< 1 Wakorintho 4 >

1 Basi, watu na watuhesabu sisi kuwa tu watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu.
Efe ndifyo munu atubhalangili tete, kama bhatumishi bha Kristu ni bhawakilishi bha siri sa ukueli sa K'yara.
2 Tena, litakiwalo ni mawakili waonekane kuwa waaminifu.
Katika ele, kakilondeka kwa uwakili ni kwamba bhayele bha kutumainibhwa.
3 Lakini kwangu mimi ni jambo dogo sana kwamba nihukumiwe na ninyi au na mahakama yoyote ya kibinadamu. Naam, hata mimi mwenyewe sijihukumu.
Lakini kwanene nene ni khenu kidebe sana kuya nihukumiwa ni muenga au hukumu ya kibinadamu. Kwa ndabha nikihukumu lepi hata nene na muene.
4 Dhamiri yangu ni safi, lakini hilo halinihesabii kuwa asiye na hatia. Bwana ndiye anihukumuye.
Nihukumulepi nene na muene, eye iyelepi ni maana kuwa nene niyele ni haki. Ni Bwana yakanihukumu.
5 Kwa hiyo msihukumu jambo lolote kabla ya wakati wake. Ngojeni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayaleta nuruni mambo yale yaliyofichwa gizani, na kuweka wazi nia za mioyo ya wanadamu. Wakati huo kila mmoja atapokea sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.
Henu, mkolokutama hukumu juu ya lilyoha lhela kabla ya wakati, kabla ya kuhida kwa Bwana. ilotakuleta munuru mambo ghaghafihiki mugiza ni kufunula makusudi gha mioyo. Ndipo khila mmonga ilotakupokela sifa sa muene kuhomela kwa K'yara.
6 Basi ndugu zangu, mambo haya nimeyafanya kwangu binafsi na Apolo kwa faida yenu, ili mweze kujifunza kutoka kwetu maana ya ule usemi usemao, “Msivuke zaidi ya yale yaliyoandikwa.” Hivyo hamtajivunia mtu fulani na kumdharau mwingine.
Henu, kaka ni dada yangu, nene na muene ni Apolo nitumili kanuni ese kwa ajili ya yhomo. Ili kwamba kuhoma kwatete mwibhuesya kujifunza maana gha lusumu, “Kolokulota zaidi ya kakiyandikibhu.” Eye ni kwamba kuyele mmonga wa yhomo yaki yakiunila juu ya yhongi.
7 Kwa maana ni nani aliyewafanya kuwa tofauti na wengine? Ni nini mlicho nacho ambacho hamkupokea? Nanyi kama mlipokea, kwa nini mnajivuna kama vile hamkupokea?
Maana ni niani yaibhona tofauti kati ya muenga ni yhongi? Ni kiki kauyenaku kawapokili bure? Kamaumalikupokela bure, kwandayakiki mwikifuna kama mwaketili naha?
8 Sasa tayari mnayo yale yote mnayohitaji! Tayari mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa wafalme, tena bila sisi! Laiti mngekuwa wafalme kweli ili na sisi tupate kuwa wafalme pamoja nanyi!
Tayari myenafu fhoha ambafyo ngamwilonda! Tayari muyele ni utajiri! Muyandili kutawala - na kwamba mwimiliki zaidi ya tete tayhotho! Kueli, nikabhatakila umiliki unofu ili kwamba tumilikiai pamonga ni muenga.
9 Kwa maana ninaona kwamba Mungu ametuweka sisi mitume katika nafasi ya mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa kufa kwenye uwanja wa tamasha, kwa sababu tumefanywa kuwa maonyesho kwa ulimwengu wote, kwa malaika na kwa wanadamu pia.
Kwa henu nidhani K'yara atubhekili tete mitume kama atuvasiri wa muishu mu mustari wa maandamano ni kama bhanu bhabhahukumibhu kukhomibhwa. Tuyele kama tamasha kwa ulimwengu, kwa malaika na kwa bhanadamu.
10 Kwa ajili ya Kristo sisi ni wajinga, lakini ninyi mna hekima sana ndani ya Kristo. Sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu. Tunadharauliwa, lakini ninyi mnaheshimiwa.
Tete ni bhajinga kwa ajili ya Kristu, lakini muenga ni bhabhayele ni hekima mu Kristu. Tu bhanyonge, lakinimuenga muyele ni nghofho. Mwiheshimibhwa, lakini tete tidharaulibhwa.
11 Mpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao.
Hata saa eye tuyele ni njala ni kiu, tuyelepi ni nghofho, tiyele ni mapigo, kabhele tiyelepi ni pakuishi.
12 Tunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki, tunapoteswa, tunastahimili,
Tifuanya mbombo kwa bidii, kwa mabhokho ghayhotho ka bhene. Pathidharaulibhwa, tibalikibhwa, Wakati ptitesibhwa, tivumilila.
13 tunaposingiziwa, tunajibu kwa upole. Mpaka sasa tumekuwa kama takataka ya dunia na uchafu wa ulimwengu.
Patilighibhwa, tikelebhusya kwa upole, tiyele, ni tukakhona tibhalangibhwa kuwa kama kutawala ni dunia ni takataka kwa mambo ghoha.
14 Siwaandikii mambo haya ili kuwaaibisha, bali ili kuwaonya, kama wanangu wapendwa.
Nujandikilepi mambo agha kubhaaibisya muenga, lakini kubhakerebhukila muenga kama bhana bha nene yanibhaganili.
15 Hata kama mnao walimu 10,000 katika Kristo, lakini hamna baba wengi. Mimi nilikuwa baba yenu katika Kristo Yesu kwa kuwaletea Injili.
Hata kama muyele ni bhalim makumi elfu mu Kristu, bhayelepi bha dadi bhingi kwa ndabha nijele dadi yhinu mu Yesu Kristu kuphetela injili.
16 Basi nawasihi igeni mfano wangu.
Henu nikabhasihi mnigai nene.
17 Kwa sababu hii ninamtuma Timotheo, mwanangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Yeye atawakumbusha kuhusu njia za maisha yangu katika Kristo Yesu, ambayo yanakubaliana na mafundisho yangu ninayofundisha katika kila kanisa.
Eyu ndiyo sababu namtumili kwa yhomo Timotheo, mpendwa wa nene ni muana mwaminifu mu Bwana. Ilotakubhakhombosya njela syangu mu Kristu, kama kanifundisya kila mahali ni khila kanisa.
18 Baadhi yenu mmekuwa na jeuri mkidhani kuwa sitafika kwenu.
Henu baadhi ya muenga bhikisifu bhikikheta, kana kwamba nihida lepi kwa muenga.
19 Lakini kama Bwana akipenda, nitafika kwenu mapema, nami nitapenda kujua, si tu kile wanachosema hawa watu jeuri, bali pia kujua nguvu yao.
Lakini nilota kuhida kwa yhomo kitambo, kama Bwana akaganai. Ndipo nilotakumanya si malobhi gha bhene tu bhabhikisifu, lakini nilota kubhona nghofho sa bhene.
20 Kwa kuwa Ufalme wa Mungu si maneno matupu tu bali ni nguvu.
Kwa ndabha Ufalme wa K'yara wiyalepi mu malobhi bali mu nghofho.
21 Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?
Mwilonda kiki? Nihida kwa yhomo ni ndonga au kwa upendo ni katika roho ya upole?

< 1 Wakorintho 4 >