< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
ובנימן הוליד את בלע בכרו אשבל השני ואחרח השלישי׃
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
נוחה הרביעי ורפא החמישי׃
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
ויהיו בנים לבלע אדר וגרא ואביהוד׃
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
ואבישוע ונעמן ואחוח׃
5 Gera, Shefufani na Huramu.
וגרא ושפופן וחורם׃
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
ואלה בני אחוד אלה הם ראשי אבות ליושבי גבע ויגלום אל מנחת׃
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
ונעמן ואחיה וגרא הוא הגלם והוליד את עזא ואת אחיחד׃
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
ושחרים הוליד בשדה מואב מן שלחו אתם חושים ואת בערא נשיו׃
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
ויולד מן חדש אשתו את יובב ואת צביא ואת מישא ואת מלכם׃
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
ואת יעוץ ואת שכיה ואת מרמה אלה בניו ראשי אבות׃
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
ומחשים הוליד את אביטוב ואת אלפעל׃
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
ובני אלפעל עבר ומשעם ושמד הוא בנה את אונו ואת לד ובנתיה׃
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
וברעה ושמע המה ראשי האבות ליושבי אילון המה הבריחו את יושבי גת׃
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
ואחיו ששק וירמות׃
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
וזבדיה וערד ועדר׃
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
ומיכאל וישפה ויוחא בני בריעה׃
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
וזבדיה ומשלם וחזקי וחבר׃
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
וישמרי ויזליאה ויובב בני אלפעל׃
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
ויקים וזכרי וזבדי׃
20 Elienai, Silethai, Elieli,
ואליעני וצלתי ואליאל׃
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
ועדיה ובראיה ושמרת בני שמעי׃
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
וישפן ועבר ואליאל׃
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
ועבדון וזכרי וחנן׃
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
וחנניה ועילם וענתתיה׃
25 Ifdeya na Penueli.
ויפדיה ופניאל בני ששק׃
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
ושמשרי ושחריה ועתליה׃
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
ויערשיה ואליה וזכרי בני ירחם׃
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
אלה ראשי אבות לתלדותם ראשים אלה ישבו בירושלם׃
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
ובגבעון ישבו אבי גבעון ושם אשתו מעכה׃
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
ובנו הבכור עבדון וצור וקיש ובעל ונדב׃
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
וגדור ואחיו וזכר׃
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
ומקלות הוליד את שמאה ואף המה נגד אחיהם ישבו בירושלם עם אחיהם׃
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
ונר הוליד את קיש וקיש הוליד את שאול ושאול הוליד את יהונתן ואת מלכי שוע ואת אבינדב ואת אשבעל׃
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
ובן יהונתן מריב בעל ומריב בעל הוליד את מיכה׃
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
ובני מיכה פיתון ומלך ותארע ואחז׃
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
ואחז הוליד את יהועדה ויהועדה הוליד את עלמת ואת עזמות ואת זמרי וזמרי הוליד את מוצא׃
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
ומוצא הוליד את בנעא רפה בנו אלעשה בנו אצל בנו׃
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
ולאצל ששה בנים ואלה שמותם עזריקם בכרו וישמעאל ושעריה ועבדיה וחנן כל אלה בני אצל׃
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
ובני עשק אחיו אולם בכרו יעוש השני ואליפלט השלשי׃
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
ויהיו בני אולם אנשים גברי חיל דרכי קשת ומרבים בנים ובני בנים מאה וחמשים כל אלה מבני בנימן׃

< 1 Nyakati 8 >