< 1 Wakorintho 3 >

1 Ndugu zangu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho, bali kama watu wa mwilini, kama watoto wachanga katika Kristo.
Bratři, jestli jsem k vám mluvil jako k malým dětem, mělo to svůj důvod. Nemohl jsem přece od vás v duchovních záležitostech očekávat chápavost vyspělých křesťanů, když vaše víra byla teprve v plenkách.
2 Naliwanywesha maziwa, wala si chakula kigumu, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa hicho chakula. Naam, hata sasa hamko tayari.
3 Ninyi bado ni watu wa mwilini. Kwa kuwa bado kuna wivu na magombano miongoni mwenu, je, ninyi si watu wa mwilini? Je, si mwaendelea kama watu wa kawaida?
Mám dokonce dojem, že z nich dosud nevyrostla a že stále ještě u vás převládají tělesné sklony. Řekněte sami – nejsou vaše spory a žárlivost až příliš lidské?
4 Kwa maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” na mwingine, “Mimi ni wa Apolo,” je, ninyi si wanadamu wa kawaida?
Když někdo tolik zdůrazňuje „já jsem s Pavlem“a jiný zase „já s Apollem“, nelpíte příliš na osobě?
5 Kwani, Apolo ni nani? Naye Paulo ni nani? Ni watumishi tu ambao kupitia wao mliamini, kama vile Bwana alivyompa kila mtu huduma yake.
Vždyť kdo je Apollo? A kdo je Pavel? Pouze služebníci, kteří vám pomohli dospět k víře – každý zase jen tou měrou, jak mu uložil Bůh.
6 Mimi nilipanda mbegu, Apolo akatia maji, lakini Mungu ndiye aliikuza.
Já jsem zasadil, Apollo zaléval, ale vzrůst dal Bůh.
7 Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue.
To on dává vznik životu, a ne ten, kdo sází nebo zalévá. On své pomocníky odmění podle jejich práce, ale jinak jsou si všichni rovni v tom, že jsou jen pouhými pomocníky na Božím díle.
8 Apandaye mbegu ana lengo sawa na yule atiaye maji na kila mmoja atalipwa kulingana na kazi yake.
9 Kwa kuwa sisi tu watendakazi pamoja na Mungu. Ninyi ni shamba la Mungu, jengo la Mungu.
10 Kwa neema Mungu aliyonipa, niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja inampasa awe mwangalifu jinsi anavyojenga.
Z Božího pověření jsem jako zkušený v tomto směru mohl položit základy, na kterých dál staví už jiný. Dávejte však pozor, jak staví!
11 Kwa maana hakuna mtu yeyote awezaye kuweka msingi mwingine wowote isipokuwa ule uliokwisha kuwekwa, ambao ni Yesu Kristo.
Základem je Ježíš Kristus, jiný základ už položit nelze. Ale i potom je možno na ten základ stavět buď solidní budovu, jež přetrvá věky, nebo slepit chatrč, kterou rozhází první nápor větru.
12 Kama mtu yeyote akijenga juu ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, fedha, vito vya thamani, miti, majani au nyasi,
13 kazi yake itaonekana ilivyo, kwa kuwa Siku ile itaidhihirisha. Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya kila mtu.
Kvalita stavby se musí osvědčit ve zkouškách – teprve ty ukáží, co kdo vlastně postavil.
14 Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.
Když dílo vydrží, dostane stavitel odměnu.
15 Kama kazi kitateketea, atapata hasara, ila yeye mwenyewe ataokolewa, lakini tu kama mtu aliyenusurika kwenye moto.
Komu se jeho dílo sesype, ten se sice sám zachrání, ale nic po něm nezůstane.
16 Je, hamjui ya kwamba ninyi wenyewe ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
Nezapomeňte, že ve vás působí Boží Duch, že jste Božím příbytkem.
17 Kama mtu yeyote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza; kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, na ninyi ndiyo hilo hekalu.
Kdo by ničil Boží chrám, který je nedotknutelný, toho zničí Bůh.
18 Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn g165)
Nežijte v sebeklamu. Kdo si o sobě myslí, že všechno umí vysvětlit rozumem, jak se to dnes požaduje, ten má nejvíc zapotřebí stát se pro svět „pošetilcem“. Jen to je cesta k opravdové moudrosti. (aiōn g165)
19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,”
Všechno vědění, jímž se svět pyšní, je v Božích očích směšné. Stojí přece v Písmu: „On chytá rozumáře do léčky, kterou si sami nastraží“,
20 tena, “Bwana anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”
anebo „Pán dobře zná výpočty moudrých: nejsou k ničemu“.
21 Hivyo basi, mtu asijivune kuhusu wanadamu! Vitu vyote ni vyenu,
Ať si tedy nikdo nezakládá na lidech.
22 ikiwa ni Paulo au Apolo au Kefa au dunia au uzima au mauti, au wakati uliopo au wakati ujao, haya yote ni yenu
Pavel nebo Petr nebo Apollo – všichni jsou „vaši“stejným dílem. Vám patří i svět, život i smrt, všechno v přítomnosti a všechno v budoucnosti. Všechno je vaše,
23 na ninyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.
vy Kristovi a Kristus Boží.

< 1 Wakorintho 3 >