< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamin te devni papa a Bela, premye ne li a, Ashbel, dezyèm nan, Aharah, twazyèm nan,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Nocha, katriyèm nan ak Rapha, senkyèm nan.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Bela te fè fis: Addar, Guéra, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abischua, Naaman, Achoach,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Guéra, Schephuphan ak Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Men fis a Echud yo, ki te chèf nan fanmi pa yo pami moun Guéba yo e ki te pote an egzil nan Manachath:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naaman, Achija ak Guéra. Guéra, sila ki te ale an egzil la, te devni papa a Uzza avèk Achichud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Schacharaïm te fè pitit nan peyi Moab lè li te fin fè sòti madanm li yo, Hushim ak Baara.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Avèk Hodesch, madanm li an, li te devni papa a Jobab, Tsibja, Méscha, Malcam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeuts, Schocja ak Mirma. Sila yo se te fis li yo, chèf lakay zansèt pa yo
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Pa Huschim, li menm Schacharaïm te vin papa Abithub avèk Eipaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Fis a Elpaal yo: Éber, Mischeam, avèk Schémer, ki te bati Ono avèk Lod avèk vil pa li yo;
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
epi Beria avèk Schéma, ki te chèf lakay fanmi zansèt pa yo pami moun Ajalon yo, ki te fè moun Gath yo sove ale,
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
epi Achjo, Schaschak, Jerémpoth,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadja, Arad, Éder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Micaël, Jischpha avèk Jocha te fis a Beria.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebadja, Meschullam, Hizki, Héber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Jischmeraï, Jizlia avèk Jobab te fis a Elpaal.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Zicri, Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Éliénaï, Tsilthaï, Éliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaja, Beraja ak Schimrath te fis a Shimei.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Jischpan, Éber, Éliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zicri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananja, Élam, Anthothija,
25 Ifdeya na Penueli.
Jiphdeja avèk Penuel te fis a Schaschak.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Schamscheraï, Schecharia, Athalia,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaaréschia, Élija ak Zicri te fis a Jerocham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Sila yo se te chèf a fanmi zansèt pa yo selon jenerasyon pa yo, chèf ki te rete Jérusalem yo,
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Alò, nan Gabaon, te rete Jeiel, papa a Gabaon an e madanm li te rele Maaca;
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
epi fis premye ne pa l la se te Abdon ak Tsus, Kis, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Guedor, Achjo ak Jéker.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Mikloth te fè Schimea. Yo menm tou te rete Jérusalem avèk fanmi pa yo anfas lòt moun fanmi pa yo.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner te vin papa a Kis e Kis te vin papa a Saül: Saül te vin papa a Jonathan, Malki-Schua, Abinadab ak Eschbaal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Fis a Jonathan yo: Merib-Baal. Merib-Baal te fè Michée.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Fis a Michée yo: Pithon, Mélec, Thaeréa avèk Achaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Achaz te fè Jehoadda; Jehoadda te fè Alémeth, Azmaveth avèk Zimri; Zimri te fè Motsa;
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Motsa te fè Binea. Rapha te fis pa li; Éleasa, fis pa li a, Atsel, fis pa li a;
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Atsel te fè sis fis; men non yo: Azrikam, Bocru, Ismaël, Schearia, Abdias avèk Hanan. Tout sa yo se te fis a Atsel yo.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Fis a Éschek yo, frè li a: Ulam, premye ne li a, Jeusch, dezyèm nan ak Éliphéleth, twazyèm nan.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Fis a Ulam yo te mesye pwisan, ranpli ak kouraj, achè yo, avèk anpil fis e fis a fis, san-senkant antou. Tout sa yo se te fis a Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >