< 1 Nyakati 1 >
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Maalaleèl, Iared,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Enoch, Matusalemme, Lamech,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noè, Sem, Cam e Iafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Figli di Iafet: Gomer, Magòg, Media, Grecia, Tubal, Mesech e Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Figli di Gomer: Ascanàz, Rifat e Togarmà.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Figli di Grecia: Elisà, Tarsìs, quelli di Cipro e quelli di Rodi.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Figli di Cam: Etiopia, Egitto, Put e Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Figli di Etiopia: Seba, Avila, Sabta, Raemà e Sabtecà. Figli di Raemà: Saba e Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Etiopia generò Nimròd, che fu il primo eroe sulla terra.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Egitto generò i Ludi, gli Anamiti, i Leabiti, i Naftuchiti,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
i Patrositi, i Casluchiti e i Caftoriti, dai quali derivarono i Filistei.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Canaan generò Sidòne suo primogenito, Chet,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
il Gebuseo, l'Amorreo, il Gergeseo,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
l'Eveo, l'Archita, il Sineo,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
l'Arvadeo, lo Zemareo e l'Amateo.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Figli di Sem: Elam, Assur, Arpacsàd, Lud e Aram. Figli di Aram: Uz, Cul, Gheter e Mesech.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arpacsàd generò Selàch; Selàch generò Eber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
A Eber nacquero due figli, uno si chiamava Peleg, perché ai suoi tempi si divise la terra, e suo fratello si chiamava Ioktàn.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Ioktàn generò Almodàd, Salef, Cazarmàvet, Ièrach,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Adoràm, Uzàl, Diklà,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebàl, Abimaèl, Saba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ofir, Avila e Iobàb; tutti costoro erano figli di Ioktàn.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arpacsàd, Selàch,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Abram, cioè Abramo.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Figli di Abramo: Isacco e Ismaele.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Ecco la loro discendenza: Primogenito di Ismaele fu Nebaiòt; altri suoi figli: Kedàr, Adbeèl, Mibsàm,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mismà, Duma, Massa, Cadàd, Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Ietur, Nafis e Kedma; questi furono discendenti di Ismaele.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Figli di Keturà, concubina di Abramo: essa partorì Zimràn, Ioksàn, Medan, Madian, Isbak e Suach. Figli di Ioksàn: Saba e Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Figli di Madian: Efa, Efer, Enoch, Abibà ed Eldaà; tutti questi furono discendenti di Keturà.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abramo generò Isacco. Figli di Isacco: Esaù e Israele.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Figli di Esaù: Elifàz, Reuèl, Ieus, Ialam e Core.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Figli di Elifàz: Teman, Omar, Zefi, Gatam, Kenaz, Timna e Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Figli di Reuèl: Nacat, Zerach, Sammà e Mizza.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Figli di Seir: Lotàn, Sobàl, Zibeòn, Ana, Dison, Eser e Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Figli di Lotàn: Corì e Omàm. Sorella di Lotàn: Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Figli di Sobàl: Alvan, Manàcat, Ebal, Sefi e Onam. Figli di Zibeòn: Aia e Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Figli di Ana: Dison. Figli di Dison: Camràn, Esban, Itràn e Cheràn.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Figli di Eser: Bilàn, Zaavàn, Iaakàn. Figli di Dison: Uz e Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Ecco i re che regnarono nel paese di Edom, prima che gli Israeliti avessero un re: Bela, figlio di Beòr; la sua città si chiamava Dinàba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Morto Bela, divenne re al suo posto Iobàb, figlio di Zerach di Bozra.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Morto Iobàb, divenne re al suo posto Cusàm della regione dei Temaniti.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Morto Cusàm, divenne re al suo posto Hadàd figlio di Bedàd, il quale sconfisse i Madianiti nei campi di Moab; la sua città si chiamava Avit.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Morto Hadàd, divenne re al suo posto Samlà di Masrekà.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Morto Samlà, divenne re al suo posto Saul di Recobòt, sul fiume.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Morto Saul, divenne re al suo posto Baal-Canàn, figlio di Acbòr.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Morto Baal-Canàn, divenne re al suo posto Hadàd; la sua città si chiamava Pai; sua moglie si chiamava Mechetabèl, figlia di Matred, figlia di Mezaàb.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Morto Hadàd, in Edom ci furono capi: il capo di Timna, il capo di Alva, il capo di Ietet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
il capo di Oolibamà, il capo di Ela, il capo di Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
il capo di Kenaz, il capo di Teman, il capo di Mibzar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
il capo di Magdièl, il capo di Iram. Questi furono i capi di Edom.