< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Set, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Jered,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Hanok, Metusela, Lemek,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noa, Sem, Ham och Jafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Jafets söner voro Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mesek och Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Gomers söner voro Askenas, Difat och Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Javans söner voro Elisa och Tarsisa, kittéerna och rodanéerna.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Hams söner voro Kus, Misraim, Put och Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Kus' söner voro Seba, Havila, Sabta, Raema och Sabteka. Raemas söner voro Saba och Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Men Kus födde Nimrod; han var den förste som upprättade ett välde på jorden.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Och Misraim födde ludéerna, anaméerna, lehabéerna, naftuhéerna,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
patroséerna, kasluhéerna, från vilka filistéerna hava utgått, och kaftoréerna.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Och Kanaan födde Sidon, som var hans förstfödde, och Het,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
så ock jebuséerna, amoréerna och girgaséerna,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
hivéerna, arkéerna, sinéerna,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
arvadéerna, semaréerna och hamatéerna.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Sems söner voro Elam, Assur, Arpaksad, Lud och Aram, så ock Us, Hul, Geter och Mesek.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arpaksad födde Sela, och Sela födde Eber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Men åt Eber föddes två söner; den ene hette Peleg, ty i hans tid blev jorden fördelad; och hans broder hette Joktan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Och Joktan födde Almodad, Selef, Hasarmavet, Jera,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Saba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ofir, Havila och Jobab; alla dessa voro Joktans söner.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arpaksad, Sela,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Regu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Tera,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Abram, det är Abraham
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Abrahams söner voro Isak och Ismael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Detta är deras släkttavla: Nebajot, Ismaels förstfödde, vidare Kedar, Adbeel och Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma och Duma, Massa, Hadad och Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Nafis och Kedma. Dessa voro Ismaels söner.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Och de söner som Ketura, Abrahams bihustru, födde voro Simran, Joksan, Medan, Midjan, Jisbak och Sua. Joksans söner voro Saba och Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Och Midjans söner voro Efa, Efer, Hanok, Abida och Eldaa. Alla dessa voro Keturas söner.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Och Abraham födde Isak. Isaks söner voro Esau och Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Esaus söner voro Elifas, Reguel, Jeus, Jaelam och Kora.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Elifas' söner voro Teman och Omar, Sefi och Gaetam, Kenas, Timna och Amalek
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Reguels söner voro Nahat, Sera, Samma och Missa.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Men Seirs söner voro Lotan, Sobal, Sibeon, Ana, Dison, Eser och Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Lotans söner voro Hori och Homam; och Lotans syster var Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Sobals söner voro Aljan, Manahat och Ebal, Sefi och Onam. Och Sibeons söner voro Aja och Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Anas söner voro Dison. Och Disons söner voro Hamran, Esban, Jitran och Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Esers söner voro Bilhan, Saavan, Jaakan. Disans söner voro Us och Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Och dessa voro de konungar som regerade i Edoms land, innan ännu någon israelitisk konung var konung där: Bela, Beors son, och hans stad hette Dinhaba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
När Bela dog, blev Jobab, Seras son, från Bosra, konung efter honom.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
När Jobab dog, blev Husam från temanéernas land konung efter honom.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
När Husam dog, blev Hadad, Bedads son, konung efter honom, han som slog midjaniterna på Moabs mark; och hans stad hette Avit.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
När Hadad dog, blev Samla från Masreka konung efter honom.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
När Samla dog, blev Saul, från Rehobot vid floden, konung efter honom.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
När Saul dog, blev Baal-Hanan, Akbors son, konung efter honom
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
När Baal-Hanan dog, blev Hadad konung efter honom; och hans stad hette Pagi, och hans hustru hette Mehetabel, dotter till Matred, var dotter till Me-Sahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Men när Hadad hade dött, voro dessa Edoms stamfurstar: fursten Timna, fursten Alja, fursten Jetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
fursten Oholibama, fursten Ela, fursten Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
fursten Kenas, fursten Teman, fursten Mibsar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
fursten Magdiel, fursten Iram. Dessa voro Edoms stamfurstar.

< 1 Nyakati 1 >