< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam asefo yɛ Set, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Yared,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Henok, Metusela, Lamek,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noa mma ne, Sem, Ham, ne Yafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Na Yafet asefo ne Gomer, Magog, Media, Yawan, Tubal, Mesek ne Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Na Gomer asefo ne Askenas, Rifat ne Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Na Yawan asefo ne Elisa, Tarsis, Kitim ne Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Na Ham asefo ne Kus, Misraim, Put ne Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Na Kus asefo ne Seba, Hawila, Sabta, Raama ne Sabteka. Na Raama asefo yɛ Saba ne Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Kus woo Nimrod. Na Nimrod bɛyɛɛ ɔkofo kɛse wɔ asase so.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Na Misraim woo Ludfo, Anamfo, Lehabfo, Naftuhfo,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Patrusfo, Kasluhfo ne Kaftorfo a wɔn ase na Filistifo fi.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Na Kanaan woo nʼabakan Sidon ne Het,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Yebusifo, Amorifo, Girgasifo,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
Hewifo, Arkifo, Sinifo,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Arwadfo, Semarifo ne Hamatifo tete agya.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Na Sem asefo yɛ Elam, Asur, Arfaksad, Lud ne Aram. Aram asefo ne Us, Hul, Geter ne Mas.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Na Arfaksad woo Sela na Sela woo Eber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Eber woo mmabarima baanu. Wɔtoo ɔbaako din Peleg a ase kyerɛ Nkyekyɛmu, efisɛ nʼawobere mu na kasa ahorow nti, nnipa a wɔwɔ asase so mu kyekyɛe ma wɔhwetee. Na wɔtoo ne nua a ɔka ne ho no din Yoktan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Yoktan woo Almodada, Selef, Hasarmawet, Yera,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal, Abimael, Seba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ofir, Hawila ne Yobab. Eyinom nyinaa yɛ Yoktan asefo.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Ɛno nti, eyi ne anato a efi Sem: Arfaksad, Selah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Tera,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
ne Abram a akyiri no, wɔfrɛɛ no Abraham no.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Abraham mmabarima yɛ Isak ne Ismael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Na Ismael mmabarima nso ne Nebaiot a ɔyɛ nʼabakan, Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma, Duma, Masa, Hadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Yetur, Nafis ne Kedema. Eyinom ne Ismael mmabarima.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Na Abraham mpena Ketura mmabarima ne Simran, Yoksan, Medan, Midian, Yisbak ne Sua. Na Yoksan asefo yɛ Seba ne Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Midian woo Efa, Efer, Henok, Abida ne Eldaa. Eyinom nyinaa yɛ Ketura asefo.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abraham woo Isak. Isak mmabarima yɛ Esau ne Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Na Esau mmabarima yɛ Elifas, Reuel, Yeus, Yalam ne Kora.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Na Elifas mmabarima yɛ Teman, Omar, Sefi, Gatam, Kenas, Timna ne Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Na Reuel mmabarima yɛ Nahat, Serah, Sama ne Misa.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Na Seir mmabarima yɛ Lotan, Sobal, Sibeon, Ana, Dison, Eser ne Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Na Lotan mmabarima yɛ Hori ne Homam. Na Lotan nuabea din de Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Na Sobal mmabarima yɛ Alian, Manahat, Ebal, Sefi ne Onam. Sibeon mmabarima yɛ Aya ne Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Na Ana babarima yɛ Dison. Na Dison mma yɛ Hemdan, Esban, Yitran ne Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Na Eser mmabarima yɛ Bilhan, Saawan ne Akan. Na Disan mmabarima yɛ Us ne Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Eyinom ne ahemfo a wodii Edom so ansa na Israelfo renya ahemfo: Beor babarima Bela, a ɔtenaa kuropɔn Dinhaba so dii hene.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Na Bela wui no, Serah babarima Yobab a ofi Bosra bedii nʼade sɛ ɔhene.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Na Yobab wui no, Husam a ofi Teman asase so bedii nʼade sɛ ɔhene.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Husam wu akyi no, Hadad a ɔyɛ Bedad babarima a okodii Midian so nkonim wɔ Moab asase so no na odii nʼade sɛ ɔhempɔn. Wɔtoo nʼahenkurow no din Hawit.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Hadad wui no, Samla a ofi Masreka kuropɔn mu bɛyɛɛ ɔhene.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Samla wui no, Saulo a ofi Rehobot a ɛda asu Eufrate ho no bedii hene.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Na Saulo wui no, Akbor babarima Baal-Hanan bedii hene.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Baal-Hanan wui no, Hadad tenaa kuropɔn Pai mu dii hene. Na ne yere a wɔfrɛ no Mehetabel no yɛ Matred babea ne Me-Sahab nso nena.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Na Hadad nso wui. Na Edom mmusua no ntuanofo ne Timna, Alia, Yetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Oholibama, Ela, Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Kenas, Teman, Mibsar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Magdiel ne Iram. Eyinom na na wɔyɛ Edom mmusua ntuanofo.

< 1 Nyakati 1 >