< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adán, Seth, Enosh,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Jared,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Enoc, Matusalén, Lamec,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noé, Sem, Cam y Jafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Los hijos de Jafet: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshech y Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Los hijos de Gomer: Ashkenaz, Diphath y Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Los hijos de Javán: Elishah, Tarsis, Kittim y Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Los hijos de Cam: Cus, Mizraim, Put y Canaán.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Los hijos de Cus: Seba, Havilah, Sabta, Raama y Sabteca. Los hijos de Raamah: Sabá y Dedán.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Cus se convirtió en el padre de Nimrod. Él comenzó a ser un poderoso en la tierra.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim se convirtió en el padre de Ludim, Anamim, Lehabim, Naphtuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Pathrusim, Casluhim (de donde vinieron los filisteos) y Caphtorim.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Canaán se convirtió en el padre de Sidón, su primogénito, Het,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
el jebuseo, el amorreo, el gergeseo,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
el heveo, el arquita, el sinita,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
el arvadita, el zemarita y el hamateo.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Los hijos de Sem: Elam, Asur, Arpachshad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether y Meshech.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arpachshad fue padre de Shelah, y Shelah fue padre de Heber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
A Heber le nacieron dos hijos: el nombre del uno fue Peleg, porque en sus días la tierra fue dividida; y el nombre de su hermano fue Joktán.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joktán fue padre de Almodad, Shelef, Hazarmaveth, Jerah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Diklah,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Sheba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Havilah y Jobab. Todos estos fueron hijos de Joktán.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arpachshad, Shelah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Heber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Terah,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Abram (también llamado Abraham).
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Los hijos de Abraham: Isaac e Ismael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Estas son sus generaciones: el primogénito de Ismael, Nebaiot; luego Cedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, Dumah, Massa, Hadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Nafis y Cedemah. Estos son los hijos de Ismael.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Los hijos de Cetura, concubina de Abraham: dio a luz a Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak y Shuah. Los hijos de Joksán: Seba y Dedán.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Los hijos de Madián: Efá, Efer, Hanoc, Abida y Eldaá. Todos estos fueron hijos de Cetura.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abraham se convirtió en el padre de Isaac. Los hijos de Isaac: Esaú e Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Los hijos de Esaú: Elifaz, Reuel, Jeús, Jalam y Coré.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Los hijos de Elifaz: Temán, Omar, Zefi, Gatam, Kenaz, Timna y Amalec.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Los hijos de Reuel: Nahat, Zerah, Shammah y Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Los hijos de Seir: Lotán, Sobal, Zibeón, Aná, Disón, Ezer y Disán.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Los hijos de Lotán: Hori y Homam; y Timna era hermana de Lotán.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Los hijos de Sobal: Alian, Manahath, Ebal, Shephi y Onam. Los hijos de Zibeón: Aiah y Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
El hijo de Aná: Disón. Los hijos de Disón: Hamrán, Eshbán, Itrán y Querán.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Los hijos de Ezer: Bilhan, Zaavan y Jaakan. Los hijos de Disán: Uz y Arán.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Estos son los reyes que reinaron en la tierra de Edom, antes de que ningún rey reinara sobre los hijos de Israel Bela hijo de Beor, y el nombre de su ciudad fue Dinhabah.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Murió Bela, y en su lugar reinó Jobab, hijo de Zera, de Bosra.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Murió Jobab, y reinó en su lugar Husam, de la tierra de los temanitas.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Murió Husam, y reinó en su lugar Hadad, hijo de Bedad, que hirió a Madián en el campo de Moab, y el nombre de su ciudad fue Avit.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Murió Hadad, y en su lugar reinó Samá de Masreca.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Murió Samá, y reinó en su lugar Saúl, de Rehobot, junto al río.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Murió Saúl, y en su lugar reinó Baal Hanán, hijo de Acbor.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Murió Baal Hanán, y en su lugar reinó Hadad; el nombre de su ciudad fue Pai. Su esposa se llamaba Mehetabel, hija de Matred, hija de Mezahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Luego murió Hadad. Los jefes de Edom fueron: el jefe Timna, el jefe Aliah, el jefe Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
el jefe Oholibamah, el jefe Elah, el jefe Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
el jefe Kenaz, el jefe Teman, el jefe Mibzar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
el jefe Magdiel y el jefe Iram. Estos son los jefes de Edom.

< 1 Nyakati 1 >