< 1 Nyakati 9 >
1 Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli. Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.
Bütün İsrailliler soylarına göre kaydedilmiştir. Bu kayıtlar İsrail krallarının tarihinde yazılıdır. Yahudalılar RAB'be ihanet ettikleri için Babil'e sürüldüler.
2 Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.
Kentlerindeki mülklerine dönüp ilk yerleşenler bazı İsrailliler, kâhinler, Levililer ve tapınak görevlileriydi.
3 Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:
Yahuda, Benyamin, Efrayim ve Manaşşe soyundan Yeruşalim'de yaşayanlar şunlardır:
4 Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.
Yahuda oğlu Peres soyundan Bani oğlu İmri oğlu Omri oğlu Ammihut oğlu Utay.
5 Wazao wa Washiloni waliorudi ni: Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.
Şelaoğulları'ndan: İlk oğlu Asaya ve oğulları.
6 Kwa wana wa Zera: Yeueli. Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.
Zerahoğulları'ndan: Yeuel. Yahudalılar'ın toplamı 690 kişiydi.
7 Kwa Benyamini walikuwa: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;
Benyamin soyundan gelenler: Hassenua oğlu Hodavya oğlu Meşullam oğlu Sallu,
8 Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.
Yeroham oğlu Yivneya, Mikri oğlu Uzzi oğlu Ela, Yivniya oğlu Reuel oğlu Şefatya oğlu Meşullam.
9 Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.
Soylarına göre kaydedilenlerin toplamı 956 kişiydi. Bunların hepsi aile başlarıydı.
10 Wa jamaa za makuhani walikuwa: Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;
Kâhinler: Yedaya, Yehoyariv, Yakin,
11 Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.
Ahituv oğlu Merayot oğlu Sadok oğlu Meşullam oğlu Hilkiya oğlu tapınak baş görevlisi Azarya,
12 Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.
Malkiya oğlu Paşhur oğlu Yeroham oğlu Adaya, İmmer oğlu Meşillemit oğlu Meşullam oğlu Yahzera oğlu Adiel oğlu Maasay.
13 Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.
Aile başları olan kâhin kardeşlerinin toplamı 1 760'tı. Tanrı'nın Tapınağı'ndaki hizmetlerden sorumlu yetenekli kişilerdi.
14 Jamaa za Walawi walikuwa: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.
Levililer: Merarioğulları'ndan Haşavya oğlu Azrikam oğlu Haşşuv oğlu Şemaya,
15 Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.
Bakbakkar, Hereş, Galal, Asaf oğlu Zikri oğlu Mika oğlu Mattanya,
16 Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.
Yedutun oğlu Galal oğlu Şemaya oğlu Ovadya ve Netofalılar'ın köylerinde yaşayan Elkana oğlu Asa oğlu Berekya.
17 Mabawabu katika Hekalu la Bwana waliorudi walikuwa: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu.
Tapınak kapı nöbetçileri: Şallum, Akkuv, Talmon, Ahiman ve kardeşleri. Şallum başlarıydı.
18 Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi.
Bugüne kadar doğuya bakan Kral Kapısı'nda görevlidirler. Levili bölüklere bağlı kapı nöbetçileri bunlardı.
19 Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya Bwana.
Korah oğlu Evyasaf oğlu Kore oğlu Şallum ve ailesinden –Korahoğulları'ndan– olan çalışma arkadaşları Çadır'ın giriş kapısının nöbetçileriydi. Bunların ataları da RAB'bin ordugahının giriş kapısının nöbetçileriydi.
20 Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Bwana alikuwa pamoja naye:
Önceleri Elazar oğlu Pinehas onların başıydı. RAB onunlaydı.
21 Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.
Buluşma Çadırı'nın kapısında Meşelemya oğlu Zekeriya nöbet tutardı.
22 Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli.
Giriş kapısına nöbetçi seçilenlerin toplamı 212'ydi. Bunlar, köylerinde bağlı oldukları soy kütüğüne yazılıdır. Davut'la Bilici Samuel tarafından bu göreve atanmışlardı.
23 Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Bwana, nyumba iliyoitwa Hema.
Oğullarıyla birlikte RAB'bin Tapınağı'nın, yani Çadır'ın kapılarında nöbet tutarlardı.
24 Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.
Nöbetçiler dört yanda –doğuda, batıda, kuzeyde ve güneyde– nöbet tutardı.
25 Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba.
Köylerdeki kardeşleri zaman zaman gelir, yedi günlük bir süre için görevi onlarla paylaşırdı.
26 Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu.
Dört kapının baş nöbetçileri Levili'ydi. Bunlar Tanrı'nın Tapınağı'ndaki odalardan ve hazinelerden sorumluydu.
27 Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.
Geceyi Tanrı'nın Tapınağı'nın çevresinde geçirirlerdi. Çünkü tapınağı koruma ve her sabah kapılarını açma görevi onlarındı.
28 Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa.
Bazıları da tapınak hizmetinde kullanılan eşyalardan sorumluydu. Eşyaları sayarak içeri alır, sayarak dışarıya çıkarırlardı.
29 Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo.
Öbürleri eşyalardan, kutsal yere ait nesnelerden, ince undan, şaraptan, zeytinyağından, günnükten, baharattan sorumluydu.
30 Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo.
Ancak baharatı karıştırıp hazırlama görevi kâhinlerindi.
31 Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka.
Korahoğulları'ndan Şallum'un ilk oğlu Levili Mattitya sacda pide pişirme görevine atanmıştı.
32 Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.
Kardeşleri Kehatoğulları'ndan bazıları da her Şabat Günü adak ekmeklerini hazırlamakla görevliydi.
33 Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.
Levililer'in boy başları olan ezgiciler tapınağın odalarında yaşardı. Başka iş yapmazlardı. Çünkü yaptıkları işten gece gündüz sorumluydular.
34 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Bunların hepsi soy kütüğüne göre Levililer'in boy başları, önderleriydi ve Yeruşalim'de yaşarlardı.
35 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka,
Givon'un kurucusu Yeiel, Givon'da yaşadı. Karısının adı Maaka'ydı.
36 mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Yeiel'in ilk oğlu Avdon'du. Öbürleri şunlardı: Sur, Kiş, Baal, Ner, Nadav,
37 Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.
Gedor, Ahyo, Zekeriya, Miklot.
38 Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Miklot Şimam'ın babasıydı. Bunlar Yeruşalim'de akrabalarının yanında yaşarlardı.
39 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner Kiş'in, Kiş Saul'un babasıydı. Saul Yonatan, Malkişua, Avinadav ve Eşbaal'ın babasıydı.
40 Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Yonatan Merib-Baal'ın, Merib-Baal Mika'nın babasıydı.
41 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.
Mika'nın oğulları: Piton, Melek, Tahrea, Ahaz.
42 Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahaz Yada'nın babasıydı. Yada Alemet, Azmavet ve Zimri'nin, Zimri Mosa'nın,
43 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Mosa Binea'nın, Binea Refaya'nın, Refaya Elasa'nın, Elasa da Asel'in babasıydı.
44 Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Asel'in altı oğlu vardı. Adları şöyledir: Azrikam, Bokeru, İsmail, Şearya, Ovadya, Hanan. Bütün bunlar Asel'in oğullarıydı.