< 1 Wakorintho 11 >

1 Igeni mfano wangu, kama ninavyouiga mfano wa Kristo.
Mufuate ani ndeshe ani shihufuata UKristi. Ishi imbatima pipo muhunkumbuha humambo ganti.
2 Ninawasifu kwa kuwa mnanikumbuka katika kila jambo na kwa kushika mafundisho niliyowapa.
Imbatima mugakhata amaposhelo ndeshe shingaletile humwinyu.
3 Napenda mfahamu kwamba kichwa cha kila mwanaume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanaume, nacho kichwa cha Kristo ni Mungu.
Ishi ihwanza mumanye aje uKristi litwe lya kila nume, wope yenume litwe lya kila nshi, na huje Ungulubhi litwe lya Kristi.
4 Kila mwanaume anayeomba au kutoa unabii akiwa amefunika kichwa chake, anakiaibisha kichwa chake.
Kila nume yaputa afumye ubhunabii itwa lyakwe libhanje ligubibashe na ahulikenyensya itwe lyakwe.
5 Naye kila mwanamke anayeomba au kutoa unabii pasipo kufunika kichwa chake, anakiaibisha kichwa chake, kwani ni sawa na yeye aliyenyoa nywele.
Kila nshiyalabha au afumye uunabii abhanje agubishe itwe lyakwe nkesaga agubiha itwe ahulikenyensya itwe lyakwe. Pipo alisawa nu muntu yasyenkuye isisi.
6 Kama mwanamke hatajifunika kichwa chake, basi inampasa kunyoa nywele zake. Lakini kama ni aibu kwa mwanamke kukata au kunyoa nywele zake, basi afunike kichwa chake.
Nke unshi agubishe itwe lyakwe asyenkule insinsi zyakwe ziwe mfupi. Maana zyinso umuntu unshi asyenkule insisi zyakwe au akatwe basi azigubishe itwe lyakwe.
7 Haimpasi mwanaume kufunika kichwa chake kwa kuwa yeye ni mfano wa Mungu na utukufu wa Mungu, lakini mwanamke ni utukufu wa mwanaume.
Si hwanziwa unume agubishe itwe lyakwe, pipo umwene shifani ishi tuntumu uwa Ngulubhi. Lakhini tuntumu uwanume.
8 Kwa maana mwanaume hakutoka kwa mwanamke, bali mwanamke alitoka kwa mwanaume.
Unume sagahafumile hwa nshi ila unshi ahafumiline nu nume.
9 Wala mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanaume.
Unume saga abhumbilwe kwajili ya nnshi. Ila unshi ahabhumbilwe kwajili ya nume.
10 Kwa sababu hii na kwa sababu ya malaika, inampasa mwanamke awe na ishara ya mamlaka juu yake.
Ndyo maana unshi ahwanziwa abhe ishala na mamlaka hwitwe lyakwe kwa sababub ya malaika.
11 Lakini katika Bwana, mwanamke hajitegemei pasipo mwanaume na mwanaume hajitegemei pasipo mwanamke.
Hata shimisho hwa Gosi, unshi nuno bila nume au unume nila nshi, unume numo.
12 Kama vile mwanamke alivyoumbwa kutoka kwa mwanaume, vivyo hivyo mwanaume huzaliwa na mwanamke. Lakini vitu vyote vyatoka kwa Mungu.
Maana ndeshe unshi nkahafumile hwa nume, shishila unume ahafumiline nu nshi. Ni vintu vyonti vifuma hwa Ngulubhi.
13 Hukumuni ninyi wenyewe: Je, inafaa kwa mwanamke kumwomba Mungu bila kufunika kichwa chake?
Muyilonje mwimimwi: Lyoli! unshi apute Ungulubhi bila agubishe itwe lyakwe?
14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?
Afume imandi sebhamanyizya iya huje unume nkabha ni nsisi intali tuntumhukwakwe? maana apewilwe zila insisi intali ndeshe umwanda wakwe?
15 Lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni utukufu kwake? Kwa maana mwanamke amepewa nywele ndefu ili kumfunika.
Je afume imandi sebhamanyizya huje unshi nkabha ni nsisi intali tuntumu wakwe?
16 Kama mtu anataka kubishana juu ya jambo hili, sisi wala makanisa ya Mungu hatutambui desturi nyingine.
Maana apewilwe zila insisi intali ndeshe umwenda wakwe. Nku umuntu wowonti ahwanza adalisye wala ishibhanza sha Ngulubhi.
17 Basi katika maagizo yafuatayo, siwezi kuwasifu, kwa sababu mkutanikapo si kwa ajili ya faida bali kwa hasara.
Hundajizyo zyezihwinza, ani sihubhatima. Maana amwi lwe mubhungana se hwi faida ila huhasala.
18 Kwanza, mnapokutana kama kanisa, nasikia kwamba kuna mgawanyiko miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki kuwa ndivyo ilivyo.
Maana ihumvwa, huje lwe mubhungana mshibhanza, huli nu lugabhanyo kati yinyu nani hadodo ihwitiha.
19 Bila shaka lazima pawe na tofauti miongoni mwenu ili kuonyesha ni nani anayekubaliwa na Mungu.
Kwa ihwanziwa zibhe intaamyo kati yinyu aje bhabhaala, bhebhitihwilwe bhamanyishe hulimwe.
20 Mkutanikapo pamoja si chakula cha Bwana mnachokula,
Maana lemubhungana shemulya seshalye sha Gosi.
21 kwa kuwa mnapokula, kila mmoja wenu anakula bila kuwangoja wengine. Mmoja hukaa njaa na mwingine analewa.
Lwe mulya kila muntu alya ishalye shakwe yuya kabla ya bhanji sebhaliye. hata unu ali ni nzala, unu akholilwe.
22 Je, hamna nyumbani kwenu ambako mnaweza kula na kunywa? Au mnalidharau kanisa la Mungu na kuwadhalilisha wale wasio na kitu? Niwaambie nini? Je, niwasifu juu ya jambo hili? La, hasha!
Je semuli ni nyumba iyalile na mwelele? Je mzarabhunye ishibhanza sha Ngulubhi na hubhapele insoni bhesebhali na Hantu? Njanje henu hulimwe? Imbatime? Simbatuma hwi ili!
23 Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa Bwana yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana Yesu, usiku ule aliposalitiwa, alitwaa mkate,
Maana nahaposhile afume hwa Gosi shila shimbapiye amwi aje Ugosi uYeesu, usiku alongwa ahejile ikati.
24 naye akiisha kushukuru, akaumega, akasema, “Huu ndio mwili wangu, uliotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.”
Baada ya salifye, abhuvunzile naje ubhu wembili wani, “Ubhu we mbili wani, wewili kwaajili yinyu. Mubhombe ishi hunkumbushe ani.”
25 Vivyo hivyo baada ya kula, akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu. Fanyeni hivi kila mnywapo, kwa ukumbusho wangu.”
Nashinishi ahejile inshikombe baada yalye, naje “Ishikombe ishi ndajizyo midanda lyani.” Mbhombe ishi hahinji kila le mumwela hwa hunkumbushe ani.”
26 Maana kila mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki, mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo.
Uwakati wowonti lemulya ishalye ishi na hushimwelele ishikombe, mlumbilila ufwewa Yesu mpaka lwa hayiyinza.
27 Kwa hiyo, mtu yeyote alaye mkate huo au kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.
Kwa hiyo wowonti ya lya ishalye au hushimwelele ishikombe isho isha Yesu sheyihwanziwa, abhabhe ayipiye ubhibhi wimbili ni danda lya Yesu.
28 Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.
Umuntu ayibhuzilizye yuyo asuti, nkalyanje ishalye na mwelele ishikombe.
29 Kwa maana mtu yeyote alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana, hula na kunywa hukumu juu yake mwenyewe.
Maana yalya na mwele bila asubhilile ubili alya na mwele alongwe hwakwe yuyo.
30 Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.
Nduyo maana abhantu abhinji bhabhinu bhamo bhafwiye.
31 Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.
Lakhini nke twayenya timti setahayilongwa ishibhakaka.
32 Tunapohukumiwa na Bwana, tunaadibishwa ili tusije tukahukumiwa pamoja na ulimwengu.
Ila lyetilongwa nu Yesu, tiwelwa ili huje tisahalongwe peka ni nnsi.
33 Kwa hiyo, ndugu zangu, mkutanikapo pamoja ili kula, mngojane.
Ishi, bhakaka na dada bhani, lwe mubhungama mpate alye, mugulilane.
34 Kama mtu akiwa na njaa, ale nyumbani kwake ili mkutanapo pamoja msije mkahukumiwa. Nami nitakapokuja nitawapa maelekezo zaidi.
Umuntu nkani nzala alye hukhaya yakwe hujelwe mubhungana peka nsahabhe hulongwi humambo aganjige msimbile naibhabhuzya lyenayiyinza.

< 1 Wakorintho 11 >