< 1 Wakorintho 12 >

1 Basi ndugu zangu, kuhusu karama za rohoni, sitaki mkose kufahamu.
Ipegwa niakinkolo nnulakiwe, akaka niadada ane singa ndoilwe muhite kulenga.
2 Mnajua kwamba mlipokuwa watu wasiomjua Mungu, kwa njia moja au ingine mlishawishika na kupotoshwa mkielekezwa kwa sanamu zisizonena.
Muleengile kina naemianyakilungu aemumanyisigwe kuatyata iadudu nisingaeligitya, kunzila yehi aemumanyisigwe kunyenso.
3 Kwa hiyo nawaambieni ya kuwa hakuna mtu anayeongozwa na Roho wa Mungu anayeweza kusema, “Yesu na alaaniwe.” Pia hakuna mtu awezaye kusema, “Yesu ni Bwana,” isipokuwa ameongozwa na Roho Mtakatifu.
Kuite gwa, ndoilwe mulenge kina kutile wehi nukutambula kunkolo ang'wi Tunda wikalunga, “U Yesu uzumilwe.” Kutile wehi nukutambula, U Yesu Mukulu” inge kung'waung'welu udu.
4 Kuna aina mbalimbali za karama, lakini Roho ni yule yule.
Inge upegwa ilekanukile, inkolo gwa yeyo yiyo udu.
5 Kuna huduma za aina mbalimbali, lakini Bwana ni yule yule.
I milemo nunyenso nemyenso ilekamukile, Umukulu inge yuyoyuyoo udu.
6 Kisha kuna tofauti za kutenda kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu wote.
I milemo nenyenso edu, kuite Itunda yuyo ng'wenso nuituma imilemo ehi kuehi.
7 Basi kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.
Inge kela ung'wi wipegwe uluguilwa nuankolo kuaailya ehi.
8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.
Kondogoilyo umuntu wapegwe inkolo lukani lakukulya, numuya lukani la mahala kunkolo yiyo yiyoo udu.
9 Mtu mwingine imani kwa huyo Roho na mwingine karama za kuponya kwa huyo Roho mmoja.
Kumuya ukumupa uhueli unkolo nyenso yiyo, nukumuya kipegwa kakuponia kunkolo ing'wi.
10 Kwa mwingine matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa mwingine kupambanua roho, kwa mwingine aina mbalimbali za lugha, na kwa mwingine bado, tafsiri za lugha.
Kumuya ntendo niangulu, numuya kinyakedagu. Nukumuya ukumi nuakulenga inkolo, umuye aina yedu niantambu, nukumuya kumanya intambu.
11 Haya yote hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia kila mtu, kama apendavyo.
Kuite inkolo yiyo yiyoo nikituma imilimo ehi eye, kumupakela umuntu ekipegwa anganusague nuanso ng'wenso.
12 Kama vile mwili ulivyo mmoja nao una viungo vingi, navyo viungo vyote vya mwili ingawa ni vingi, ni mwili mmoja, vivyo hivyo na Kristo.
Kundogoilyo anga uu umuili nuung'wi, nuwenso ukete iungo duu, niungo yehi inge yamuili wuwo wuwo udu, uu lukulu nu Kilisto.
13 Kwa maana katika Roho mmoja wote tulibatizwa katika mwili mmoja, kama ni Wayahudi au Wayunani, kama ni watumwa au watu huru, nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja.
Kundogoilyo kunkolo eng'wi usese keehi aekubadisigwe kutula mueli ung'wi, kina kiayahudine ang'wi keayunani, kina kiatugwane ang'wi keidesi, hange kehi aekung'wee inkolo eng'wi.
14 Basi mwili si kiungo kimoja, bali ni viungo vingi.
Kundogoilyo umuili singa keungo king'wi, inge yedu.
15 Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo mguu usiwe sehemu ya mwili.
Angeze umugulu ukulunga, “kunsoko une singanemokono, une singa nipalung'wi numuili,” ite singa yeunonee umuili kuhita kutula palung'wi.
16 Na kama sikio lingesema, “Kwa kuwa mimi si jicho, basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya hilo sikio lisiwe sehemu ya mwili.
Hange ang'wi ukutye ukulinga, “kunsoko unene singa neliho, unene singanipalung'wi numuili,” ite shayelinonee umuili kukila kutula palung'wi.
17 Kama mwili wote ungelikuwa jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?
Ang'wi umuuli wehi ukutula liku, ae - ezeikolepi kijaa? Ang'wi umuili wehi ae - eze kutye, ae - ezeikulipe kunywisha?
18 Lakini kama ilivyo, Mungu ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama alivyopenda.
Kuite Itunda ae uekile kela ekeungo kamuili pang'wa akwe anga naupangile ung'wenso.
19 Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
Hange anga yehi aeeze keungo king'wi, umuili ae - eze ukulepi?
20 Kama ulivyo, una viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.
Kuite itungo ele iiungo yedu, kuite umuili ung'wi du.
21 Jicho haliwezi kuuambia mkono, “Sina haja nawe!” Wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu, “Sina haja na ninyi!”
Iliho shalehumila kuuila umukono, “nimugila anga ukeli nuewe, nitye shalehumuile kuuila umugulu, “nemugila uukeli nunyenye.
22 Lakini badala yake, vile viungo vya mwili vinavyoonekana kuwa dhaifu, ndivyo ambavyo ni vya muhimu sana.
Kuite iiungo niamuili neyigee kutula ngila anga kusanigwa kesa, inge isanigwe kukila.
23 Navyo vile viungo tunavyoviona havina heshima, ndivyo tunavipa heshima maalum. Vile viungo vya mwili ambavyo havina uzuri, tunavipa heshima ya pekee;
Niiungo niamuili nikulungile isanigwe ininoo kuipee kusanigwa kukila, niiungo yitu nimbimbimbi ikete uuza kukila.
24 wakati vile viungo vyenye uzuri havihitaji utunzaji wa pekee. Lakini Mungu ameviweka pamoja viungo vya mwili na akavipa heshima zaidi vile vilivyopungukiwa,
Nitungo ele iiungo yitu niiza ngila anga ukeli nuakupegwa ikulyo, kunso yakonda kutula nikulyo. Kuite Itunda uikinyinkanilye iiungo yehi palung'wi, hange uipee ukulyo kukila izi nesingaikuigwe.
25 ili pasiwe na mafarakano katika mwili, bali viungo vyote vihudumiane kwa usawa kila kimoja na mwenzake.
Autendile ite nsoko itule tile uwikomi nuamuili, inge iiungo yehi yikele kuulowa nua palung'wi.
26 Kama kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia pamoja nacho, kama kiungo kimoja kikipewa heshima, viungo vyote hufurahi pamoja nacho.
Nitungo ekeiungo keng'wi anga kilemaale, iungo yehi yilemaala palung'wi. Ang'wi itungo ekeungo keng'wi anga kekuligwe, iungo yehi yelowe palungwi.
27 Sasa ninyi ni mwili wa Kristo na kila mmoja wenu ni sehemu ya huo mwili.
Itungo ile unye memuili wang'wa Kilisto, nikeungo kele ung'wi duu kumuya.
28 Mungu ameweka katika kanisa, kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu, kisha watenda miujiza, pia karama za kuponya, karama za kusaidiana, karama za uongozi, aina mbalimbali za lugha.
Hange Itunda uekile mitekeelo ng'wandyo amitume, kabiili anyakidagu, akatatu amanyisi, hange nawa ehi neetendo intendo ninkulu, hange ipegwe yakuponia, nawa niiailya nawa neituma umulemo nuakutongeela, hange ehi neakete iaina niedu niantambu.
29 Je, wote ni mitume? Je, wote ni manabii? Je, wote ni walimu? Je, wote wanatenda miujiza?
Itee use kehi kemetumene? Use kehi keanyakidagune? Use kehi kiamanyisine? Itee use kehi ketenda imatendo amakulene?
30 Je, wote wana karama ya kuponya? Je, wote hunena kwa lugha mpya? Je, wote wanatafsiri?
Itee use kehi kupegilwe kuponia ne? Use kehi keligitya kunenene? Use kehi kuimanyilene intambuu?
31 Basi tamanini sana karama zilizo kuu. Nami nitawaonyesha njia iliyo bora zaidi.
Numi kukila ipegwa niikulu. Nunene kumulagiila inzila nenza kukila.

< 1 Wakorintho 12 >