< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adán, Set, Enós,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Quenán, Malalel, Jared,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Enoc, Matusalén, Lamec, Noé.
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Los hijos de Noé: Sem, Cam, y Jafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Los hijos de Jafet: Gómer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mésec, and Tirás.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Los hijos de Gomer: Asquenaz, Rifat, y Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Los hijos de Javán: Elisá, Tarsis, Quitín, Rodanín.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Los hijos de Cam: Cus, Mizrayin, Fut, y Canaán.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Los hijos de Cus: Seba, Javilá, Sabta, Ragama y Sabteca. Los hijos de Ragama: Sabá y Dedán.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Cus fue el padre de Nimrod, que se convirtió en el primer tirano del mundo.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizrayin fue el padre de los ludeos, anameos, leabitas, naftuitas,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
patruseos, caslujitas y los caftoritas (quienes eran antepasados de los filisteos).
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Canaán fue el padre Sidón, su primogénito, y de los hititas,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
jebuseos, amorreos, gergeseos,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
heveos, araceos, sineos,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
arvadeos, zemareos y jamatitas.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Los hijos de Sem: Elam, Asur, Arfaxad, Lud y Harán. Los hijos de Harán: Uz, Hul, Guéter, y Mésec.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arfaxad fue el padre de Selá, y Selá el padre de Éber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Éber tuvo dos hijos. Uno se llamaba Peleg, porque en su tiempo la tierra fue dividida; el nombre de su hermano fue Joctán.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joctán fue el padre de Almodad, Sélef, Jazar Mávet, Yeraj,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Adoram, Uzal, Diclá,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal, Abimael, Sabá,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ofir, Javilá y Jobab. Todos estos fueron hijos de Joctán.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arfaxad, Selá,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Éber, Peleg, Reú,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nacor, Téraj,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
y Abram (también llamado Abraham).
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Los hijos de Abraham: Isaac e Ismael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Estos fueron sus descendientes: Nebayot, quien fue el hijo primogénito de Ismael, Cedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mismá, Dumá, Masá, Hadad, Temá,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Nafis y Cedema. Estos fueron los hijos de Ismael.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Los hijos que le nacieron a Cetura, la concubina de Abraham. Ella dio a luz a: Zimrán, Jocsán, Medán, Madián, Isbac y Súah. Los hijos de Jocsán: Sabá y Dedán.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Los hijos de Madián: Efá, Éfer, Janoc, Abidá y Eldá. Todos ellos fueron descendientes de Cetura.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abraham fue el padre de Isaac. Los hijos de Isaac fueron Esaú e Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Los hijos de Esaú: Elifaz, Reuel, Jeús, Jalán y Coré.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Los hijos de Elifaz: Temán, Omar, Zefo, Gatán y Quenaz; además Amalec por medio de Timná.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Los hijos de Reuel: Najat, Zera, Sama y Mizá.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Los hijos de Seír: Lotán, Sobal, Zibeón, Aná, Disón, Ezer y Disán.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Los hijos de Lotán: Horí y Homán. La hermana de Lotán era Timná.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Los hijos de Sobal: Alván, Manajat, Ebal, Sefó y Onam. Los hijos de Zibeón: Aja y Aná.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
El hijo de Aná fue Disón. Los hijos de Dishón fueron Hemdán, Esbán, Itrán y Querán.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Los hijos de Ezer: Bilán, Zaván y Acán. Los hijos de Disán: Uz y Arán.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Estos fueron los reyes que reinaron sobre Edom antes de que cualquier rey israelita reinara sobre ellos: Bela hijo de Beor, cuya ciudad se llamaba Dinaba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Cuando murió Bela, Jobab hijo de Zera, proveniente de Bosra, asumió el reinado.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Tras la muerte de Jobab, Husam asumió el reinado entonces, y era proveniente de la tierra de los Temanitas.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Cuando murió Husam, Hadad, hijo de Bedad, asumió el reinado. Él fue quien derrotó a Madián en el país de Moab. El nombre de su ciudad era Avit.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Cuando murió Hadad, Samá, de Masreca, asumió el reinado.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Cuando murió Samá, Saúl, proveniente de Rehobot del río asumió el reinado.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Cuando murió Saúl, Baal-Hanán, hijo de Acbor, asumió el reinado.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Cuando Baal-Hanán murió, Hadad reinó en su lugar. El nombre de su ciudad era Pau. El nombre de su esposa era Mehetabel, hija de Matred, nieta de Me-Zahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Entonces murió Hadad. Los jefes de Edom eran: Timná, Alva, Jetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Aholibama, Ela, Pinón,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Quenaz, Temán, Mibzar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Magdiel, e Iram. Estos eran los jefes de Edom.

< 1 Nyakati 1 >