< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalaleel, Jared,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Henoch, Methusalah, Lamech,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noah, Sem, Ham, Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Die Kinder Japheths sind diese: Gomer, Magog, Madai, Javan, Thubal, Mesech, Thiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Die Kinder aber Gomers sind: Askenas, Riphath, Thogarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Die Kinder Javans sind: Elisa, Tharsisa, Chitim, Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Die Kinder Hams sind: Chus, Mizraim, Put, Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Die Kinder aber Chus sind: Seba, Hevila, Sabtha, Ragema, Sabthecha. Die Kinder aber Ragemas sind: Scheba und Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Chus aber zeugete Nimrod; der fing an gewaltig zu sein auf Erden.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim zeugete Ludim, Anamim, Lehabim, Naphthuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Pathrusim, Kasluhim (von welchen sind auskommen die Philistim) und Kaphthorim.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Kanaan aber zeugete Zidon, seinen ersten Sohn, und Heth,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Jebusi, Amori, Girgosi,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
Hevi, Arki, Sini,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Arwadi, Zemari und Hemathi.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Die Kinder Sems sind diese: Elam, Assur, Arphachsad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether und Masech.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arphachsad aber zeugete Salah; Salah zeugete Eber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Eber aber wurden zween Söhne geboren; der eine hieß Peleg, darum daß zu seiner Zeit das Land zerteilet ward; und sein Bruder hieß Jaktan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Jaktan aber zeugete Almodad, Saleph, Hazarmaveth, Jarah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Scheba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Hevila und Jobab. Das sind alle Kinder Jaktans.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arphachsad, Salah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Regu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Tharah,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Abram, das ist Abraham.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Die Kinder aber Abrahams sind: Isaak und Ismael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Dies ist ihr Geschlecht: der erste Sohn Ismaels Nebajoth, Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma, Duma, Masa, Hadad, Thema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jethur, Naphis, Kedma. Das sind die Kinder Ismaels.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Die Kinder aber Keturas, des Kebsweibes Abrahams: die gebar Simran, Jaksan, Medan, Midian, Jesbak, Suah. Aber die Kinder Jaksans sind: Scheba und Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Und die Kinder Midians sind: Epha, Epher, Henoch, Abida, Eldaa. Dies sind alle Kinder der Ketura.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abraham zeugete Isaak. Die Kinder aber Isaaks sind: Esau und Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Die Kinder Esaus sind: Eliphas, Reguel, Jeus, Jaelam, Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Die Kinder Eliphas sind: Theman, Omar, Zephi, Gaetham, Kenas, Thimna, Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Die Kinder Reguels sind: Nahath, Serah, Samma und Misa.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Die Kinder Seirs sind: Lothan, Sobal, Zibeon, Ana, Dison, Ezer, Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Die Kinder Lothans sind: Hori, Homam; und Thimna war eine Schwester Lothans.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Die Kinder Sobals sind: Alian, Manahath, Ebal, Sephi, Onam. Die Kinder Zibeons sind: Aja und Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Die Kinder Anas: Dison. Die Kinder Disons sind: Hamran, Esban, Jethran, Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Die Kinder Ezers sind: Bilhan, Saewan, Jaekan. Die Kinder Disans sind: Uz und Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Dies sind die Könige, die regieret haben im Lande Edom, ehe denn ein König regierete unter den Kindern Israel: Bela, der Sohn Beors; und seine Stadt hieß Dinhaba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Und da Bela starb, ward König an seiner Statt Jobab, der Sohn Serahs, von Bazra.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Und da Jobab starb, ward König an seiner Statt Husam aus der Themaniter Lande.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Da Husam starb, ward König an seiner Statt Hadad, der Sohn Bedads, der die Midianiter schlug in der Moabiter Felde; und seine Stadt hieß Awith.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Da Hadad starb, ward König an seiner Statt Samla von Masrek.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Da Samla starb, ward König an seiner Statt Saul von Rehoboth am Wasser.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Da Saul starb, ward König an seiner Statt Baal-Hanan, der Sohn Achbors.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Da Baal-Hanan starb, ward König an seiner Statt Hadad, und seine Stadt hieß Pagi; und sein Weib hieß Mehetabeel, eine Tochter Matreds, die Mesahabs Tochter war.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Da aber Hadad starb, wurden Fürsten zu Edom: Fürst Thimna, Fürst Alwa, Fürst Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Fürst Ahalibama, Fürst Ela, Fürst Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Fürst Kenas, Fürst Theman, Fürst Mibzar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Fürst Magdiel, Fürst Iram. Das sind die Fürsten zu Edom.

< 1 Nyakati 1 >