina la Bwana Yesu Kristu ni kwa Roho wa K'yara watete.
12 “Vitu vyote ni halali kwangu”: lakini si vitu vyote vyenye faida. “Vitu vyote ni halali kwangu”: lakini sitatawaliwa na kitu chochote.
“Fhenu fhoa ni halali kwanene,” Lakini si khila khenu kiyele ni faida. “Fhenu fhoa ni halali kwanene,” lakini nilotalepi kutawalibhwa ni kimonga cha efu.
13 “Chakula ni cha tumbo, na tumbo ni la chakula”: lakini Mungu ataviangamiza vyote viwili. Mwili haukuumbwa kwa ajili ya zinaa bali kwa ajili ya Bwana na Bwana kwa ajili ya mwili.
“Kyakulya ni kwa ajili ya lileme, ni lileme ni kwa ajili ya kyakulya, lakini K'yara ilotakufiyasya fyoa. Mbhele ubhombibhu lepi kwa ajili ya ukahaba, badala yiaki, mbhelhe ni kwa ajili ya Bwana, ilotakuuhudumila mbhelhe.
14 Naye Mungu aliyemfufua Bwana kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia kwa uweza wake.
K'yara amfufuili Bwana ni tete kabhele ilota kutufufula kwa nghofho sa muene.
15 Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya Kristo mwenyewe? Je, nichukue viungo vya mwili wa Kristo na kuviunganisha na mwili wa kahaba? La hasha!
Mumanyililepi kwamba mibhele yayhomo ujele muunganiko ni Kristu? Mwibhuesya bhuli kufibhosya fiungo fya Kristu nilota kufiunganisha ni kahaba? Yibhuesekanikalepi!
16 Hamjui kwamba aliyeungwa na kahaba anakuwa mwili mmoja naye? Kwa kuwa imenenwa, “Hao wawili watakuwa mwili mmoja.”
Mumanyilepi kwamba yaiungana ni kahaba ayele mbhele umonga ni muene? Kama andiko likijobha, “Bhabhele bhilotakuya bhele umonga.”
17 Lakini mtu aliyeungwa na Bwana anakuwa roho moja naye.
Lakini yaiungana ni Bwana uja roho imonga pamonga ni muene.
18 Ikimbieni zinaa. Dhambi zingine zote atendazo mtu ziko nje ya mwili wake, lakini yeye aziniye hutenda dhambi ndani ya mwili wake mwenyewe.
Mwiikhembhelai zinaa! “Khila dhambi yaakaifuanya munu ni kwibhala ni mbhele wa muene. Lakini zinaa, munu hutenda dhambi dhidi ya mbhelhe wa muene wayobhi.
19 Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe,
Mumanyili kuya mibhele yayhomo ni hekalu la Roho mtakatifu, yaitama mugati mwayhomo, yhola ambayi mwapelibhu kuhoma kwa K'yara? mumanyilepi kwamba si muenga mwayhomo?
20 kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu katika miili yenu.
Kwamba mwagolibhu kwa thamani. Henu mumtukuzai K'yara kwa mibhele yayhomo.

< 1 Wakorintho 6 >