< 1 Wakorintho 2 >

1 Ndugu zangu nilipokuja kwenu, sikuja na maneno ya ushawishi wala hekima ya hali ya juu nilipowahubiria siri ya Mungu.
Lwanahenzele humwenyu kolo nu yilombo bhane, saganahenzele namazu giushawishi ni njele hansi ahusu Ungolobhe.
2 Kwa kuwa niliamua kutokujua kitu chochote wakati nikiwa nanyi isipokuwa Yesu Kristo aliyesulubiwa.
Nahamuye asagamanye shoshonti lwanahelo namwe ila wha Yesu uKristi, numwene wateseshe.
3 Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana.
Nalinamwe whuu dhowofu, huwogo na katika ayinje hani.
4 Kuhubiri kwangu na ujumbe wangu haukuwa kwa hekima na maneno ya ushawishi bali kwa madhihirisho ya nguvu za Roho
Niizu lyane lyalombelele huline sagawhaleho whumazu giushawishi ni njele. Badala yakwe, gali katika hufunule uPepo ne ngovo,
5 ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.
aje olweteho lwenyu lusabhe katika injele yabhanadamu, ila katika engovo ya Ngolobhe.
6 Lakini miongoni mwa watu waliokomaa twanena hekima, wala si hekima ya ulimwengu huu au ya watawala wa dunia hii wanaobatilika. (aiōn g165)
Eshi tihuyiyanga injele mumiongoni mwa bhantu abhagosi, lakini saga hunjele yense ene au yabhatabhala bhinyakati ezi, ambawo bhashila. (aiōn g165)
7 Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, tena iliyofichika, ambayo Mungu aliikusudia kabla ya ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn g165)
Badala yakwe, tihuyiyanga injele ya Ngolobhe katika ilyoli lilifisishe, injele yifisishe ambayo Ungolobhe ayisaluye kabla yinyakati ziutuntumu wetu. (aiōn g165)
8 Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn g165)
Nomo wowonti wa bhatabhala bhinyakati ezi wayemenye injele ene, nkabhayimenye katika inyakati zila, andisaga bhanyenvega uGosi wituntumu. (aiōn g165)
9 Lakini ni kama ilivyoandikwa: “Hakuna jicho limepata kuona, wala sikio limepata kusikia, wala hayakuingia moyoni wowote, yale Mungu amewaandalia wale wampendao”:
Ishi hansi shayasimbwilwe, amambo ambayo nalimo iliso lililolile, nalimo ikuta lyalyahevwezye ensewo sagazyasebhele, amambo ambayo Ongolobhe aga andayile kwa ajili yabhala bhagene umwene.”
10 Lakini mambo haya Mungu ametufunulia kwa Roho wake. Roho huchunguza kila kitu, hata mambo ya ndani sana ya Mungu.
Ege mambo gagali Ongolobhe agakwinkuye humwetu ashilile uMpepo, afatanaje uMpepo achunguzya shila hantu hata amambo gamuhati yakwe.
11 Kwa maana ni nani anayejua mawazo ya mtu isipokuwa roho iliyo ndani ya huyo mtu? Vivyo hivyo hakuna mtu ajuaye mawazo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.
Afwatanaje wenu amenye ensewo zyamntu, isipokuwa roho ya mtu ndani yake? Hivyo pia, hakuna mambo ya ndani ya Mungu, ila Mpepo wa Ngolobhe.
12 Basi hatukupokea roho ya dunia bali Roho atokaye kwa Mungu, ili tuweze kuelewa kile kipawa ambacho Mungu ametupatia bure.
Eshi sagataposheleye umoyo gwense, eshi uMpepo wafuma wha Ngolobhe, ili aje tiwezye amanye whiwaushe amambo gatapewilwe no Ngolobhe.
13 Haya ndiyo tusemayo, si kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya wanadamu bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua kweli za kiroho kwa maneno ya kiroho.
Tiyanje amambo ega whimazu gagali njele, whamuntu sagawezya amanyizye, ila uMpepo awhutimanyizya. Umpepo ahugabadilinsa amazu gahumoyo hunjele yi shimoyo.
14 Mtu ambaye hana Roho hawezi kupokea mambo yatokayo kwa Roho wa Mungu, kwa kuwa ni upuzi kwake, naye hawezi kuyaelewa kwa sababu hayo yanaeleweka tu kwa upambanuzi wa rohoni.
Umuntu wasaga wishimoyo sagaposhela amambo gagali ga Mpepo wa Ngolobhe, afwatanaje ego giwalangani hukwakwe sagawezya hugamanye afwatanaje gamanyiha shimoyo.
15 Mtu wa kiroho hubainisha mambo yote, lakini yeye mwenyewe habainishwi na mtu yeyote.
Hola wishimoyo alonje amambo gonti. Ila alongwa na bhanje.
16 “Kwa maana ni nani aliyefahamu mawazo ya Bwana ili apate kumfundisha?” Lakini sisi tunayo mawazo ya Kristo.
“Yunanu awezya amanye ensewo zya Gosi, wawezya humanyizye?” Ila tilinensewo zya Kristi.

< 1 Wakorintho 2 >