< 1 Nyakati 8 >
1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
१बिन्यामीन से उसका जेठा बेला, दूसरा अश्बेल, तीसरा अहृह,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
२चौथा नोहा और पाँचवाँ रापा उत्पन्न हुआ।
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
३बेला के पुत्र अद्दार, गेरा, अबीहूद,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
४अबीशू, नामान, अहोह,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
५गेरा, शपूपान और हूराम थे।
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
६एहूद के पुत्र ये हुए (गेबा के निवासियों के पितरों के घरानों में मुख्य पुरुष ये थे, जिन्हें बन्दी बनाकर मानहत को ले जाया गया था)।
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
७और नामान, अहिय्याह और गेरा (इन्हें भी बन्धुआ करके मानहत को ले गए थे), और उसने उज्जा और अहीहूद को जन्म दिया।
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
८और शहरैम से हूशीम और बारा नामक अपनी स्त्रियों को छोड़ देने के बाद, मोआब देश में लड़के उत्पन्न हुए।
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
९उसकी अपनी स्त्री होदेश से योबाब, सिब्या, मेशा, मल्काम, यूस, सोक्या,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
१०और मिर्मा उत्पन्न हुए। उसके ये पुत्र अपने-अपने पितरों के घरानों में मुख्य पुरुष थे।
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
११और हूशीम से अबीतूब और एल्पाल का जन्म हुआ।
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
१२एल्पाल के पुत्र एबेर, मिशाम और शामेद, इसी ने ओनो और गाँवों समेत लोद को बसाया।
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
१३फिर बरीआ और शेमा जो अय्यालोन के निवासियों के पितरों के घरानों में मुख्य पुरुष थे, और जिन्होंने गत के निवासियों को भगा दिया,
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
१४और अह्यो, शाशक, यरेमोत,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
१५जबद्याह, अराद, एदेर,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
१६मीकाएल, यिस्पा, योहा, जो बरीआ के पुत्र थे,
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
१७जबद्याह, मशुल्लाम, हिजकी, हेबेर,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
१८यिशमरै, यिजलीआ, योबाब जो एल्पाल के पुत्र थे।
१९और याकीम, जिक्री, जब्दी,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
२०एलीएनै, सिल्लतै, एलीएल,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
२१अदायाह, बरायाह और शिम्रात जो शिमी के पुत्र थे।
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
२२यिशपान, एबेर, एलीएल,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
२३अब्दोन, जिक्री, हानान,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
२४हनन्याह, एलाम, अन्तोतिय्याह,
२५यिपदयाह और पनूएल जो शाशक के पुत्र थे।
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
२६और शमशरै, शहर्याह, अतल्याह,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
२७योरेश्याह, एलिय्याह और जिक्री जो यरोहाम के पुत्र थे।
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
२८ये अपनी-अपनी पीढ़ी में अपने-अपने पितरों के घरानों में मुख्य पुरुष और प्रधान थे, ये यरूशलेम में रहते थे।
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
२९गिबोन में गिबोन का पिता रहता था, जिसकी पत्नी का नाम माका था।
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
३०और उसका जेठा पुत्र अब्दोन था, फिर सूर, कीश, बाल, नादाब,
३१गदोर; अह्यो और जेकेर हुए।
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
३२मिक्लोत से शिमआह उत्पन्न हुआ। और ये भी अपने भाइयों के सामने यरूशलेम में रहते थे, अपने भाइयों ही के साथ।
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
३३नेर से कीश उत्पन्न हुआ, कीश से शाऊल, और शाऊल से योनातान, मल्कीशूअ, अबीनादाब, और एशबाल उत्पन्न हुआ;
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
३४और योनातान का पुत्र मरीब्बाल हुआ, और मरीब्बाल से मीका उत्पन्न हुआ।
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
३५मीका के पुत्र: पीतोन, मेलेक, तारे और आहाज।
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
३६आहाज से यहोअद्दा उत्पन्न हुआ, और यहोअद्दा से आलेमेत, अज्मावेत और जिम्री; और जिम्री से मोसा।
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
३७मिस्पे से बिना उत्पन्न हुआ, और इसका पुत्र रापा हुआ, रापा का एलासा और एलासा का पुत्र आसेल हुआ।
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
३८और आसेल के छः पुत्र हुए जिनके ये नाम थे, अर्थात् अज्रीकाम, बोकरू, इश्माएल, शरायाह, ओबद्याह, और हानान। ये सब आसेल के पुत्र थे।
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
३९उसके भाई एशेक के ये पुत्र हुए, अर्थात् उसका जेठा ऊलाम, दूसरा यूश, तीसरा एलीपेलेत।
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
४०ऊलाम के पुत्र शूरवीर और धनुर्धारी हुए, और उनके बहुत बेटे-पोते अर्थात् डेढ़ सौ हुए। ये ही सब बिन्यामीन के वंश के थे।