< 1 Wakorintho 4 >
1 Basi, watu na watuhesabu sisi kuwa tu watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu.
Portanto, que um homem pense em nós como servos de Cristo e administradores dos mistérios de Deus.
2 Tena, litakiwalo ni mawakili waonekane kuwa waaminifu.
Aqui, além disso, é exigido dos mordomos que eles sejam encontrados fiéis.
3 Lakini kwangu mimi ni jambo dogo sana kwamba nihukumiwe na ninyi au na mahakama yoyote ya kibinadamu. Naam, hata mimi mwenyewe sijihukumu.
Mas comigo é uma coisa muito pequena que eu deveria ser julgado por você, ou por um tribunal humano. Sim, eu nem sequer me julgo a mim mesmo.
4 Dhamiri yangu ni safi, lakini hilo halinihesabii kuwa asiye na hatia. Bwana ndiye anihukumuye.
Pois eu não sei nada contra mim mesmo. No entanto, não sou justificado por isto, mas aquele que me julga é o Senhor.
5 Kwa hiyo msihukumu jambo lolote kabla ya wakati wake. Ngojeni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayaleta nuruni mambo yale yaliyofichwa gizani, na kuweka wazi nia za mioyo ya wanadamu. Wakati huo kila mmoja atapokea sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.
Portanto, nada julgue antes do tempo, até que venha o Senhor, que trará à luz as coisas ocultas das trevas e revelará os conselhos dos corações. Então cada homem receberá de Deus seu louvor.
6 Basi ndugu zangu, mambo haya nimeyafanya kwangu binafsi na Apolo kwa faida yenu, ili mweze kujifunza kutoka kwetu maana ya ule usemi usemao, “Msivuke zaidi ya yale yaliyoandikwa.” Hivyo hamtajivunia mtu fulani na kumdharau mwingine.
Agora estas coisas, irmãos, eu tenho em uma figura transferida para mim e Apollos, para o bem de vocês, para que em nós vocês aprendam a não pensar além das coisas que estão escritas, para que nenhum de vocês fique inchado um contra o outro.
7 Kwa maana ni nani aliyewafanya kuwa tofauti na wengine? Ni nini mlicho nacho ambacho hamkupokea? Nanyi kama mlipokea, kwa nini mnajivuna kama vile hamkupokea?
Para quem os torna diferentes? E o que vocês têm que não receberam? Mas se vocês o receberam, por que se vangloriam como se não o tivessem recebido?
8 Sasa tayari mnayo yale yote mnayohitaji! Tayari mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa wafalme, tena bila sisi! Laiti mngekuwa wafalme kweli ili na sisi tupate kuwa wafalme pamoja nanyi!
Você já está lotado. Você já se tornou rico. Você veio para reinar sem nós. Sim, e eu gostaria que você reinasse, que nós também pudéssemos reinar com você!
9 Kwa maana ninaona kwamba Mungu ametuweka sisi mitume katika nafasi ya mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa kufa kwenye uwanja wa tamasha, kwa sababu tumefanywa kuwa maonyesho kwa ulimwengu wote, kwa malaika na kwa wanadamu pia.
Pois eu penso que Deus nos mostrou, os apóstolos, por último, como homens condenados à morte. Pois somos feitos um espetáculo para o mundo, tanto para os anjos como para os homens.
10 Kwa ajili ya Kristo sisi ni wajinga, lakini ninyi mna hekima sana ndani ya Kristo. Sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu. Tunadharauliwa, lakini ninyi mnaheshimiwa.
Somos tolos por causa de Cristo, mas vós sois sábios em Cristo. Nós somos fracos, mas vós sois fortes. Vocês têm honra, mas nós temos desonra.
11 Mpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao.
Até a presente hora, temos fome, sede, estamos nus, somos espancados e não temos uma morada certa.
12 Tunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki, tunapoteswa, tunastahimili,
Trabalhamos, trabalhando com nossas próprias mãos. Quando as pessoas nos amaldiçoam, nós abençoamos. Sendo perseguidos, nós suportamos.
13 tunaposingiziwa, tunajibu kwa upole. Mpaka sasa tumekuwa kama takataka ya dunia na uchafu wa ulimwengu.
Sendo difamados, nós suplicamos. Somos feitos como a imundície do mundo, a sujeira varrida por todos, mesmo até agora.
14 Siwaandikii mambo haya ili kuwaaibisha, bali ili kuwaonya, kama wanangu wapendwa.
Eu não escrevo estas coisas para envergonhá-los, mas para admoestá-los como meus filhos queridos.
15 Hata kama mnao walimu 10,000 katika Kristo, lakini hamna baba wengi. Mimi nilikuwa baba yenu katika Kristo Yesu kwa kuwaletea Injili.
Pois embora vocês tenham dez mil tutores em Cristo, vocês não têm muitos pais. Pois em Cristo Jesus, eu me tornei seu pai através da Boa Nova.
16 Basi nawasihi igeni mfano wangu.
Suplico-lhes, portanto, sejam imitadores de mim.
17 Kwa sababu hii ninamtuma Timotheo, mwanangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Yeye atawakumbusha kuhusu njia za maisha yangu katika Kristo Yesu, ambayo yanakubaliana na mafundisho yangu ninayofundisha katika kila kanisa.
Por causa disso, enviei Timóteo a vocês, que é meu filho amado e fiel no Senhor, que lhes lembrará meus caminhos que estão em Cristo, mesmo que eu ensine em todos os lugares em cada assembléia.
18 Baadhi yenu mmekuwa na jeuri mkidhani kuwa sitafika kwenu.
Agora alguns estão inchados, como se eu não estivesse vindo até vocês.
19 Lakini kama Bwana akipenda, nitafika kwenu mapema, nami nitapenda kujua, si tu kile wanachosema hawa watu jeuri, bali pia kujua nguvu yao.
Mas eu irei até vocês em breve, se o Senhor quiser. E eu saberei, não a palavra daqueles que estão inchados, mas o poder.
20 Kwa kuwa Ufalme wa Mungu si maneno matupu tu bali ni nguvu.
Pois o Reino de Deus não está em palavras, mas no poder.
21 Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?
O que você quer? Devo ir até você com uma vara, ou com amor e espírito de gentileza?