< 1 Wakorintho 11 >

1 Igeni mfano wangu, kama ninavyouiga mfano wa Kristo.
Yi yilam nob merangka ki mo, na wo min nii merangka ki Kiristi Yesu.
2 Ninawasifu kwa kuwa mnanikumbuka katika kila jambo na kwa kushika mafundisho niliyowapa.
Na weu min chaklang kom wori mor dikero gwam kom kwayeti. Mi chaklang komti wori kom tam kibi kwan dikero ka chiya chikeu dong-dong na wo ma nekome.
3 Napenda mfahamu kwamba kichwa cha kila mwanaume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanaume, nacho kichwa cha Kristo ni Mungu.
Teluwe nubbe gwam, teluwe nawiye nii nabare, kwama cho teluwe Kiristi.
4 Kila mwanaume anayeomba au kutoa unabii akiwa amefunika kichwa chake, anakiaibisha kichwa chake.
Nii nabare wo kwob dilo kaka ker dukumer, dor chero chumom chumeri nebo teluwe dur.
5 Naye kila mwanamke anayeomba au kutoa unabii pasipo kufunika kichwa chake, anakiaibisha kichwa chake, kwani ni sawa na yeye aliyenyoa nywele.
La nawiye wo kwob dilo kaka tok ker dukumer dor chero chombo chomeri, nebo teluwe che dur. Won yila na dikero namwi dor chero charum-chare.
6 Kama mwanamke hatajifunika kichwa chake, basi inampasa kunyoa nywele zake. Lakini kama ni aibu kwa mwanamke kukata au kunyoa nywele zake, basi afunike kichwa chake.
No nawiye mani a chwom dor certiri, cha mwatum yiri cheto bi kwenje. No diker kwenduwer nawiye na mwatum yiri duwe cheri kaka charum di, cha chumom dor chero.
7 Haimpasi mwanaume kufunika kichwa chake kwa kuwa yeye ni mfano wa Mungu na utukufu wa Mungu, lakini mwanamke ni utukufu wa mwanaume.
nii nabare mani a chumom dor cherti, wori chon cherken kange duktonka kwama, La nawiye duktongka nii nabarek.
8 Kwa maana mwanaume hakutoka kwa mwanamke, bali mwanamke alitoka kwa mwanaume.
wori nii nabare chi fwellu bo nawiye nin, nyori, nawiye chi fwellu nu nabare nine.
9 Wala mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanaume.
Chi fwelbo nawiye nin nii nabare, nawiye chi fwellu ki nii nabare.
10 Kwa sababu hii na kwa sababu ya malaika, inampasa mwanamke awe na ishara ya mamlaka juu yake.
wuro cho dike bwi nawiye a yilamti ki yirom bikwan keret dor chere ker nobb tomange wuccake.
11 Lakini katika Bwana, mwanamke hajitegemei pasipo mwanaume na mwanaume hajitegemei pasipo mwanamke.
kebo nyo tak ri, mor teluwe nawiye yibo dor cher fiye nii nabare wiye, nyo nii nabare keneu yibo dor cherfiye nawiye nine.
12 Kama vile mwanamke alivyoumbwa kutoka kwa mwanaume, vivyo hivyo mwanaume huzaliwa na mwanamke. Lakini vitu vyote vyatoka kwa Mungu.
na wo nawiye bou nii nabare, Nyo nii nabare bou nawiye nin, dikero gwam bou kwamam nin.
13 Hukumuni ninyi wenyewe: Je, inafaa kwa mwanamke kumwomba Mungu bila kufunika kichwa chake?
Kom warkero ki bwikimi, yori kabo nawiye a kwob dilo kwama nin dor chero wumom-wume ka?
14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?
Kebo nyo yim bembo ki bwichi merang kimen ki no yiri nii nabare chwiyemi ri diker kwenduwer chinene ka?
15 Lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni utukufu kwake? Kwa maana mwanamke amepewa nywele ndefu ili kumfunika.
Kebo nyo yim bembo ki bwichi merang kimen, no nawiye ki yirito chwiyem chwiyemeri, duktongka che ka? wori chi necho yirito na yilam diker chomkar.
16 Kama mtu anataka kubishana juu ya jambo hili, sisi wala makanisa ya Mungu hatutambui desturi nyingine.
No kange wi ki kwalkan ke dor dikero wori nyo manki dike kange nyo bwanten kwama.
17 Basi katika maagizo yafuatayo, siwezi kuwasifu, kwa sababu mkutanikapo si kwa ajili ya faida bali kwa hasara.
la mor dike bwangu kero weu, mani ma chaklang komti, wori no kom mwerye kangi ri mani kom ma dikero ken kom ki maka dikero bwir.
18 Kwanza, mnapokutana kama kanisa, nasikia kwamba kuna mgawanyiko miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki kuwa ndivyo ilivyo.
Ki terka, min nuwa no kom nob kwamab ki mwerkangi ri, yalkanka wi more kume, mor kange min chiya chiko.
19 Bila shaka lazima pawe na tofauti miongoni mwenu ili kuonyesha ni nani anayekubaliwa na Mungu.
Wo an tam yalkangka wi muwore kume, na nnyori nubbo chiya chikeu na cheru more kume.
20 Mkutanikapo pamoja si chakula cha Bwana mnachokula,
wo no kom mwerkangi ri kebo chari kwaka ki teluwe be kom chatiye.
21 kwa kuwa mnapokula, kila mmoja wenu anakula bila kuwangoja wengine. Mmoja hukaa njaa na mwingine analewa.
No kom chatiri, wo ki cha na che na tannebo cha chiye, kangumbo cham. kange nuwa wurati, kange nom ducce.
22 Je, hamna nyumbani kwenu ambako mnaweza kula na kunywa? Au mnalidharau kanisa la Mungu na kuwadhalilisha wale wasio na kitu? Niwaambie nini? Je, niwasifu juu ya jambo hili? La, hasha!
kom manki luwe ka chati, ka notiwiye ka? kom chweye kangum mwerkangka nob kwamab takeu kom ne nubbo manchike dotange. Ye ma yikom tiye? chaklang kom ka? mani ma chaklang komti wonin.
23 Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa Bwana yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana Yesu, usiku ule aliposalitiwa, alitwaa mkate,
Wori dike ma ywou teluwe be nine cho mi ne kom tiye, teluwe be Yesu kume chi miyem cheu tuu tii Liita.
24 naye akiisha kushukuru, akaumega, akasema, “Huu ndio mwili wangu, uliotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.”
Bwiko cho bu kangeri, cheom wulangi chon yi ki, “Wo bwini chi ne komme, kom mawo na kwakako che kange mo.”
25 Vivyo hivyo baada ya kula, akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu. Fanyeni hivi kila mnywapo, kwa ukumbusho wangu.”
Nure wo tak chon tuu kwele bwiko tii llitau, chon yi ki kwelewo na norro fwirko che chi chiya chike mor bwiyale mi. Kom ma wo kir-kir na kwaka miko che.
26 Maana kila mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki, mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo.
Dike ka cha tii liita we, ka no kwele kom ki kwadir bwaret teluwe be ya chiko bi diye cha boutiye.
27 Kwa hiyo, mtu yeyote alaye mkate huo au kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.
Nyori nii wo cha tiyowe, noo mor kwele teluwe be ki dike datenbe ri, chin ne dikero doatnge bwir bwi kange bwiyale teluwe be.
28 Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.
Nyori kom ter chuwaka dorek kumeko nimre kom cha tii liita, na kom noo mor kwele wo.
29 Kwa maana mtu yeyote alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana, hula na kunywa hukumu juu yake mwenyewe.
Wo no cha noo, tikambo bwiyeu, cha noo dor chero nin bolang.
30 Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.
Cho muwore kume kangumbo manki bikwan, nuwabo luma, kangum kimembo dam dum.
31 Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.
La no bi chuwa dor bero tiri mani chiya ma binen bolangti.
32 Tunapohukumiwa na Bwana, tunaadibishwa ili tusije tukahukumiwa pamoja na ulimwengu.
La no teluwe be ma binen bolangri, biki mwekan, nyori na chi kuwa bore kange kale wo.
33 Kwa hiyo, ndugu zangu, mkutanikapo pamoja ili kula, mngojane.
Nyori kom yitub mibo no kom ningtang bwiti.
34 Kama mtu akiwa na njaa, ale nyumbani kwake ili mkutanapo pamoja msije mkahukumiwa. Nami nitakapokuja nitawapa maelekezo zaidi.
No nii wo nuwa wura tiyeri, cha cham lo, la no kom mwerkangi ri, kebo bolang che. dor tanne dikero ka mulangu weu, non bou ri man nung kume nure.

< 1 Wakorintho 11 >