< 1 Nyakati 1 >
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Caïnan, Malaléel, Jared,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Hénoch, Mathusalé, Lamech,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noé, Sem, Cham et Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Fils de Japheth: Gomer, Magog, Madaï, Javan, Thubal, Mosoch et Thiras. —
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Fils de Gomer: Ascénez, Riphath et Thogorma. —
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Fils de Javan: Élisa, Tharsis, Céthim et Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Fils de Cham: Chus, Mesraïm, Phut et Canaan. —
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Fils de Chus: Saba, Hévila, Sabatha, Regma et Sabathacha. — Fils de Regma: Saba et Dadan. —
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Chus engendra Nemrod; c’est lui qui commença à être puissant sur la terre. —
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mesraïm engendra les Ludim, les Anamim, les Laabim, les Nephthuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
les Phétrusim, les Casluhim, d’où sont sortis les Philistins, et les Caphthorim. —
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Canaan engendra Sidon, son premier-né, et Heth,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
ainsi que les Jébuséens, les Amorrhéens, les Gergéséens,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
les Hévéens, les Aracéens, les Sinéens,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
les Aradiens, les Samaréens et les Hamathéens.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad, Lud, Aram; Hus, Hul, Géther et Mosoch. —
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arphaxad engendra Salé, et Salé engendra Héber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Il naquit à Héber deux fils: le nom de l’un fut Phaleg, parce que de son temps la terre fut partagée, et le nom de son frère fut Jectan. —
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Jectan engendra Elmodad, Saleph, Asarmoth, Jaré,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Adoram, Huzal, Décla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Hébal, Abimaël, Saba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Hévila et Jobab. Tous ceux-là furent fils de Jectan.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arphaxad, Salé,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Abram, qui est Abraham.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Fils d’Abraham: Isaac et Ismaël.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Voici leur postérité: Nabaïoth, premier-né d’Ismaël, puis Cédar, Adbéel, Mabsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Masma, Duma, Massa, Hadad, Thema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jétur, Naphis, Cedma. Ce sont les fils d’Ismaël.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Fils de Qetoura, concubine d’Abraham: elle enfanta Zamram, Jecsan, Madan, Madian, Jesboc et Sué. — Fils de Jecsan: Saba et Dadan. —
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Fils de Madian: Epha, Epher, Hénoch, Abida et Eldaa. — Tous ceux-là sont fils de Qetoura.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abraham engendra Isaac. Fils d’Isaac: Esaü et Jacob.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Fils d’Esaü: Eliphaz, Rahuel, Jéhus, Ihélom et Coré. —
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Fils d’Eliphaz: Théman, Omar, Séphi, Gathan, Cénez, Thamna, Amalec. —
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Fils de Rahuel: Nahath, Zara, Samma et Méza.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Fils de Séir: Lotan, Sobal, Sébéon, Ana, Dison, Eser et Disan. —
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Fils de Lotan: Hori et Homam. Sœur de Lotan: Thamna. —
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Fils de Sobal: Alian, Manahath, Ebal, Séphi et Onam. — Fils de Sébéon: Aïa et Ana. — Fils d’Ana: Dison. —
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Fils de Dison: Hamram, Eséban, Jéthran et Charan. —
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Fils d’Eser: Balaan, Zavan et Jacan. — Fils de Disan: Hus et Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Voici les rois qui ont régné dans le pays d’Edom avant qu’un roi régnât sur les enfants d’Israël: Béla, fils de Béor; le nom de sa ville était Dénaba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Béla mourut, et, à sa place, régna Jobab, fils de Zaré, de Bosra.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Jobab mourut, et à sa place régna Husam, du pays des Thémanites.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Husam mourut, et, à sa place, régna Hadad, fils de Badad, qui défit Madian dans les champs de Moab; le nom de sa ville était Avith.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Hadad mourut, et, à sa place, régna Semla, de Masréca.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Semla mourut, et, à sa place, régna Saül, de Rohoboth sur le Fleuve.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Saül mourut, et à sa place, régna Balanan, fils d’Achobor.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Balanan mourut, et, à sa place, régna Hadad; le nom de sa ville était Phau, et le nom de sa femme, Méétabel, fille de Matred, fille de Mézaab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Hadad mourut. Les chefs d’Edom étaient: le chef Thamna, le chef Alva, le chef Jétheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
le chef Oolibama, le chef Ela, le chef Phinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
le chef Cénez, le chef Théman, le chef Mabsar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
le chef Magdiel, le chef Hiram. Ce sont là les chefs d’Edom.