< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamín engendró a Bela, su primogénito, a Asbel, el segundo, a Aharah, el tercero,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
a Nohá, el cuarto, a Rafa, el quinto.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Bela tuvo por hijos: Adar, Gerá, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abisúa, Naamán, Ahoá,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gerá, Sefufán y Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
He aquí los hijos de Ahud, que eran jefes de casas paternas de los habitantes de Gabaá y fueron transportados a Manáhat:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naamán, Ahías y Gerá. Este los transportó, y engendró a Uzá y a Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Saaraim engendró hijos en el país de Moab, después de haber repudiado a sus mujeres Husim y a Baará.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Engendró de Hodes, su mujer, a Jobab, Sibiá, Mesá, Malcam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeús, Sequía y Mirmá. Estos son sus hijos, jefes de casas paternas.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
De Husim engendró a Abitob, y Elpaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Hijos de Elpaal: Éber, Misam, y Sémed, el cual edificó a Onó y Lod, con sus aldeas;
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
también Berías y Sema, jefes de casas paternas de los habitantes de Ayalón, que pusieron en fuga a los habitantes de Gat.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Ahío, Sasac, Jeremot,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadías. Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Micael, Ispá y Jojá, hijos de Berías.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebadías, Mesullam, Ezequías, Héber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Ismerai, Izliá y Jobab, hijos de Elpaal.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Jaquim Sicrí, Zabdí,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienai, Silletai, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adayá, Berayá y Simrat, hijos de Simeí.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Ispán, Eber. Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdón, Sicrí, Hanán,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananías, Elam, Anatotías.
25 Ifdeya na Penueli.
Ifdayá y Penuel: hijos de Sasac.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Samserai, Sehariá, Ataliá,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaaresías, Eliá y Sicrí: hijos de Jeroham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Estos son los jefes de las casas paternas, según sus linajes, que habitaban en Jerusalén.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
En Gabaón habitó el padre de Gabaón, cuya mujer se llamaba Maacá;
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
y Abdón, su hijo primogénito, y Sur, Cis, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gedor, Ahío y Zequer.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Miclot engendró a Simeá. También estos, habitaron con sus hermanos en Jerusalén, frente a sus hermanos.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner engendró a Cis; Cis engendró a Saúl; Saúl engendró a Jonatán, Melquisúa, Abinadab, y Esbáal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Hijos de Jonatán: Meribbáal. Meribbáal engendró a Mica.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Hijos de Mica: Pitón, Mélec, Tarea y Acaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Acaz engendró a Joadá, Joadá engendró a Alémet, Azmáyet y Simrí. Simrí engendró a Mosá;
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Mosá engendró a Bineá, cuyo hijo fue Rafa, hijo de este Elasá, e hijo de este, Asel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
AseI tuvo seis hijos, cuyos nombres son estos: Azricam, Bocrú, Ismael, Searías, Obadías y Hanán. Todos estos son hijos de Asel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Hijos de Esec, su hermano: Ulam, su primogénito, Jeús, el segundo, y Elifélet, el tercero.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Los hijos de Ulam eran valientes guerreros, que manejaban el arco, padres de muchos hijos y nietos: ciento cincuenta. Todos estos pertenecen a los hijos de Benjamín.

< 1 Nyakati 8 >