< 1 Nyakati 1 >
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Yeret,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Hanok, Metuşelah, Lemek,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Nuh. Nuh'un oğulları: Sam, Ham, Yafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Yafet'in oğulları: Gomer, Magog, Meday, Yâvan, Tuval, Meşek, Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Gomer'in oğulları: Aşkenaz, Difat, Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Yâvan'ın oğulları: Elişa, Tarşiş, Kittim, Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Ham'ın oğulları: Kûş, Misrayim, Pût, Kenan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Kûş'un oğulları: Seva, Havila, Savta, Raama, Savteka. Raama'nın oğulları: Şeva, Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Kûş'un Nemrut adında bir oğlu oldu. Yiğitliğiyle yeryüzüne ün saldı.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Misrayim Ludlular'ın, Anamlılar'ın, Lehavlılar'ın, Naftuhlular'ın, Patruslular'ın, Filistliler'in ataları olan Kasluhlular'ın ve Kaftorlular'ın atasıydı.
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Kenan ilk oğlu Sidon'un babası ve Hititler'in, Yevuslular'ın, Amorlular'ın, Girgaşlılar'ın, Hivliler'in, Arklılar'ın, Sinliler'in, Arvatlılar'ın, Semarlılar'ın, Hamalılar'ın atasıydı.
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Sam'ın oğulları: Elam, Asur, Arpakşat, Lud, Aram, Ûs, Hul, Geter, Meşek.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arpakşat Şelah'ın babasıydı. Şelah'tan Ever oldu.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Ever'in iki oğlu oldu. Birinin adı Pelek'ti, çünkü yeryüzündeki insanlar onun yaşadığı dönemde bölündü. Kardeşinin adı Yoktan'dı.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Yoktan Almodat'ın, Şelef'in, Hasarmavet'in, Yerah'ın, Hadoram'ın, Uzal'ın, Dikla'nın, Eval'ın, Avimael'in, Şeva'nın, Ofir'in, Havila'nın, Yovav'ın atasıydı. Bunların hepsi Yoktan'ın soyundandı.
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sam, Arpakşat, Şelah,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Avram –İbrahim–.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
İbrahim'in oğulları: İshak, İsmail.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
İsmailoğulları'nın soyu: İsmail'in ilk oğlu Nevayot. Sonra Kedar, Adbeel, Mivsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mişma, Duma, Massa, Hadat, Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Yetur, Nafiş, Kedema gelir. Bunlar İsmail'in oğullarıydı.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
İbrahim'in cariyesi Ketura'nın oğulları: Zimran, Yokşan, Medan, Midyan, Yişbak, Şuah. Yokşan'ın oğulları: Şeva, Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Midyan'ın oğulları: Efa, Efer, Hanok, Avida, Eldaa. Bunların hepsi Ketura'nın soyundandı.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
İshak İbrahim'in oğluydu. İshak'ın oğulları: Esav, İsrail.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Esav'ın oğulları: Elifaz, Reuel, Yeuş, Yalam, Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Elifaz'ın oğulları: Teman, Omar, Sefi, Gatam, Kenaz ve Timna'dan doğan Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Reuel'in oğulları: Nahat, Zerah, Şamma, Mizza.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Seir'in oğulları: Lotan, Şoval, Sivon, Âna, Dişon, Eser, Dişan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Lotan'ın oğulları: Hori, Homam. Timna Lotan'ın kızkardeşiydi.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Şoval'ın oğulları: Alyan, Manahat, Eval, Şefi, Onam. Sivon'un oğulları: Aya, Âna.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Âna'nın oğlu: Dişon. Dişon'un oğulları: Hamran, Eşban, Yitran, Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Eser'in oğulları: Bilhan, Zaavan, Yaakan. Dişan'ın oğulları şunlardı: Ûs, Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
İsrailliler'i yöneten bir kralın olmadığı dönemde, Edom'u şu krallar yönetti: Beor oğlu Bala. Kentinin adı Dinhava'ydı.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Bala ölünce, yerine Bosralı Zerah oğlu Yovav geçti.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Yovav ölünce, Temanlılar ülkesinden Huşam kral oldu.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Huşam ölünce, Midyan'ı Moav kırlarında bozguna uğratan Bedat oğlu Hadat kral oldu. Kentinin adı Avit'ti.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Hadat ölünce, yerine Masrekalı Samla geçti.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Samla ölünce, yerine Rehovot-Hannaharlı Şaul geçti.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Şaul ölünce, yerine Akbor oğlu Baal-Hanan geçti.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Baal-Hanan ölünce, yerine Hadat geçti. Kentinin adı Pai'ydi. Karısı, Me-Zahav kızı Matret'in kızı Mehetavel'di.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Sonunda Hadat da öldü. Edom beyleri şunlardı: Timna, Alva, Yetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Oholivama, Ela, Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Kenaz, Teman, Mivsar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Magdiel, İram. Edom beyleri bunlardı.