< 1 Wakorintho 3 >

1 Ndugu zangu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho, bali kama watu wa mwilini, kama watoto wachanga katika Kristo.
Bhakilishitu ajangunji, nne punaliji na mmanganya nangammeleketelanga mbuti bhandu bha mmbumu. Ikabheje mbuti bhandu bha pashilambolyo, malinga ashinambombe nndamo ja shi Kilishitu.
2 Naliwanywesha maziwa, wala si chakula kigumu, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa hicho chakula. Naam, hata sasa hamko tayari.
Nashinkumpanganga mabhele, nngabha shalya shanonopa, pabha nkashilepelenje. Nkali nnaino nkashikombolanga.
3 Ninyi bado ni watu wa mwilini. Kwa kuwa bado kuna wivu na magombano miongoni mwenu, je, ninyi si watu wa mwilini? Je, si mwaendelea kama watu wa kawaida?
Numbe mmanganyanji launo nnakagulilanga indu ya pa shilambolyo. Pabha kungwenunji lushipagwa lupimililo na mpwai, bhuli mmanganya nngabha malinga bhandunji bha pa shilambolyo? Nnatamangana kwa kagulila nkubho gwa bhandunji bha pashilambolyo.
4 Kwa maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” na mwingine, “Mimi ni wa Apolo,” je, ninyi si wanadamu wa kawaida?
Mundu jumo munkumbi gwenunji pabheleketa kuti nne jwa a Pauli na juna kuti nne jwa a Apolo, bhuli, yeneyo ikalangula kuti nnatamangana malinga bhandu bha pa shilambolyo?
5 Kwani, Apolo ni nani? Naye Paulo ni nani? Ni watumishi tu ambao kupitia wao mliamini, kama vile Bwana alivyompa kila mtu huduma yake.
A Apolo ni agani? Na a Pauli ni agani? Uwe bhatumishipe twampeleshelenje mmanganya ngulupai. Kila mundu munkumbi gwetu anatenda malinga shapegwilwe na Bhakulungwa.
6 Mimi nilipanda mbegu, Apolo akatia maji, lakini Mungu ndiye aliikuza.
Nne nashinkupanda mmbeju, a Apolo gubhajitilile mashi, ikabheje bhameshiye mmbeju a Nnungu.
7 Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue.
Kwa nneyo, jwa mmbone nngabha apandile mmbeju jula eu ajitilile mashi, ikabhe bha mmbone a Nnungu bhameshiye mmbeju.
8 Apandaye mbegu ana lengo sawa na yule atiaye maji na kila mmoja atalipwa kulingana na kazi yake.
Apandile jula eu ajitilile mashi bhowe bhanalingananga, ikabheje kila mundu shaposhele upo yakwe kwa liengo lyatendile.
9 Kwa kuwa sisi tu watendakazi pamoja na Mungu. Ninyi ni shamba la Mungu, jengo la Mungu.
Pabha uwe na mmanganyanji, tubhowe tubhakamula liengo lya a Nnungu pamo, na mmanganya ni malinga nngunda gwabho na nyumba jabho.
10 Kwa neema Mungu aliyonipa, niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja inampasa awe mwangalifu jinsi anavyojenga.
Kwa jangutilwa na nema jimbegwilwe na a Nnungu, malinga nkushenga akwete lunda, aolile nshingi gwa nyumba na mundu juna gwaishe shenga pa ntundu jakwe. Ikabheje kila mundu alolesheye shakuti shenga panani jakwe.
11 Kwa maana hakuna mtu yeyote awezaye kuweka msingi mwingine wowote isipokuwa ule uliokwisha kuwekwa, ambao ni Yesu Kristo.
Jwakwa mundu juna shaolele maimbo ga shenga, paolelwe pala, yani a Yeshu Kilishitu.
12 Kama mtu yeyote akijenga juu ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, fedha, vito vya thamani, miti, majani au nyasi,
Ibhaga mundu shaashenje panani jakwe, kwa shaabhu eu maganga ga ela eu maganga ga bhei jikuklungwa, na juna shaashenjele nkali mikongo eu maamba eu manyai.
13 kazi yake itaonekana ilivyo, kwa kuwa Siku ile itaidhihirisha. Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya kila mtu.
Ikabheje, lyubha lya ukumu liengo lya kila mundu shilibhoneshe mobha gushibhaishe a Kilishitu. Pabha, lyene lyubhalyo a Nnungu shibhapime kushimilika kwa kila liengo.
14 Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.
Monaga shashenjile mundu shibhonekaga kulonjeya, bhai shaposhele upo.
15 Kama kazi kitateketea, atapata hasara, ila yeye mwenyewe ataokolewa, lakini tu kama mtu aliyenusurika kwenye moto.
Ikabheje shashenjile mundu shitinikaga, bhai, akapegwa upo, ikabheje nnyene shatapulwe mbuti akolobhweshe pa moto.
16 Je, hamjui ya kwamba ninyi wenyewe ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
Bhuli, nkakwimanyanga kuti mmanganya ni likanisha, na kuti Mbumu jwa a Nnungu anatama mmunda jenunji?
17 Kama mtu yeyote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza; kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, na ninyi ndiyo hilo hekalu.
Bhai, mundu aangabhanyaga likanisha lya a Nnungulyo, a Nnungu shibhanng'angabhanye jwene mundujo, pabha likanisha lya a Nnungu, ni lya Ukonjelo na lyene likanisha lya a Nnungulyo, ni mmanganyanji.
18 Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn g165)
Nnaitembanje! Mundu jojowe munkumbi gwenunji aiganishiyaga kuti ashikola lunda malinga lwa pa shilambolyo, mbaya aiputuye nkupinga akole lunda lwa kweli. (aiōn g165)
19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,”
Pabha lunda lwa pa shilambolyo pano ni ungumba kwa a Nnungu. Na Majandiko ga Ukonjelo gakuti, “A Nnungu bhanakwaakamulanga bhakwetenje lunda, nkupenya kwabhonji.”
20 tena, “Bwana anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”
Kabhili Majandiko gakuti, “Bhakulungwa bhamumanyi ng'aniyo ya bhakwetenje lunda kuti ikapwaa.”
21 Hivyo basi, mtu asijivune kuhusu wanadamu! Vitu vyote ni vyenu,
Bhai mundu anaipunile bhandu. Pabha indu yowe yenunji.
22 ikiwa ni Paulo au Apolo au Kefa au dunia au uzima au mauti, au wakati uliopo au wakati ujao, haya yote ni yenu
Ibhaga a Pauli, eu a Apolo, eu a Kepa, eu shilambolyo, eu gumi na kuwa, eu indu ipali, nnaino na ikwiya, yowe ni yenunji,
23 na ninyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.
ikabheje mmanganya ni bha a Kilishitu na bhalabho a Kilishitu ni bha a Nnungu.

< 1 Wakorintho 3 >