< 1 Nyakati 8 >
1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Bhenjamini aiva baba vaBhera dangwe rake, Ashibheri mwanakomana wechipiri, Ahara wechitatu,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Noha wechina naRafa wechishanu.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Vanakomana vaBhera vaiva: Adha, Gera, Abhihudhi,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abhishua, Naamani Ahoa,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Shefufani naHurami.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Izvi ndizvo zvaiva zvizvarwa zvaEhudhi vakanga vari vakuru vemhuri yeavo vaigara muGebha vakazodzingwa vakaendeswa kuManahati:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naamani, Ahifa naGera, uyo akavadzinga uya aiva baba vaUza naArihudhi.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Vanakomana vakaberekerwa Shaharaimi muMoabhu mushure mokunge arambana navakadzi vake Hushini naBhaara.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Nomukadzi wake Hodheshi akabereka Johabhi, Zibhia, Mesha Marikami,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeuzi, Sakia naMirima. Ava ndivo vaiva vanakomana vake, vakuru vemhuri.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
NaHushimi akabereka Abhitubhi naEripaari.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Vanakomana vaEripaari vaiva: Ebheri, Mishamu, Shemedhi (uyo akavaka Ono neRodhi pamwe chete nemisha yakaapoteredza)
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
naBheria naShema, avo vakanga vari vakuru vemhuri dzaavo vaigara muAijaroni uye vakadzinga vagari veGati.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Ahiyo, Shashaki, Jeremoti,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebhabhia, Aradhi, Edheri,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Mikaeri, Ishipa naJoha vaiva vanakomana vaBeria.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebhadhia, Meshurami, Hiziki, Hebheri,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Ishimerai, Iziria naJobhabhi vaiva vanakomana vaEripaari.
Jakimi, Zikiri, Zabhidhi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Erienai, Ziretai, Erieri,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adhaya, Bheraya naShimirati vaiva vanakomana vaShimei.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Ishipani, Ebheri, Erieri,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abhidhoni, Zikiri, Hanani,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hanania, Eramu Anitotiya,
Ifidheya naPenueri vaiva vanakomana vaShashaki.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Shamisherai, Sheharia, Ataria,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaareshia, Eria, naZikiri vaiva vanakomana vaJerohamu.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Vose ava vaiva vakuru vemhuri, vari madzishe sezvazvakanyorwa munhoroondo dzavo. Uye vaigara muJerusarema.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Jeyeri, baba vaGibheoni vaigara muGibheoni. Zita romukadzi wake rainzi Maaka,
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
uye mwanakomana wake wedangwe ainzi Abhidhoni, achiteverwa naZuri, Kishi, Bhaari, Neri, Nadhabhi,
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
uye Mikiroti, uyo aiva baba vaShimea. Ivo vaigarawo pedyo nehama dzavo muJerusarema.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Neri aiva baba vaKishi, Kishi aiva baba vaSauro, uye Sauro aiva baba vaJonatani, Mariki-Shua, Abinadhabhi, naEshi-Bhaari.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Mwanakomana waJonatani ainzi Meribhi-Bhaari uyo aiva baba vaMika.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Vanakomana vaMika vaiva: Pitoni, Mereki Tarea, naAhazi.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahazi aiva baba vaJehoadha, Jehoadha aiva baba vaAremeti, Azimavheti naZimiri uye Zimiri aiva baba vaMoza.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Moza aiva baba vaBhinea Rafa aiva mwanakomana wake, Ereasa mwanakomana wake naAzeri mwanakomana wake.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Azeri aiva navanakomana vatanhatu, uye aya ndiwo mazita avo: Arizakami, Bhokeru, Ishumaeri, Shearia, Obhadhia naHanani. Vose ava vaiva vanakomana vaAzeri.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Vanakomana vomununʼuna wake Esheki vaiva: Uramu dangwe rake, Jeushi mwanakomana wake wechipiri naErifereti wechitatu.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Vanakomana vaUramu vaiva varwi voumhare vaigona kushandisa uta. Vaiva navanakomana navazukuru vazhinji vaisvika zana namakumi mashanu pamwe chete. Vose ava vaiva zvizvarwa zvaBhenjamini.