< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamín fue el padre de Bela, su primogénito; Ashbel, el segundo; Aharah, el tercero;
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Nohah, el cuarto, y Rapha, el quinto.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Bela tuvo hijos: Addar, Gera, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abisua, Naamán, Ahoá,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Sefufán y Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Estos son los hijos de Ehud. Estos son los jefes de familia de los habitantes de Geba, que fueron llevados cautivos a Manahath:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naamán, Ahijá y Gera, que los llevó cautivos; y fue padre de Uza y Ahijud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Shaharaim fue padre de hijos en el campo de Moab, después de haberlos despedido. Hushim y Baara fueron sus esposas.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
De Hodesh, su mujer, fue padre de Jobab, Zibia, Mesha, Malcam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeuz, Shachia y Mirmah. Estos fueron sus hijos, jefes de familia de sus padres.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Por Hushim fue padre de Abitub y Elpaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Los hijos de Elpaal: Heber, Misham y Shemed, que edificaron Ono y Lod, con sus ciudades;
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
y Beriá y Sema, que fueron jefes de familia de los habitantes de Ajalón, que pusieron en fuga a los habitantes de Gat;
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
y Ahio, Sasac, Jeremot,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadías, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Miguel, Ispah, Joha, hijos de Beriá,
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebadías, Meshullam, Hizki, Heber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Ishmerai, Izliah, Jobab, hijos de Elpaal,
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Zichri, Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienai, Zillethai, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaiah, Beraiah, Shimrath, los hijos de Shimei,
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Ishpan, Heber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zichri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananiah, Elam, Anthothijah,
25 Ifdeya na Penueli.
Iphdeiah, Penuel, los hijos de Shashak,
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Shamsherai, Shehariah, Athaliah,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaareshiah, Elijah, Zichri, y los hijos de Jeroham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Estos eran jefes de familia por sus generaciones, hombres principales. Estos vivían en Jerusalén.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
El padre de Gabaón, cuya mujer se llamaba Maaca, vivía en Gabaón
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
con su hijo primogénito Abdón, Zur, Cis, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gedor, Ahio, Zécher,
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
y Miklot, que fue el padre de Simeá. También vivían con sus familias en Jerusalén, cerca de sus parientes.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner fue el padre de Kish. Cis fue el padre de Saúl. Saúl fue el padre de Jonatán, Malquisúa, Abinadab y Eshbaal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
El hijo de Jonatán fue Merib-baal. Merib-baal fue el padre de Miqueas.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Los hijos de Miqueas: Pitón, Melej, Tarea y Acaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Acaz fue el padre de Joaddah. Y Joaddah fue padre de Alemeth, Azmaveth y Zimri. Zimri fue el padre de Moza.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Moza fue el padre de Binea. Raphah fue su hijo, Eleasah su hijo, y Azel su hijo.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Azel tuvo seis hijos, cuyos nombres son estos Azricam, Boquerú, Ismael, Searías, Abdías y Hanán. Todos estos fueron hijos de Azel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Los hijos de su hermano Eshek: Ulam su primogénito, Jeús el segundo y Elifelet el tercero.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Los hijos de Ulam fueron hombres valientes, arqueros, y tuvieron muchos hijos y nietos, ciento cincuenta. Todos ellos eran de los hijos de Benjamín.

< 1 Nyakati 8 >