< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adán, Set, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Cainan, Mahalaleel, Jared,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Enoc, Metusalen, Lamec;
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noé, hijos de Noé: Sem, Cam y Jafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Los hijos de Jafet: Gomer, Magog, Madai, Javán y Tubal, Mesec y Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Y los hijos de Gomer: Askenas, Rifat y Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Y los hijos de Javán: Elisa, Tarsis, Quitim Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Los hijos de Cam: Cus, Mizraim, Fut y Canaán.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Y los hijos de Cus: Seba, Havila, Sabta, Raama y Sabteca. Y los hijos de Raama: Seba y Dedán.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Y Cus fue el padre de Nimrod. Fue el primero en ser un gran hombre en la tierra.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Y Mizraim fue el padre de los Ludim, Anamim, Lehabim, Naftuhim.
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Y los Patrusim, Casluhim y los Caftor de los cuales vinieron los filisteos.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Y Canaán fue el padre de Sidón, su hijo mayor, y de Het.
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Y el jebuseo, amorreo, gergeseo,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
Y el Heveo, Araceo, Sineo,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Y el Arvadeo, Zemareo, Hamateo.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Los hijos de Sem: Elam y Asur, Arfaxad, Lud, Aram, Uz, Hul, Geter, y Mesec.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Y Arfaxad fue el padre de Sela, y Sela a Heber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Heber tuvo dos hijos: el nombre de uno era Peleg, porque en sus días se hizo una división de la tierra; y el nombre de su hermano era Joctán.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Y Joctán fue el padre de Almodad, de Selef, de Hazarmavet, y de Jera.
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Y Hadoram, Uzal y Dicla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Y Ebal Abimael y Seba.
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Y Ofir, Havila, Jobab. Todos estos fueron los hijos de Joctán.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arfaxad, Sela,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Heber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nacor, Tare,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Y Abram (que es Abraham).
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Los hijos de Abraham: Isaac e Ismael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Estas son sus generaciones: el hijo mayor de Ismael, Nebaiot; después Cedar, Adbeel y Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma y Duma, Massa, Hadad y Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Nafis y Cedema. Estos son los hijos de Ismael.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Y los hijos de Cetura, la concubina de Abraham: ella fue la madre de Zimran y Jocsan, Medán Madián, Isbac y Súa. Y los hijos de Jocsan: Seba y Dedán.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
E hijos de Madián: Efa, Efer, Hanoc, Abida y Elda. Todos estos fueron los hijos de Cetura.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Y Abraham fue el padre de Isaac. Los hijos de Isaac: Esaú e Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Los hijos de Esaú: Elifaz, Reuel y Jeus y Jalam y Coré.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Los hijos de Elifaz: Temán y Omar, Zefo y Gatam, Cenaz y Timna y Amalec.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Los hijos de Reuel: Nahath, Zera, Sama y Miza.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Y los hijos de Seir: Lotan, Sobal, Zibeon, Ana, Disón, Ezer y Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Y los hijos de Lotán: Hori, Homam; Timna era la hermana de Lotan.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Los hijos de Sobal: Alván, Manahat, Ebal, Sefo y Onam. Y los hijos de Zibeón: Aja y Aná.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Los hijos de Aná: Disón. Y los hijos de Disón: Amram, Esban, Itran y Queran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Los hijos de Ezer: Bilhan, Zaavan y Jaakan. Los hijos de Disán: Uz y Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Estos son los reyes que gobernaban en la tierra de Edom, antes de que hubiera rey alguno sobre Israel: Bela, el hijo de Beor; su pueblo se llamaba Dinaba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
A su muerte, Jobab, el hijo de Zera de Bosra, se convirtió en rey en su lugar.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
A la muerte de Jobab, Husam, de la tierra de los temanitas, se convirtió en rey en su lugar.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Y a la muerte de Husam, Hadad, hijo de Bedad, que venció a Madián en el campo de Moab, se convirtió en rey; su pueblo fue nombrado Avit.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Y en la muerte de Hadad, Samla de Masreca se hizo rey en su lugar.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Y a la muerte de Samla, Saúl de Rehobot, junto al río, se convirtió en rey en su lugar,
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Y a la muerte de Saúl, Baal-hanan, el hijo de Acbor, se hizo rey en su lugar.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Y a la muerte de Baal-hanan, Hadad se convirtió en rey en su lugar; su ciudad se llamaba Pai, y el nombre de su esposa era Mehetabel, la hija de Matred, la hija de Mezaab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Y Hadad llegó a su fin. Ahora los jefes de Edom eran: Timna, Alva, Jetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
El jefe de Aholibama, Ela, Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
El jefe de Cenaz, Temán, Mibzar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
El jefe de Magdiel, Iram. Estos son los jefes de Edom.

< 1 Nyakati 1 >