< 1 Wakorintho 13 >

1 Hata kama nitasema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa kengele inayolialia au toazi livumalo.
Nkali meleketaga ibheleketo yowe ya bhandunji na ya ashimalaika, monaga nepelaga kupingana na bhandu, nne njibha mbuti lidebhe lyangali shindu eu kengele.
2 Ningekuwa na karama ya unabii na kujua siri zote na maarifa yote, hata kama nina imani kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, mimi si kitu.
Kabhili, ngolaga kalama ja londola na lunguya ntenga gwa a Nnungu, na kwiimanya indu ya nng'iyo na ya lunda na kola ngulupai ja malila, nkali kombola kuamiya itumbi, ikabheje nepelaga pingana na bhandunji, nne nngabha shindu.
3 Kama nikitoa mali yote niliyo nayo na kama nikijitolea mwili wangu uchomwe moto, kama sina upendo, hainifaidi kitu.
Ndolaga indu yangu yowe nikwaapanganga bhaalaga, nkali niishoyaga shiilu shangu shijokwe moto, nepelaga pingana na bhandu, shakwa sha mbwaila.
4 Upendo huvumilia, upendo hufadhili, upendo hauoni wivu, hauna majivuno, hauna kiburi.
Apingana na bhandu, anakwiipililila, na anakola uguja, na jwangali lupimililo, na akakwiipuna na wala jwangali miinjili.
5 Haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, hauweki kumbukumbu ya mabaya.
Apingana na bhandu, anakwiitimalika na akaloleya pwaida jakwe nnyene, wala akatumbala na akakwiibhika muntima yangali ya mmbone,
6 Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
akaangalila yangali ya mmbone, ikabhe anaangalila ili ya kweli.
7 Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.
Apingana na bhandu akaatotoshela, akaaleka kulupalila na anakwiipililila yowe.
8 Upendo haushindwi kamwe. Lakini ukiwepo unabii, utakoma; zikiwepo lugha, zitakoma; yakiwepo maarifa, yatapita.
Kupingana na bhandu, kwangali mpelo. Monaga kupagwaga kulunguya ntenga gwa a Nnnugu, shikupele, kupagwaga kubheleketa shibheleketo sha ambi, shikupele, nkali lupagwaga lumanyio, shikupite.
9 Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.
Pabha indu itukwiimanya na londola ishokope.
10 Lakini ukamilifu ukija, yale yasiyo kamili hutoweka.
Ikabheje malanga gushigaishe gatimilile gala, gowe gangatimilila shigapele.
11 Nilipokuwa mtoto, nilisema kama mtoto, niliwaza kama mtoto, nilifikiri kama mtoto. Nilipokuwa mtu mzima niliacha mambo ya kitoto.
Punaliji mwana jwanshoko nashinkubheleketa malinga mwana, nashinkumanya malinga mwana, natendaga ganishiya malinga mwana. Ikabheje ngakuleje, indu yowe ya shigwana njileka.
12 Kwa maana sasa tunaona taswira kama kwa kioo, lakini wakati huo tutaona wazi. Sasa nafahamu kwa sehemu, wakati huo nitafahamu kikamilifu, kama vile mimi ninavyofahamika kikamilifu.
Pabha itukwiibhona nnaino, ni mbuti shiwili nshioo tukawiibhona ukoto, ikabheje gene malangago shitwiibhone ukoto. Nnaino ingwiimanya ishokope, ikabheje kungai shiniimanye yowe ukoto, malinga a Nnungu shibhaamanya nne.
13 Basi sasa, yanadumu mambo haya matatu: Imani, tumaini na upendo. Lakini lililo kuu miongoni mwa haya matatu ni upendo.
Bhai nnaino ilonjeya itatu, ngulupai na kukulupalila na pingana, ikabheje shikulungwa kaje ni kupingana.

< 1 Wakorintho 13 >