< 1 Nyakati 9 >

1 Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli. Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.
Isu a nailista dagiti amin a kapuonan ti Israel. Nailista dagitoy iti Libro dagiti Ari ti Israel. No maipapan iti Juda, naipanda a kas balud idiay Babilonia gapu iti basolda.
2 Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.
Ti immuna a nagnaed kadagiti siudadda ket dagiti sumagmamano nga Israelita, papadi, dagiti Levita, ken dagiti agserserbi iti templo.
3 Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:
Nagnaed idiay Jerusalem dagiti sumagmamano a kaputotan da Juda, Benjamin, Efraim, ken Manases.
4 Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.
Karaman kadagiti agnanaed ni Utai nga anak ni Ammihud nga anak ni Omri nga anak ni Bani, maysa kadagiti kaputotan ni Perez nga putot ni Juda.
5 Wazao wa Washiloni waliorudi ni: Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.
Dagiti Silonitas ket ni Asaias nga inauna ken dagiti putotna.
6 Kwa wana wa Zera: Yeueli. Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.
Dagiti kaputotan ni Zera ket ni Jeuel. 690 ti bilang dagiti kaputotanda.
7 Kwa Benyamini walikuwa: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;
Dagiti kaputotan ni Benjamin ket ni Sallu a putot ni Mesullam a putot ni Hodavia a putot ni Hassenua.
8 Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.
Kasta met ni Ibnias a putot ni Jeroham; ni Ela a putot ni Uzzi a putot ni Mikri; ken ni Messulam a putot ni Sefatian a putot ni Reuel a putot ni Abniha.
9 Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.
956 ti bilang dagiti kabagianda a naisurat iti listaan dagiti kapuonanda. Amin dagitoy a lallaki ket mangidadaulo kadagiti puli dagiti kapuonanda.
10 Wa jamaa za makuhani walikuwa: Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;
Dagiti padi ket da Jedayas, Jehiyarib, ken Jakin.
11 Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.
Kasta met ni Azarias a putot ni Hilkias a putot ni Mesullam a putot ni Zadok a putot ni Merayot a putot ni Ahitub, ti mangimatmaton iti balay ti Dios.
12 Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.
Adda ni Adaias a putot ni Jehoram a putot ni Pasur a putot ni Malkias. Adda met ni Maasai a putot ni Adiel ken Jazera a putot ni Mesullam a putot ni Mesillimet a putot ni Immer.
13 Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.
1, 760 ti bilang dagiti kabagianda a mangidadaulo kadagiti puli dagiti kapuonanda. Tumutop unay dagitoy a lallaki iti trabaho iti balay ti Dios.
14 Jamaa za Walawi walikuwa: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.
Kadagiti Levita, adda ni Semaias a putot ni Hassub a putot ni Azkiram a putot ni Hasabias, a kaputotan ni Merari.
15 Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.
Mairaman pay da Bakbakkar, Heres, Galal, ken Mattanias nga a putot ni Mica a putot ni Zikri a putot ni Asaf.
16 Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.
Adda met ni Obadias a putot ni Semaias a putot ni Galal a putot ni Jeduton; ken ni Berekias a putot ni Asa a putot ni Elkana, a nagnaed kadagiti bario dagiti Nethofatitos.
17 Mabawabu katika Hekalu la Bwana waliorudi walikuwa: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu.
Dagiti agbanbantay iti ruangan ket da Sallum, Akkub, Talmun, Ahiman ken dagiti kaputotanda. Ni Sallum ti mangidadaulo kadakuada.
18 Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi.
Timmakderda idi a kas guardia iti ruangan ti ari iti daya a paset a para iti kampo dagiti kaputotan ni Levi.
19 Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya Bwana.
Ni Sallum a putot ni Kore a putot ni Ebiasaf a putot ni Kora, ken dagiti kakabsatna, kadagiti puli ti amana, dagiti Koraitas ket nadutokan nga agtrabaho iti templo ken agbantay kadagiti pagserkan iti tolda. Agsipud ta dagiti kapuonanda ket nagbalin a guardia iti pagserkan ti templo ni Yahweh.
20 Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Bwana alikuwa pamoja naye:
Ni Finees a putot ni Eleazar ti nangimaton idi kadakuada, ket adda idi ni Yahweh kenkuana.
21 Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.
Ni Zakarias a putot ni Meselemias ti agbanbantay iti pagserkan ti Templo, ti “tolda ti pakiumanan.”
22 Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli.
212 ti bilang dagiti amin a napili nga agbantay ti ruangan dagiti pagserkan. Naisurat dagiti naganda iti listaan dagiti tattao kadagiti barrioda. Ni David ken ni Samuel a profeta ti nangdutok kadakuada iti mapagtalkan a saadda.
23 Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Bwana, nyumba iliyoitwa Hema.
Isuda ngarud ken dagiti annakda ti nagbantay kadagiti ruangan iti balay ni Yahweh, ti tabernakulo.
24 Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.
Nakapuesto dagiti agbanbantay iti ruangan kadagiti uppat a suli, a nakasango iti daya, laud, amianan, ken abagatan.
25 Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba.
Dagiti kakabsatda nga agnanaed kadagiti barrioda ket immay iti pito nga aldaw a panagsisinnukatda iti batang.
26 Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu.
Ngem dagiti uppat a Levita a mangidadaulo kadagiti agbanbantay iti ruangan ket nadutokan nga agbantay kadagiti siled ken kamalig iti balay ti Dios.
27 Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.
Agpatpatnagda iti puestoda iti aglawlaw ti balay ti Dios, ta pagrebbenganda a bantayan daytoy. Binigat a lukatanda daytoy.
28 Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa.
Dagiti dadduma kadakuada ti akinrebbeng kadagiti alikamen ti templo; bilangenda dagiti alikamen no maisserrek ken mairuar dagitoy.
29 Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo.
Nadutokan met dagiti dadduma kadakuada a mangaywan kadagiti nasantoan a banbanag, alikamen, ken dagiti kasapulan, agraman ti kasayaatan nga arina, arak, lana, insenso ken dagiti rekado.
30 Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo.
Dadduma kadagiti annak dagiti papadi ti mangilaok kadagiti rekado.
31 Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka.
Ni Matitias, maysa kadagiti Levita, nga inauna nga anak ni Sallum a Koraita, ti akinrebbeng a mangisagana iti tinapay a daton.
32 Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.
Dagiti dadduma kadagiti kakabsatda, a kaputotan ni Kohat, ti akinrebbeng a mangisagana kadagiti nasagradoan a tinapay iti tunggal Aldaw a Panaginana.
33 Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.
Nagnaed dagiti kumakanta ken ti pamilia dagiti mangidadaulo a Levita kadagiti siled iti santuario no nawan iti trabahoda, gapu ta masapul nga aramidenda ti naidutok a trabahoda iti aldaw ken rabii.
34 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Dagitoy dagiti mangidadaulo iti pamilia dagiti Levita, a nailista iti listaan dagiti kapuonanda. Nagnaedda idiay Jerusalem.
35 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka,
Nagnaed iti Gabaon ni Jeiel nga ama ni Gabaon, a Maaca ti nagan ti asawana.
36 mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Ni Abdon ti inauna nga anakna, sinaruno da Zur, Kis, Baal, Ner Nadab,
37 Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.
Gedor, Ahio, Zacarias, ken Miklot.
38 Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Ni Miklot ti ama ni Simea. Nagnaedda met iti asideg dagiti kakabsatda idiay Jerusalem.
39 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ni Ner ti ama ni Kis. Ni Kis ti ama ni Saul. Ni Saul ti ama da Jonatan, Malkisua, Abinadab, ken ni Isbaal.
40 Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Ti anak ni Jonatan ket ni Merib Baal. Ni Merib Baal ti ama ni Mica.
41 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.
Dagiti putot ni Mica ket da Piton, Melek, Tarea ken Ahaz.
42 Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ni Ahaz ti ama ni Jara. Ni Jara ti ama ni Alemet, Azmavet, ken ni Zimri. Ni Zimri ti ama ni Moza.
43 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Ni Moza ti ama ni Binea. Ni Binea ti ama ni Refaias. Ni Refaias ti ama ni Eleasa. Ni Eleasa ti ama ni Azel.
44 Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Dagiti innem a putot ni Azel ket da Azkiram, Bokeru, Ismael, Searias, Obadias, ken Hanan. Dagitoy dagiti putot ni Azel.

< 1 Nyakati 9 >