< 1 Nyakati 9 >

1 Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli. Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.
Tout Israël fut donc dénombré, et leur nombre total écrit dans le Livre des rois d’Israël et de Juda; et ils furent transportés à Babylone à cause de leur péché.
2 Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.
Or ceux qui habitèrent les premiers dans leurs possessions et dans leurs villes furent Israël, les prêtres, les Lévites et les Nathinéens.
3 Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:
Il demeura à Jérusalem des enfants de Juda et des enfants de Benjamin, et même des enfants d’Ephraïm et de Manassé:
4 Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.
Othéi, fils d’Ammiud, fils d’Amri, fils d’Omraï, fils de Bonni, l’un des fils de Pharès, fils de Juda;
5 Wazao wa Washiloni waliorudi ni: Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.
Et de Siloni: Asaïa, le premier-né, et ses autres fils;
6 Kwa wana wa Zera: Yeueli. Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.
Mais des fils de Zara: Jéhuel et leurs frères, au nombre de six cent quatre-vingt-dix;
7 Kwa Benyamini walikuwa: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;
Et des fils de Benjamin: Salo, fils de Mosollam, fils d’Oduïa, fils d’Asana;
8 Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.
Et Jobania, fils de Jéroham, et Ela, fils d’Ozi. fils de Mochori; et Mosollam, fils de Saphatias, fils de Rahuel, fils de Jébanias,
9 Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.
Et leurs frères, selon leurs familles, au nombre de neuf cent cinquante-six. Tous ceux-là furent princes de familles, dans les maisons de leurs pères.
10 Wa jamaa za makuhani walikuwa: Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;
Mais d’entre les prêtres, il y eut Jédaïa, Joïarib et Jachin;
11 Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.
Azarias aussi, fils d’Helcias, fils de Mosollam, fils de Sadoc, fils de Maraïoth, fils d’Achitob, pontife de la maison de Dieu.
12 Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.
De plus, Adaïas, fils de Jéroham, fils de Phassur, fils de Melchias; et Maasaï, fils d’Adiel, fils de Jezra, fils de Mosollam, fils de Mosollamith. fils d’Emmer;
13 Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.
Ainsi que leurs frères, princes dans leurs familles, au nombre de mille sept cent soixante, d’une très grande force pour faire l’ouvrage du ministère dans la maison de Dieu.
14 Jamaa za Walawi walikuwa: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.
Et d’entre les Lévites, il y eut Séméia, fils d’Hassub, fils d’Ezricam, fils d’Hasébia, l’un des fils de Mérari;
15 Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.
Bacbachar aussi, charpentier, Galal, et Mathania, fils de Micha, fils de Zéchri, fils d’Asaph;
16 Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.
Et Obdia, fils de Séméias, fils de Galal, fils d’Idithun; et Barachia, fils d’Asa, fils d’Elcana, qui habita dans les villages de Nétophati.
17 Mabawabu katika Hekalu la Bwana waliorudi walikuwa: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu.
Quant aux portiers, c’étaient Sellum, Accub, Telmon et Ahimam; et leur frère Sellum était leur chef.
18 Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi.
Jusqu’à ce temps-là, à la porte du roi, vers l’orient, des fils de Lévi faisaient la garde tour à tour.
19 Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya Bwana.
Or Sellum, fils de Coré, fils d’Abiasaph, fils de Coré, avec ses frères et la maison de son père, c’est-à-dire les Corites préposés aux ouvrages du ministère, étaient les gardiens des vestibules du tabernacle; et leurs familles gardaient tour à tour l’entrée du camp du Seigneur.
20 Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Bwana alikuwa pamoja naye:
Or Phinéès, fils d’Eléazar, était leur chef devant le Seigneur.
21 Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.
Et Zacharie, fils de Mosollamia, était portier à la porte du tabernacle de témoignage.
22 Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli.
Tous ceux-là, choisis pour portiers aux différentes portes, étaient au nombre de deux cent douze, enregistrés dans leurs propres villages: David et Samuel, le Voyant, les établirent à cause de leur fidélité,
23 Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Bwana, nyumba iliyoitwa Hema.
Tant eux que leurs fils, pour veiller à leur tour aux portes de la maison du Seigneur et du tabernacle.
24 Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.
Les portiers étaient vers les quatre vents, c’est-à-dire à l’orient, à l’occident, à l’aquilon et au midi.
25 Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba.
Et leurs frères demeuraient dans leurs bourgades, et ils venaient en leurs sabbats depuis un temps jusqu’à un temps.
26 Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu.
C’est à ces quatre Lévites que fut confié le nombre entier des portiers; et ils veillaient sur les chambres et sur les trésors de la maison du Seigneur.
27 Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.
Ils demeuraient même autour du temple du Seigneur, pendant leur garde, afin que, lorsque le temps était venu, ils ouvrissent eux-mêmes les portes le matin.
28 Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa.
À leur classe appartenaient aussi ceux qui étaient chargés des vases servant au culte; car c’était en certain nombre qu’étaient apportés les vases et qu’ils étaient remportés.
29 Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo.
Parmi eux encore se trouvaient ceux qui, ayant la garde des ustensiles du sanctuaire, prenaient soin de la fleur de farine, du vin, de l’huile, de l’encens et des aromates.
30 Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo.
Mais les fils des prêtres composaient les parfums à oindre avec les aromates.
31 Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka.
Et Mathathias le Lévite, le premier-né de Sellum, le Corite, était préposé pour ce qu’on faisait frire dans la poêle.
32 Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.
Or c’est parmi les enfants de Caath, leurs frères, que se trouvaient ceux qui étaient chargés des pains de proposition, afin d’en préparer toujours de nouveaux à chaque sabbat.
33 Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.
Ce sont là les chefs des chantres parmi les familles des Lévites, qui demeuraient dans les chambres du temple, afin que, jour et nuit, sans interruption, ils remplissent leur ministère.
34 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Les chefs des Lévites, princes dans leurs familles, demeurèrent à Jérusalem.
35 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka,
Mais c’est à Gabaon que s’établirent Jéhiel, dont le nom de la femme était Maacha;
36 mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Son fils premier-né, Abdon, elles autres, Sur, Cis, Baal, Ner et Nadab,
37 Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.
Gédor, Ahio, Zacharie et Macelloth.
38 Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Or Macelloth engendra Samaan; ceux-là habitèrent vis-à-vis de leurs frères, à Jérusalem, avec leurs frères.
39 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Mais Ner engendra Cis, et Cis engendra Saül, et Saül engendra Jonathan, et Melchisua, et Abinadab, et Esbaal.
40 Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Et le fils de Jonathan fut Méribbaal; et Méribbaal engendra Micha.
41 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.
Or les fils de Micha furent Phithon, Mélech, Tharaa et Ahaz.
42 Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Et Ahaz engendra Jara, et Jara engendra Alamath, Azmoth et Zamri; mais Zamri engendra Mosa.
43 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Pour Mosa, il engendra Banaa, dont le fils Raphaïa engendra Elasa, de qui est né Asel.
44 Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Or Asel eut six fils de ces noms: Ezricam, Bocru, Ismaël, Saria, Obdia, Hanan; ce sont là les fils d’Asel.

< 1 Nyakati 9 >