< 1 Wakorintho 3 >
1 Ndugu zangu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho, bali kama watu wa mwilini, kama watoto wachanga katika Kristo.
Mi ime, vakwanugu, kana ni va kuwola kuwamba kwenu uva vantu vo luhuho, kono uvu vantu ve nyama uvu muchiche mwa Kreste.
2 Naliwanywesha maziwa, wala si chakula kigumu, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa hicho chakula. Naam, hata sasa hamko tayari.
Niva milele cha muzilili isiñi che nyama, kana muva litukiseze inyama. Mi, ni heva hanu, ka mulitukiseze.
3 Ninyi bado ni watu wa mwilini. Kwa kuwa bado kuna wivu na magombano miongoni mwenu, je, ninyi si watu wa mwilini? Je, si mwaendelea kama watu wa kawaida?
Mi musina mwi nyama, mi kwina ifufa niku sazumi nzana ku sina mukati kenu, kamu hali che nyama, mi ka muyendi cha mazimo avuntu.
4 Kwa maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” na mwingine, “Mimi ni wa Apolo,” je, ninyi si wanadamu wa kawaida?
Mi zumwi hawamba, ni chilila Paulusi, zumwi uti ni chilila Apolosi, kamuhali uvu vantu na?
5 Kwani, Apolo ni nani? Naye Paulo ni nani? Ni watumishi tu ambao kupitia wao mliamini, kama vile Bwana alivyompa kila mtu huduma yake.
Njeni Apolosi linu, mi Paulusi njeni? Vahikana avo vamu va kuzumina, avo vava hewa musevezi kwa Simwine.
6 Mimi nilipanda mbegu, Apolo akatia maji, lakini Mungu ndiye aliikuza.
Niva vwali, Apolosi ave tilele, kono Ireeza ava ku kuzi.
7 Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue.
Mi linu, yo vwala ni yowi tilele kakwina. Kono nji Ireeza yokuza.
8 Apandaye mbegu ana lengo sawa na yule atiaye maji na kila mmoja atalipwa kulingana na kazi yake.
Hanu, uvwala ni yowitilela umwina. Mi zumwi ni zumwi kalihiwe cha musevezi wakwe.
9 Kwa kuwa sisi tu watendakazi pamoja na Mungu. Ninyi ni shamba la Mungu, jengo la Mungu.
Tuva veleki ba Ireeza, mwiwa lye Ireeza, muzako wa Ireeza.
10 Kwa neema Mungu aliyonipa, niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja inampasa awe mwangalifu jinsi anavyojenga.
Kuya ka chishemo che Ireeza chi va hewa kwangu che ntuto ya kwi ziva kuzaka, ni va vatangi intungo mi zumwi u zaka hateni.
11 Kwa maana hakuna mtu yeyote awezaye kuweka msingi mwingine wowote isipokuwa ule uliokwisha kuwekwa, ambao ni Yesu Kristo.
Linu mutokomele zumwi ni zumwi atokomele mwate azakile hateni. Kokuti kakwina yo ola kutunga intungo kunde yo zuna ya va itangi, nji Jesu Kreste.
12 Kama mtu yeyote akijenga juu ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, fedha, vito vya thamani, miti, majani au nyasi,
Ha hanu, haiva zumwi na zaka hentungo che gauda, silivera, cha mavwe a sepahala, zisamu, zilyo ze ñombe, kapa lyani,
13 kazi yake itaonekana ilivyo, kwa kuwa Siku ile itaidhihirisha. Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya kila mtu.
musevezi wakwe ka u putululwe, mwete ni kupatulwe mwi nako ya mulilo. Mulilo kaulike musevezi wava tendi zumwi ni zumwi.
14 Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.
Haiva misevezi ya zumwi ni zumwi ni izi mana, mwa tambule inkavelo;
15 Kama kazi kitateketea, atapata hasara, ila yeye mwenyewe ataokolewa, lakini tu kama mtu aliyenusurika kwenye moto.
kono haiva musevezi wa zumwi ni zumwi ni uhiswa, mwa nyande, kono iye mwine mwa puluswe, cha ku vanduka ku mulilo.
16 Je, hamjui ya kwamba ninyi wenyewe ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
Kana mwizi kuti mwi tempele ya Ireeza ni kuti Luhuho lwe Ireeza luhala mwenu.
17 Kama mtu yeyote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza; kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, na ninyi ndiyo hilo hekalu.
Haiva zumwi na haya itempele ye Ireeza, Ireeza mwe haye zuna muntu. Imi itempele ye Ireeza i jolola, mumu ikalile nanwe.
18 Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn )
Kanzi kuvi niyo lichenga mwine. Haiva zumwi mukati kenu uhupula kuti wina vutali mwe inu' nako, mu mu siye ave “cihole” mukuti ave yo talifite. (aiōn )
19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,”
Mokuti vutali vwe inu ikanda kwa Ireeza vuholo. Mi ku ñoletwe, “U wonda vatalifite muvu vilala vwavo.”
20 tena, “Bwana anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”
Mi hape, “Ireeza wizi kuti mi hupulelo ya vatali kakwina.”
21 Hivyo basi, mtu asijivune kuhusu wanadamu! Vitu vyote ni vyenu,
Linu ka kusina kulitemba cha vantu! Kakuti zintu zonse nji zenu,
22 ikiwa ni Paulo au Apolo au Kefa au dunia au uzima au mauti, au wakati uliopo au wakati ujao, haya yote ni yenu
kapa Paulusi, kapa Apolosi, Kefesi, kapa inkanda, kapa vuhalo, kapa ifu, kapa zintu zina kwateni, kapa zintu zi sike zite. Zintu zonse nji zenu,
23 na ninyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.
mi muva Kreste mi Kreste we Ireeza.