< 1 Wakorintho 13 >
1 Hata kama nitasema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa kengele inayolialia au toazi livumalo.
Neingate ninchova munjovele inchavanu ninchavasuhwa pu neingave neilimbula lugano, puniva neivile khyuma eikhikuta vuvule.
2 Ningekuwa na karama ya unabii na kujua siri zote na maarifa yote, hata kama nina imani kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, mimi si kitu.
Nukhuta neilineikhikungilwa eikhyavunya malago nuvumanyi uwayieilweli uvuleikhuvutitu nuluhala, nukhuta neilinu lweideekho ulwa khuhamya ifyamba. Puleino neingave neilenchila lugano une pusaneilikhinu.
3 Kama nikitoa mali yote niliyo nayo na kama nikijitolea mwili wangu uchomwe moto, kama sina upendo, hainifaidi kitu.
Putute nihumya ikhyuma khyango khyooni nukhuvmisya avaganchu nu pungave nikhunumya umbeili gwango punienya nyiwe umwoto, puneingave neilembula lugano sayikhu mbumbuleila khinu.
4 Upendo huvumilia, upendo hufadhili, upendo hauoni wivu, hauna majivuno, hauna kiburi.
ulugano lwisipa hange lutungila salukhiginia. Salukhito ncha luleinchila matingo.
5 Haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, hauweki kumbukumbu ya mabaya.
Luleinchila vugalagala salulonda imbombo incha lwene lwene. Salwivawa khimbeivembeive hange saluvalila uvuvivi.
6 Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
Saluhovokha uvusyovi puleino luhovokha mumbwayie lweli.
7 Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.
Lelugano lwisipa gooni lukhwi deekha gooni, luleinuvukifu khumbombo nchooni hange lukhwidehana khu mbombo nchooni.
8 Upendo haushindwi kamwe. Lakini ukiwepo unabii, utakoma; zikiwepo lugha, zitakoma; yakiwepo maarifa, yatapita.
Ulugano salwiduga eingave khulinuvumanyi wa malago wooni wiluta, eingave khuli njovele nchiduga eingave khulifyavumanyi filuta.
9 Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.
Ulwa khuva tukhimanyile panini, tuvomba uvunyamalago panini.
10 Lakini ukamilifu ukija, yale yasiyo kamili hutoweka.
Puyakhiva yiekhwincha yiela eiyinogelanile, yiela iyiesayienogelanile yiluta.
11 Nilipokuwa mtoto, nilisema kama mtoto, niliwaza kama mtoto, nilifikiri kama mtoto. Nilipokuwa mtu mzima niliacha mambo ya kitoto.
Upuniale deebe nia njovaga ndu mwana, niliekhusaga ndu mwana, niavile neivile munu mbaha neikhagaveikha aga khuvulali agavudebe.
12 Kwa maana sasa tunaona taswira kama kwa kioo, lakini wakati huo tutaona wazi. Sasa nafahamu kwa sehemu, wakati huo nitafahamu kikamilifu, kama vile mimi ninavyofahamika kikamilifu.
Ulwa khuva leino twilola ndeikhilolelo ndeisula eiya muhisi puleino useikhi gula yatulolanaga khumiho, puleino neikhimanyi padebe pu useikhi gula yanikhukhimanya fincho nduvu une neima nyikhikhe fincho.
13 Basi sasa, yanadumu mambo haya matatu: Imani, tumaini na upendo. Lakini lililo kuu miongoni mwa haya matatu ni upendo.
Pu leino aga gadatu yagita maga ulweidekho, uluhuveilo nulugano, puleino elivaha ukhulutiila gooni ulugano.