< 1 Wakorintho 15 >
1 Basi ndugu zangu nataka niwakumbushe kuhusu Injili niliyowahubiria, mkaipokea na ambayo katika hiyo mmesimama.
Pacino cino cindi mobanse bame, ndayandanga kumwanushako Makani Aina ngondalamukambaukila. Mwalatambula cena pakwinga epashimpa lushomo lwenu.
2 Kwa Injili hii mnaokolewa mkishikilia kwa uthabiti neno nililowahubiria ninyi. La sivyo, mmeamini katika ubatili.
Lesa nakamupulushe ne Mulumbe Waina uwu, na kamusunga cena maswi akendi ngondalamukambaukila. Na mubula kwinseco, lushomo lwenu ingaluba lwabulyo.
3 Kwa maana yale niliyopokea ndiyo niliyowapa ninyi, kama yenye umuhimu wa kwanza: Kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yasemavyo Maandiko,
Ame ndalatambula makani alayandikinga, awo ngondalamwambila mbuli ncondalambilweti, Klistu walafwila bwipishi bwetu mbuli ncecalembwa mu Mabala a Lesa,
4 ya kuwa alizikwa na alifufuliwa siku ya tatu, kama yasemavyo Maandiko,
kwambeti balamubika mumanda, nomba Lesa walamupundusha pabusuba bwa butatu mbuli Mabala Lesa ncalambanga.
5 na kwamba alimtokea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili.
Kayi palikuba makani akwambeti walabonekela kuli Petulo ne kuli batumwa likumi ne babili.
6 Baadaye akawatokea wale ndugu waumini zaidi ya 500 kwa pamoja, ambao wengi wao bado wako hai, ingawa wengine wamelala.
Kayi walabonekela kuli beshikwiya bakendi bapita myanda isanu, bangi bacili bayumi lelo necikabeti nabambi bafwa.
7 Ndipo akamtokea Yakobo na kisha mitume wote.
Pacindi nacimbi walabonekela kuli Jemusi ne kuli batumwa bonse.
8 Mwisho wa wote, akanitokea mimi pia, ambaye ni kama aliyezaliwa si kwa wakati wake.
Nomba pamapwililisho walabonekela kulinjame ondyeti mwana ngobalayambakanya.
9 Kwa maana mimi ndiye mdogo kuliko mitume wote, nisiyestahili kuitwa mtume, kwa sababu nililitesa kanisa la Mungu.
Ame njame mung'ana pabatumwa bonse, kayi nkandelela nekukwiweti mutumwa sobwe, pakwinga njame ndalikupensha mubungano wa Lesa.
10 Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo na neema yake kwangu haikuwa kitu bure. Bali nilizidi sana kufanya kazi kuliko mitume wote, lakini haikuwa mimi, bali ni ile neema ya Mungu iliyokuwa pamoja nami.
Nomba cebo ca kwambeti Lesa waina moyo, lelo nenjame ndemutumwa. Kwina moyo kwakendi ntelo kwabulyo sobwe, kayi ndalimbikila kusebensa ncito kupita batumwa nabambi, nomba ntame ndalikusebensa sobwe, nsombi ni kwinamoyo kwa Lesa.
11 Hivyo basi, kama ilikuwa mimi au wao, hili ndilo tunalohubiri, na hili ndilo mliloamini.
Neco ncondalikukambauka nambi ncobalikukambauka nabambi, nsombi twense tulakambaukunga Mulumbe umo umo uwo ngomulashomonga.
12 Basi kama tumehubiri ya kwamba Kristo alifufuliwa kutoka kwa wafu, mbona baadhi yenu mnasema hakuna ufufuo wa wafu?
Lino, pakwinga mulumbe wetu niwakwambeti Klistu walapunduka kubafu, inga nipacebo cini nabambi mulinjamwe ncobela kwambileti bafwa nteti bakapunduke?
13 Lakini kama hakuna ufufuo wa wafu, basi hata Kristo hakufufuliwa.
Pakwinga na bafwa nteti bakapunduke, ekwambeti nendi Yesu uliya kupunduka kubafu.
14 Tena ikiwa Kristo hakufufuliwa kutoka kwa wafu, kuhubiri kwetu kumekuwa ni bure na imani yenu ni batili.
Anu na Klistu uliya kupunduka kubafu, ncotulakambaukunga nicabulyo, kayi nekushoma kwenu nikwabulyo.
15 Zaidi ya hayo, twaonekana kuwa mashahidi wa uongo kuhusu Mungu, kwa sababu tumeshuhudia kumhusu Mungu kwamba alimfufua Kristo kutoka kwa wafu, lakini hilo haliwezi kuwa kweli kama wafu hawafufuliwi.
Pelu palico, ingacilesheti afwe tulabepenga Lesa, pakwambeti Lesa walapundusha Yesu kubafu. Na nicakubinga kwambeti bafwa nteti bakapunduke, anu Lesa uliya kumupundusha Yesu kubafu.
16 Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Kristo hajafufuka.
Neco, na bafwa nteti bakapunduke, anu neye Yesu uliya kupunduka sobwe.
17 Tena kama Kristo hajafufuliwa, imani yenu ni batili; nanyi bado mko katika dhambi zenu.
Kayi na Lesa uliya kumupundusha Yesu, okwambeti lushomo lwenu muli Klistu nilwabulyo, kayi mucili panshi pangofu yabwipishi.
18 Hivyo basi, wote waliolala katika Kristo wamepotea.
Kayi ngacipandululeti abo balafwa kabali bashoma muli Yesu, bafwa kufwililila.
19 Ikiwa tumaini letu ndani ya Kristo ni kwa ajili ya maisha haya tu, sisi tunastahili kuhurumiwa kuliko watu wote.
Na kupembelela kwetu muli Klistu nikwabuyumi bwacino cindi conka, ekwambeti afwe ingatuba ne nsoni kupita bantu bonse mucishi capanshi.
20 Lakini kweli Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu, tunda la kwanza la wale wote waliolala.
Nomba cakubinga nicakwambeti, Lesa walamupundusha Klistu kubafu kuba citondesho cakwambeti, uliyense eti akafwe nakapundushiwe kubafu.
21 Kwa maana kama vile mauti ilivyokuja kwa njia ya mtu mmoja, vivyo hivyo, ufufuo wa wafu umekuja kwa njia ya mtu mmoja.
Mbuli lufu ncolwalesa pacebo ca muntu umo, cimocimo nekupunduka kubafu kwalesa pacebo ca muntu umo.
22 Kwa maana kama vile katika Adamu watu wote wanakufa, vivyo hivyo katika Kristo wote watafanywa hai.
Mbuli Adamu ncalatuletela lufu twense, nenjafwe twense Klistu nakatupundushe kubafu.
23 Lakini kila mmoja kwa wakati wake: Kristo, tunda la kwanza kisha, wale walio wake, wakati atakapokuja.
Nomba Lesa nakapundushenga muntu uliyense pacindi cakendi camwelela. Cakutanguna Lesa walapundusha Klistu cisepo citanshi, kayi Klistu akesa nakapundushe abo bashoma muliendiye.
24 Ndipo mwisho utafika, wakati atakapomkabidhi Mungu Baba ufalme, akiisha angamiza kila utawala na kila mamlaka na nguvu.
Popelapo mapwililisho acishi nakashike, Klistu akakoma bendeleshi bamishimu yaipa bonse, bulelo bonse ne ngofu shonse nakatwale Bwami mumakasa a Lesa Baishi.
25 Kwa maana lazima Kristo atawale mpaka awe amewaweka adui zake wote chini ya miguu yake.
Neco Klistu welela kwendelesha bulelo kushikila cindi Lesa ncoti akakome balwani bakendi, ne kubabika panshi pamyendo yakendi Klistu.
26 Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni mauti.
Mulwani wakupwililisha eti akomwe ni lufu.
27 Kwa maana Mungu “ameweka vitu vyote chini ya miguu yake.” Lakini isemapo kwamba “vitu vyote” vimewekwa chini yake, ni wazi kwamba Mungu aliyetiisha vitu vyote chini ya Kristo hayumo miongoni mwa hivyo vilivyotiishwa.
Mabala a Lesa alambangeti, “Lesa labiki bintu byonse panshi pa myendo ya Mwana muntu.” Paliya kutonshana nditu pamaswi akwambeti, “bintu byonse” Nkabilasankanyangaponga Lesa mwine uyo labikinga bintu byonse kuli Klistu.
28 Atakapokuwa amekwisha kuyafanya haya, ndipo Mwana mwenyewe atatiishwa chini yake yeye aliyetiisha vitu vyote, ili Mungu awe yote katika yote.
Neco bintu byonse byakabikwa mubwendeleshi bwa Klistu, nendi nakalibike panshi pa bwendeleshi bwa Baishi abo balabika bintu byonse panshi palyendiye, kufumapo Lesa nakendeleshe kwakupwililila kucindi cacindi.
29 Basi kama hakuna ufufuo, watafanyaje wale wabatizwao kwa ajili ya wafu? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, mbona watu wanabatizwa kwa ajili yao?
Ingalino, cilyeconi kubantu abo balabatishiwanga pacebo ca bantu bafwa? Nicani ncobela kwinsa? Na nicakubinga kwambeti Lesa nkelela kupundusha bafwa, mbuli bantu ncobalambanga, inga nipacebo cini bantu ncobalabatishiwanga cebo cabafwa beti bakabule kupundushiwa?
30 Nasi kwa upande wetu kwa nini tunajihatarisha kila saa?
Nipacebo cini afwe ncotulabikilinga buyumi bwetu mumapensho cindi conse?
31 Kama majivuno yangu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu Bwana wetu ni kweli, ndugu zangu, ninakufa kila siku.
Mobanse bame, ame ndalangananga nelufu busuba ne busuba. Nomba ndambilishinga kulitunta kwakame palinjamwe, nikulitunta kwa buyumi bwetu muli Klistu Yesu, kayi ecilampanga kwambeco.
32 Kama kwa sababu za kibinadamu tu nilipigana na wanyama wakali huko Efeso, ningekuwa nimepata faida gani? Kama wafu hawafufuliwi, “Tuleni na kunywa, kwa kuwa kesho tutakufa.”
Lino na ndalalwana ne bantu abo bela kwambweti nibanyama kuno ku Efenso, kupitila mumiyeyo ilafumunga kubantu, inga ndalacanapo cani? Neco na bafwa nteti bakapunduke, anu caina kwinsa mbuli ncobakute kwambeti. “Katulyani ne kunwa. Pakwinga lilo nitukafwe.”
33 Msidanganyike: “Ushirika na watu wabaya huharibu tabia njema.”
“Kamutabepwa. Cinga cakwenda pamo ne bantu bakute bwikalo bwaipa cikute kwipisha bwikalo bwaina.”
34 Zindukeni mwe na akili kama iwapasavyo, wala msitende dhambi tena; kwa maana watu wengine hawamjui Mungu. Nasema mambo haya ili mwone aibu.
Cangamukani! Shiyani bwikalo bwenu bwaipa. Ndambanga cakumupa nsoni pakwinga mobambi nkamumwishi Lesa.
35 Lakini mtu anaweza kuuliza, “Wafu wafufuliwaje? Watakuwa na mwili wa namna gani?”
Naumbi muntu ngawipusheti, “Inga bafwa nibakapundukeconi? Nibakabe ne mibili ilyeconi?”
36 Ninyi wapumbavu kiasi gani? Mpandacho hakiwi hai kama hakikufa.
Uku nikwipusha kwakutabila! Mukute mwafumbika nseke mubulongo, nkaikute kumena kaitana ibeti ilabolo.
37 Mpandapo, hampandi mwili ule utakao kuwa, bali mwapanda mbegu tu, pengine ya ngano au ya kitu kingine.
Kayi nkamwela kubyala nseke shamena kendi, nsombi inseke shine, na ni shamaila nambi shacishango camushobo uliwonse.
38 Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake.
Lesa eukute kupa mbuto imo ne imo mubili, kwelana ne kuyanda kwakendi.
39 Kwa maana nyama zote si za aina moja. Binadamu wana nyama ya aina moja, wanyama wana aina nyingine, kadhalika ndege na samaki wana nyama tofauti.
Munyemfu wabintu byonse bikute buyumi nkawakoshana sobwe, bantu bakute munyemfu umbi, banyama bakute umbi, nasho inswi shikute munyemfu umbi.
40 Pia kuna miili ya mbinguni na miili ya duniani, lakini fahari wa ile miili ya mbinguni ni wa aina moja na fahari wa ile miili ya duniani ni wa aina nyingine.
Pali mibili yakwilu, kayi neya pacishi capanshi, nabo bulemu bwa mibili yakwilu bwapusana ne bulemu bwa mibili yapacishi capanshi.
41 Jua lina fahari ya aina moja, mwezi nao una fahari yake na nyota pia, nazo nyota hutofautiana katika fahari.
Lisuba nkalyakoshana ne mwenshi, nawo mwenshi nkawakoshana ne nyenyenshi, nasho nyenyenshi nkashakoshana sobwe.
42 Hivyo ndivyo itakavyokuwa wakati wa ufufuo wa wafu. Ule mwili wa kuharibika uliopandwa, utafufuliwa usioharibika,
Umu emoti ikabele mibili pakupunduka kubafu. Mubili ngotukute kubika mumanda ukute kuya kubola, nomba wapundushiwa nteti ukabole sobwe.
43 unapandwa katika aibu, unafufuliwa katika utukufu, unapandwa katika udhaifu, unafufuliwa katika nguvu,
Pakubika mubilli mumanda ukute koli waipa, kayi wabula ngofu, nomba pakupunduka nukabe wabeka! Ukute ngofu!
44 unapandwa mwili wa asili, unafufuliwa mwili wa kiroho. Kama kuna mwili wa asili, basi kuna mwili wa kiroho pia.
Mubili ukute kubikwa mumanda ni mubili wabuntu, pakupunduka nukabe mubili wa mushimu. Nditu na pali mubili wabuntu, anu nawo mubili wa mushimu nkoli.
45 Kwa hiyo imeandikwa, “Mtu wa kwanza Adamu alifanyika kiumbe hai”; Adamu wa mwisho, yeye ni roho iletayo uzima.
Pakwinga Mabala a Lesa alambangeti, “Adamu muntu mutanshi walalengweti abe muyumi” Nomba Adamu wakupwililisha emushimu ukute kupa buyumi.
46 Lakini si ule wa kiroho uliotangulia, bali ni ule wa asili, kisha ule wa kiroho.
Neco, tulabono kwambeti ntewo mubili wa mushimu wela kutanguna, nsombi usa mubili wabuntu, wakonkapo ni mubili wa mushimu.
47 Mtu wa kwanza aliumbwa kwa mavumbi ya ardhini, mtu wa pili alitoka mbinguni.
Muntu wakutanguna walikuba wapacishi capanshi, kayi walabumbwa kufumina kubulongo, muntu walakonkapo walafumina kwilu kumayoba.
48 Kama vile alivyokuwa yule wa ardhini, ndivyo walivyo wale walio wa ardhini; na kwa vile alivyo mtu yule aliyetoka mbinguni, ndivyo walivyo wale walio wa mbinguni.
Mbuli muntu wakutanguna walabumbwa kufumina kubulongo ncalikuba encobabele bapacishi capanshi, mbuli uyo wakwilu kumayoba ncabele encobabele nabo bakwilu.
49 Kama vile tulivyochukua mfano wa mtu wa ardhini, ndivyo tutakavyochukua mfano wa yule mtu aliyetoka mbinguni.
Lino mbuli ncotwakoshana ne uyo walabumbwa kufumina kubulongo, kayi nitukakoshane ne uyo walafuma kwilu kumayoba.
50 Ndugu zangu nisemalo ni hili: nyama na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu, wala kuharibika kurithi kutokuharibika.
Mobanse bame, cintu ncondambanga nicakwambeti, muntu ukute mubili wa munyemfu ne milopa nkela kwingila mu Bwami bwakwilu sobwe, nambi cikute kufwa, kuba citabolo.
51 Sikilizeni, nawaambia siri: Sote hatutalala, lakini sote tutabadilishwa
Nyumfwani cancine ncine casolekwa, nteti tukafwe twense.
52 ghafula, kufumba na kufumbua, parapanda ya mwisho itakapolia. Kwa kuwa parapanda italia, nao wafu watafufuliwa na miili isiyoharibika, nasi tutabadilishwa.
Pakwinga tolompita yakalila twense nitukashinte popelapo, mbuli kukapula kwa linso. Pakwinga tolompita yakalila bafwa nibakapunduke, nteti tukafwepo kayi twense nitukashinte.
53 Kwa maana mwili huu wa kuharibika lazima uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa lazima uvae kutokufa.
Pakwinga mibili ikute kubola yela kuba itabolo. Cikute kufwa cela kushinta kuba citafu.
54 Kwa hiyo, mwili huu wa kuharibika utakapovaa kutokuharibika, nao huu mwili wa kufa utakapovaa kutokufa, ndipo lile neno lililoandikwa litakapotimia: “Mauti imemezwa kwa kushinda.”
Ici cakenshika kwambeti, cikute kubola cakashinta kuba citabolo, kayi ceshikufwa cakashinta kuba citafu, popelapo Mabala a Lesa nakakwanilishiwe alambangeti, “Lufu lulalobo kayi kukoma kulashiki.
55 “Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako? Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?” (Hadēs )
Obe lufu inga kukoma kwakobe kulikupeyo? Obe lufu inga ngofu shakobe shilikupeyo?” (Hadēs )
56 Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria.
Lufu lwalafuma kubwipishi, nabo bwipishi bwalafuma ku mulawo.
57 Lakini ashukuriwe Mungu, yeye atupaye ushindi kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Nomba tulalumbunga Lesa latupanga ngofu shakukoma kupitila muli Mwami wetu Yesu Klistu!
58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapenzi, simameni imara, msitikisike, mzidi sana katika kuitenda kazi ya Bwana, kwa maana mnajua ya kuwa, kazi yenu katika Bwana si bure.
Neco, mobanse bame, kamwimanani ncili. Sebensani ncito ya Mwami cindi conse, pakwinga mucisheti ncito ya Mwami njemulenshinga nteyo yabulyo sobwe.